Kanisa Katoliki la Kenya limeamua kurudisha mchango wa pesa uliotolewa na Rais Ruto kwa kanisa hilo uliolenga kujenga nyumba ya padre.
Askofu mkuu wa Nairobi, Phillip Anyolo amesema mchango huo wa dola 40,000, sawa na zaidi ya TZS 108,000,000, wataurudisha kwa Rais Ruto, na kwamba hawahitaji mchango mwingine wowote kutoka kwa Rais Ruto kwa sababu michango hiyo ina harufu ya kutafuta manufaa ya kisiasa.
Askofu Mkuu, Anyolo amesema kuwa pia mchango wa shilingi za Kenya 200,000, nao utarudishwa.
Swali la kujiuliza, kwa hapa Tanzania, kwa mara ya kwanza, Rais amegawa pesa nyingi kwa makanisa, kwa kiwango ambacho hakijawahi kutokea katika historia ya Tanzania, viongozi wetu wa dini hawana macho ya kuona kama hao wenzao wa Kenya? Au wanaamini kuwa michango hiyo inatolewa kwa roho tu ya huruma? Kwa nini itolewe sana kipindi hiki?
Habari hii hapa:
Catholic Church rejects $40,000 from Kenya's president.
president
Kenya’s Catholic Church has rejected a donation of about $40,000 (£32,000) made by President William Ruto.
He offered the money towards the building of a priest’s house and as a gift to the choir during Mass on Sunday at the Soweto Catholic Church in the capital, Nairobi.
The Catholic Archbishop of Nairobi, Philip Anyolo, said the cash would be returned over "ethical concerns and the need to safeguard the Church from being used for political purposes".
He also declined his other pledges and said a donation of 200,000 Kenyan shillings made by the Governor of Nairobi, Johnson Sakaja - who attended the same service, was also being handed back.
Source: BBC
The donation followed a recent statement by bishops that was critical of the government.
www.bbc.com