Maaskofu wa Katoliki wakataa mchango wa Shilingi milioni 5.6 kutoka kwa Ruto kwa kanisa la Soweto
Wakuu hapa kwetu Bongo kuna kitu cha kujifunza,maasikofu na mashekh wa TZ chukueni hii.

Askofu mkuu wa kanisa katoliki nchini Kenya amekataa kupokea pesa hizo ili kulinda hadhi ya kanisa pia kakataa kutumika kisiasa baadae.

Maasikofu na viongozi wa madhehebu wa TZ acheni njaa pia mskubali kutumika kisiasa na viongozi, nyie mmekuwa wanafiki na wachumia tumbo.
20241119_214833.jpg
 
Hayo majinga yanapendaga cheap popularity, km wanatamani siasa wavue majoho. Mbn makanisani mwao kumejaa kila aina ya ufisadi na dhuluma, ubaguzi wa kidini. RC si kanisa ni kundi la wenye maslahi yao binafsi. Waliangamiza raia Rwanda, mashetani tu hao. Serikali iache kuwaogopa
20241120_073920.jpg

Wanakaribishwa kanisani kwa ajili ya masuala kiroho kama waumini wengine. Na si vinginevyo!
Huo waraka ungetolewa na TEC au CCT mpaka muda huu uhamiaji wangeshahoji uraia na kushikilia passport kadhaa za viongozi wa kiroho!
 
Hii imekaaje wakuu,vipi ingekuwa ni hapa Bongo navowajua maaskofu wetu na njaa zilivowajaa.

Kanisa katolic nchini Kenya limeweka msimamo huo kwa madai ya kukataa kutumika kisiasa ama kushusha hadhi ya kanisa.

Hapa maaskofu wetu wana cha kujifunza,hata mashekh pia igeni mfano wa kutenda haki msiwe chawa wa wana siasa.
 

Attachments

  • 20241119_214833.jpg
    20241119_214833.jpg
    417 KB · Views: 4
Kanisa Katoliki ninawafurahia sana kwa kutopokea pesa za wahuni za rushwa walizopata kutoka kwa Adan, kampuni najisi inayolalamikiwa India na USA kwa ufisadi.

Nimeshangazwa bila aibu kabisa jana Mheshimiwa Rutto na wenzake waliopokea hela hizo wakisema wataendelea kutoa pesa makanisani.

Nawaombeni makanisa ya kilokole acheni dhambi na njaa. Hizo pesa ni za laana walizotengeneza wanasiasa wa Kenya kwa kupitisha Adan kusimamia uwanja wa ndege.

Hakuna dhambi wala rangi mtakavyojaribu kuzifuta mkipokea hizo pesa za kishetani.

Kama wanadai kujenga makanisa, si wanaweza kujenga kwenye majumba yao walikozaliwa?

Wakenya, imefika wakati mseme imetosha! Upumbavu na upuuzi huu uishie hapa.

Msikubali makanisa yenu yatumiwe na wanasiasa kulinda ufisadi na uchafu wao. Mtakufa mapema kwa kukubali dhambi kama hii.


All the best!
 
Back
Top Bottom