Makamu wa Rais, Samia Suluhu amtembelea Tundu Lissu hospitalini Nairobi

Je Viongozi wa Kiislam wana hofu ya Mungu zaidi kuliko wa madhehebu Mengine ?
 
Hakika mama Samia Suluhu Hassan ni kiumbe aliyejawa na utu na huruma kwa watanzania.

Hii picha hapo chini inajionyesha kabisa kuwa yeye ni tofauti na wenzake.
Mungu akubariki mama yetu.
 
Hakika mama Samia Suluhu Hassan ni kiumbe aliyejawa na utu na huruma kwa watanzania.

Hii picha hapo chini inajionyesha kabisa kuwa yeye ni tofauti na wenzake.
Mungu akubariki mama yetu.View attachment 1200985
Kumbuka huyo ni mama na anatumbo la uzazi anayajua machungu ya kumlea mtoto hadi kufika hatua aliyo ifikia lisu , kwa mama hiyo ni kazia kubwa sana na yenye maumivu makali sana na ndio mana alitoa chozi
 
Hakika mkuu kweli nimeamini sana mama huyu ni hazina kabisa hapa kwetu na tumuombee kila la kheri
Kumbuka huyo ni mama na anatumbo la uzazi anayajua machungu ya kumlea mtoto hadi kufika hatua aliyo ifikia lisu , kwa mama hiyo ni kazia kubwa sana na yenye maumivu makali sana na ndio mana alitoa chozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…