Makamu wa Rais, Samia Suluhu amtembelea Tundu Lissu hospitalini Nairobi

Mimi ni Mkristo ila tumezidi kwa Roho mbaya na kudhuru .. Waisilamu Swafi wana utu na wanachukia sana kumhudumu mtu..wanapenda haki na wanathamini sana wengine.. Nilikuwa Pemba nilijifunza mengi sana..
 
Msilogwe kumuamini mwanaccm yeyote hata awe na cheo gani , Huyu mama aliyoyafanya kwenye BMK hatuwezi kuyasahau .
 
I wish niione sura ya gari letu font ford baada ya dereva wetu kuonana uso kwa uso na Mama Suluhu!!!

Btw Mama kacheza baada ya ukakasi wa kupokelewa na balozi wetu na huku kwenye uzi pale Nyayo stadium kufanywa kama nobod!!
Aisee kwa hiyo Gari letu brand name yake ni Sizonje na Dereva wetu ni Lissu The Great?
 
Pindi Chana mnafiki sana. Muda wote yupo Nairobi hakuweza kwenda. Now ndio kajipendekeza na Mama
 
..mama Samia anajua sana mchango na potential kubwa ya Lissu kwa nchi hii....maana alifanya nae kazi kwenye bunge la katiba akiwa spika...na yeye na nchi nchi ya tz wanajua mchango wa Lissu kwenye bunge lile.....nawaza tu mchango wa JPM kwenye bunge lile... Maana kila mtu anajua mchango wa Lissu... Akiwemo mama Salmia aliyekuwa spika wa bunge lile...
 
Hivi huyo Barozi amewahi kwenda kumuona au kagongea lifti ya mama?

Kama hajawahi kwenda kilichompeleka leo ni nn?
Ukienda nchi yeyote cha kwanza unatakiwa kuripoti ubalozini na kujiandikisha akina mbowe na hilo group LA dereva na hao wala ruzuku ya Chadema na michango ya kuuguza Lisu walipofika walienda ubalozi kuripoti? Na kujisajili passport zao na uwepo wao na uwepo wa mgonjwa Nairobi kama sheria zinavyotaka?
 
Anaenda kinyume na "mtakatifu". Ngoja tusubiri , kuna mmoja aliambiwa 'anavipele'
 
Kuna wakati huwa nawakubali sana waislamu, in short siyo waoga!.......sijasema Bakwata nimesema waislamu nieleweke vizuri hapo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…