Makonda ajibu tuhuma za kumpiga risasi Tundu Lissu. Asema Lissu ana matatizo ya akili, aende Milembe

Makonda ajibu tuhuma za kumpiga risasi Tundu Lissu. Asema Lissu ana matatizo ya akili, aende Milembe

Nasubiria majibu mujarabu kutoka kwa mwamba Lisu
 
Nimeeeshangaa sana mkuu.

Hela za kuwaleta waandishi wote hao kutoka Daslam kwenda Arusha, i hope sio kodi za wananchi.

Huyu kuna kitu anatafuta
Anatafuta kiki ya ubunge wa Kigamboni mkuu.
 
Nimeeeshangaa sana mkuu.

Hela za kuwaleta waandishi wote hao kutoka Daslam kwenda Arusha, i hope sio kodi za wananchi.

Huyu kuna kitu anatafuta
Anatafuta kiki ya ubunge wa Kigamboni mkuu.
 
Wewe
Mtu akupe tuhuma nzito kama hzo ukae kimya kwamba ndo uungwana.Lissu kama ana ushahidi auweke hadharani na wengine tumuamini tofauti na hapo namuona kama mtu mwenye msongo.
Wewe unamwamini hiyo muuaji? Unafahamu siku Lisu anashambuliwa kwa risasi chini ya usimamizi wa Bashite akiwa Dodoma hotel, Dar kulikuwa kunaendelea na nini?

Hivi uliwahi kuona Rais yupo kwenye shughuli maalum mkoani mwako, halafu RC asiwepo? Maelezo yake atawaokota wendawazimu wenzake. Wakati Hayati Magufuli akiwa kwenye tukio la kupokea taarifa maalum ya tume aliyoiunda kuhusu Almasi, jijini Dar, Bashite hakuwepo Dar, wala hakushiriki kwenye tukio hilo la Rais, badala yake alikuwa Dodoma akisimamia ushetani wa kutaka kuondoa uhai wa Lisu, mjini Dodoma. Na mara baada ya tukio, aliondoka Dodoma kuelekea Dar, huku gari lililotumika, Nissan patrol wakilichoma motobaada ya kufika Morogoro.

Huyu shetani muuaji, damu za watu zitamfuata mpaka kiama.
 
Huyu ni muhusika mkuu wa tukio la Lisu

Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu, leo akiwa anawasilisha ripoti yake ya miezi 6 ya kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Makoa ameamua kujibu mapigo.

Kama mtakumbuka, wiki chache nyuma Lissu alimtuhumu Makonda kuhusika na jaribio la kumuua lililofanyika mwaka 2017.

Akiongea na wanahabari leo, Makonda amekana kuwa hakuhusika na shambulio la Lissu na kuongeza kuwa Lissu kwa sasa anapitia msoto mkali sana wa kisiasa na anamtumia yeye kama ngazi ya kurudi kwenye siasa.

"Kaka angu Tundu Lissu nimemsikia hata mimi lakini kwa hali aliyonayo siwezi kumshangaa. Na nafarijika kuona kwamba ameniona nafaa kumsaidia kujenga career yake ya kisiasa kwenye taifa letu, Na mimi sitaki kumjibu kwa sababu nikimjibu ntamuaibisha kaka yangu yangu"

"Watu wa Clouds wakirudi nyuma siku ya tukio watakumbuka hata siku tukio linatokea mimi nilikuwa Dar Es Salaam uwanja wa mnazi mmoja tulikuwa na kampeni ya matibabu. Kwa hiyo hata sehemu ya tukio sikuwepo"

"Ushauri pekee ambao ningewapa nyie wanahabari, mjitahidi sana kuangalia mtu mnayemuhoji yupo katika wakati gani. Na kwa kuwa alisemea Dodoma nilitegemea mumuombe apite Milembe aone kama yuko sawa au"
Lisu alishambuliwa saa saba mchana, yeye alikuwa wapi muda huo?
 
Hivi Makonda anafikiria kila mtu ni mjinga. Akae akijua wazi kwamba huenda ikawa TAL kajitokeza hadharani sababu anao ushahidi tosha wa tukio hilo. Labda Ushahidi huo utakuwa unamlenga mtuhumiwa bwana Makonda moja kwa moja. Huenda tutaona nani kati yao atakuwa mgonjwa wa akili.
Ni kweli Mh Lissu anafahamu Sheria vizuri. Kamwe hawezi kutoa tuhuma nzito hadharani bila kuwa na ushahidi.

Kama umeweza kufyatilia kikao chake kile kwa makini, ni wazi ameandaa kwajili ya kujisafisha/kujitetea kwa kila tuhuma zilizowahi kutolewa dhidi yake. Hata Wauliza maswali walipangwa. Kwa aina ya maswali na majibu yake. Ila Mungu hadhihakiwi.
 
Nimeeeshangaa sana mkuu.

Hela za kuwaleta waandishi wote hao kutoka Daslam kwenda Arusha, i hope sio kodi za wananchi.

Huyu kuna kitu anatafuta
Anatafuta kiki ya ubunge wa Kigamboni mkuu.
 
Yawezekana msongo kwa maoni yako yanayoheshimiwa. Lakini uko tayari kujibu maswali muhimu yote kwa niaba ya mkuu unayemtetea ? Kwa nini uling'oa CCTV camera zote ? Kwa nini mliondoa askari wote siku ya tukio. Kwa nini mlipiga marufuku watu kuvaa ti-shirts za sura yake Wala kumuombea,? Kwa nini mlimfuta ubunge eti ni mtoro wakati mnajua aliondoka Dodoma to Nairobi to Belgium akiwa hajitambui kwa risasi zenu,. Kwa nini zipo zaidi ya 10 na wengine wanaendelea ?
Makonda kawasha moto mwenyewe asije akashindwa kuuzima. Watz sio wasahaulifu wala wajinga. Asante sana Mkuu. Be Blessed.
 
inawezekana Makonda amehusika au hajahusika. Hata kama alikuwepo Dodoma siku ya tukio haimaanishi kwamba alihusika. Inahitajika ushahidi mkubwa zaidi ya kuwepo Dodoma siku ya tukio ili kumtuhumu Makonda kwamba alihusika. Lakini kwasababu Makonda anasema hakuwepo Dodoma siku ya tukio, basi Lissu anapaswa kurudi kwa chanzo chake cha habari na akajipange upya.
Makonda ndio ajipange vizuri kwenda kutoa utetezi wake Mahakamani. Na siyo mbele ya raia ili kupata huruma yao.
 
Back
Top Bottom