Makonda usikubali kuachia hilo ghorofa na imani kubwa kuna nguvu kubwa inakulinda

Makonda usikubali kuachia hilo ghorofa na imani kubwa kuna nguvu kubwa inakulinda

Sijui unatoa ushauri kumsaidia au ili apotee kabisa.

Bora awe mpole tu, maana sasa anasaidia kukusanya kuni pasipo kujua yeye ndio mboga inayoenda kuliwa.

Akiendelea kupigania atafungua mambo mengine, wapi kapata fedha za kumiliki mali za pesa kiasi hicho?

Je alifanya declaration kwenye fomu za mali za viongozi?

Ukweli hili jambo hawezi kushinda, nguvu zake zilikuwa za kisiasa, zimekwisha.

Nguvu ya pesa is permanent.
 
Kwa ufupi ni kwamba ukisalimu amri ukakabidhi hilo ghorofa kwa GSM jua daraja la umasikini linakunyemelea.

Kwa ninavyowafahamu wasukuma si rahisi kukata tamaa pambana hadi tone lako la damu la mwisho.

Kuna wakubwa wanafuatilia huu mtanange kwa ukaribu zaidi.

Kila la kheri
Kwa documents za Aina hii ajiandae kufunguliwa Kesi ya KUGUSHI NYARAKA
1647015622069.jpg
 
Anaweza akawa hana docs lakini ushahidi wa kimazingira na mashahidi waliokuwepo kutoa ushuhuda wa wazi, lakini kimaadili alipataje fedha hizo zote?
 
Kwa ufupi ni kwamba ukisalimu amri ukakabidhi hilo ghorofa kwa GSM jua daraja la umasikini linakunyemelea.

Kwa ninavyowafahamu wasukuma si rahisi kukata tamaa pambana hadi tone lako la damu la mwisho.

Kuna wakubwa wanafuatilia huu mtanange kwa ukaribu zaidi.

Kila la kheri
Mkubwa gani nchi hii anamzidi Kikwete.. Sukuma Gang acheni kutiana ujinga
 
Kosa la makonda ni kutokufanya transfer kwa wakati.

Jamaa wametumia hiyo loophole kumtingisha.

Ila kama signature za GSM ni authentic na alisaini bila kushurtishwa.

Basi Makonda ana haki.
Alimpa" bure" au alimuuzia? Kama alimpa bure kwa kazi gani au wema gani? Kama alimuuzia ni sh ngapi na bank gani walifanya hizo transaction? Mnataka kumtetea mporaji makonda, aliedhulumu mali za watu kwa kutumia cheo chake. Ni muda sasa wa kuzitapika!
 
Wenye majibu ya nani mmiliki halali ni:-
1.Signboard ya mradi husika kwa kuwa kila kitu kinachohusu umiliki na uendelezaji wa milki kulihakikiwa na mamlaka husika.

2.Manispaa ya Kinondoni. (Building Permit).

3.Wizara ya Ardhi (Plot na Block husika nani mhusika).

Napendekeza itungwe sheria ya kuruhusu Jamhuri kuwaita wale ambao inahisi wanaweza kuchochea/kuvuruga uhuru wa mtu/watu au wenye kuonesha /kuwa na dhamira ya kudhuruliana/kuhujumiana iwahite wajieleza pasipo kusubili kupelekewa mashitaka.

Kwa kufanya hivyo kutapunguza sintofahamu nyingi zinazoweza kuleta taharuki na kusababisha mivutano isiyo na tija katika Ujenzi wa Taifa.
 
Wewe ni mtu, tuanze nawewe alikufanyia nini? Au ndo zile tabia za kimasikini za kufata mkumbo wa chuki.
Si mpaka anidhuru mimi directly basi ndo nianze kumkataa..!!! Ziara zake za mkoa wa Dar si tunajua alichofanya..!! Mkutano wake na walimu wa Dar tunajua alichowaambia wale walimu.. Style za mwendazake
 
Kwa ufupi ni kwamba ukisalimu amri ukakabidhi hilo ghorofa kwa GSM jua daraja la umasikini linakunyemelea.

Kwa ninavyowafahamu wasukuma si rahisi kukata tamaa pambana hadi tone lako la damu la mwisho.

Kuna wakubwa wanafuatilia huu mtanange kwa ukaribu zaidi.

Kila la kheri
Sasa umeandika nini wewee kapuku?
 
Si kila kitu cha kuweka wazi hata kama unatumia ID fake boss wangu ila jua kwa ufupi kuna kambi mbili zinavutana maana hili la Makonda ni mnyonyoro mrefu mno linagusa hadi taasisi pendwa.

Hivyo tutulie tuone mambo yatakavyokwenda
Sema kwa bahati mbaya, hili halina cha DPP ameamua kuacha kuendelea na kesi..Lazima mwisho ujulikane.

NAANZA KUONA SALA ZA YULE ALIYESEMA ANAKWENDA KUPOTEA KWENYE SIASA ZINAANZA KUSIKIKA
 
Si mpaka anidhuru mimi directly basi ndo nianze kumkataa..!!! Ziara zake za mkoa wa Dar si tunajua alichofanya..!! Mkutano wake na walimu wa Dar tunajua alichowaambia wale walimu.. Style za mwendazake
Hao walimu wanashindwa nini kumshughulikia? Hao walimu wanshindwa nini kuita wandishi wa habari waseme waliyotendewa?

Waliofanyiwa hayo mnayoyajua wapo au wamekufa? Mwendazake hayupo na makonda hana cheo, wanangoja nini kumuwajibisha?

Wengi walipata walichostahili kupata ndomana wamekaa kimya, sasa sisi mashabiki ndo tumeachwa tuongee.

Waliotendwa watoke hadharani waseme wenyewe, walitendwa nini, kwa sababu zipi, wamechukua hatua gani
 
Hao walimu wanashindwa nini kumshughulikia? Hao walimu wanshindwa nini kuita wandishi wa habari waseme waliyotendewa?

Waliofanyiwa hayo mnayoyajua wapo au wamekufa? Mwendazake hayupo na makonda hana cheo, wanangoja nini kumuwajibisha?

Wengi walipata walichostahili kupata ndomana wamekaa kimya, sasa sisi mashabiki ndo tumeachwa tuongee.

Waliotendwa watoke hadharani waseme wenyewe, walitendwa nini, kwa sababu zipi, wamechukua hatua gani
Alikuwa na mbeleko ya chuma, hata akiitoboa yeye mwenyewe haitoboki...

USISAHAU ALIVAMIA CLOUDS..

Kuwajibishwa na huku Pole Pole.. Usisahau ana kesi ya kujibu
 
Wewe nguvu iliyokuwa inamlinda haipo ..
sasa hivi anatakiwa ategemee mamlaka zinazotoa haki
 
Back
Top Bottom