Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Alikwenda na cheo akaacha nyarakaUnapokwenda kufanya transfer wizarani baada ya kuuziana huendi na karatasi ya mauzo unakwenda na hati ya kiwanja!! Je Makonda alipewa hati ya kiwanja alipokuwa ananunua?