Makundi ya wanaopinga ndoa na maisha ya ndoa

Uzinzi ni ishu za Spirit zaidi yaani pepo au jini la ngono ulilonalo.
Tafuta elimu ya kuoa ukiwa nayo utampa mwema
Mimi nimeoa ila sina ndoa , akileta nyokonyoko natimua mara moja bila kupepesa macho navuta mama nyingne , na huyo mpya akitaka tufunge ndoa nikimuuliza ataje faida kumi ambazo nitazipata nikiwa na ndoa na ww ,akishindwa jibu nampotezea akilazimisha napiga chini navuta nyingne , kama ni spirit na mapepo yananiepusha na ndoa ili afya yangu ya akili iwe sawa yaendeleee tu wala sina shida nayo.
 
Hakuna watu wa hovyo kitabia kama wanandoa. Ni marafiki zetu,ni ndugu zetu tunajua tabia zenu jmn. Najiulizaga huu umalaika wa wanandoa huwa unatoka wapi humu mitandaoni?? Mbona mambo ni tofauti kabisa kwa ground??!
 
Kama kuna madunga nyembe yamejificha kwenye hii kampeni ya kataa ndoa , tuyape pole kwa sababu wakataa ndoa tunakula mbususu tu tena zile nzuri nzur ambazo zina mashepu matata , ambazo waliopo kwenye ndoa waliziona sio wife material, wakaenda kuchukua wenye sura za kiume kisa hawana ujanja , wakataa ndoa wote tunakubali mfumo dume ambao ukirudi madunga nyembe tutayaua hadharani , madunga mengi yamejificha kwenye mfumo wa haki sawa ambao huo huo, ndo unaendesha sheria nyingi za ndoa kwa sasa.
 
Toka lini shoga akaoa?
Huwa hamuwezi kujibu hoja za wakataa ndoa kwa nini wanakataa ndoa?

Ninyi mnatumia ushoga kama kichaka cha kujificha, kukwepa kujibu hoja za wakataa ndoa..

Kuna wanandoa pia ni mashoga vilevile..na wapo wasio oa sio mashoga...

Kila mtu anatumia ushoga kama "defence mechanism" ya kukwepa kujibu hoja za kupinga ndoa..

Hamu angalii sheria za ndoa mnang'ang'ana na ushoga.
 
Upeo wako mdogo kumbe!
Kwa taarifa yako nna watoto zaidi ya wawili na "naichakata" kisawasawa ila sina mpango wa kuoa leo wala kesho labda mnipe faida ya ndoa nje ya sex, vinginevyo #KATAANDOA
Suala la wewe kuolewa ni suala la muda tu, ila ikiendelee kukaza fuvu lazima uolewe.
 
Huu uzi mshana umeandika kwa jazba kidogo, matokeo yake umeshindwa kuweka hoja mathubuti kuelimisha vijana kuhusu umuhimu wa ndoa
Huu uzi mshana umeandika kwa jazba kidogo, matokeo yake umeshindwa kuweka hoja mathubuti kuelimisha vijana kuhusu umuhimu wa ndoa, umeweka zaidi vijembe.
 
Hii ni mada ya tano ama ya sita naandika kuhusu ndoa.. Na muktadha ulikuwa kuyataja makundi na si kufanya uchambuzi wa faida na hasara za ndoa.. Kama ungezingatia kichwa cha habari usingeandika haya
kama muktadha ilikuwa ni kuyataja makundi,basi hujayataja ipasavyo,
wengi ambao wanapinga ndoa sio Mashoga kama ulivyotaja hapo juu,

kundi kubwa ambalo linakataa ndoa ni lile linalopinga kuhusu sheria zinavyowabeba wanawake na kuwakandamiza wanaume,

mkuu kubali tu umeandika kwa mipasho sana bila kuzingatia weledi katika mada husika
 
Unfortunately kila ukinikoti unakosea, kwanza nikurekebishe kuwa mimi siyo ke'
Pili ndoa nilibahatika miaka mingi iliyopita and I can't complain.
Tatu naungana na wewe kwa point moja kuwa feminism ni moja ya tatizo kwenye ndoa na hii imepelekea ndoa nyingi kuvunjika na kuzalisha watu kama kina Joyce Kiria.
Kikubwa vijana waache kutafuta slay queen, mwanaume ukiwa smart vya kutosha siku chache tu unajua hakuna kitu uchape lapa.
 
Nakupa asilimia mia moja zote umepata, ila kwenye kibamia ondoa, kibamia kinafanya kazi vizuri tu hata kikikutana na shimo refu pana kinatia mimba. Ni kweli waliosalitiwa wanazolewa na kampeni hizi kukataa ndoa. Huu ni upande mmoja wa kiume, je upande wa kike nao wanakataa ndoa? Upande wa kike ndio walioanza kukataa ndoa baada ya kujiona wana uwezo wa kiuchumi japo watoto wanapata kiholela, ndio hawa ma single mother. Wanapenda mapenzi lakini kuishi maisha ya ndoa hawataki na hakuna aliyeandika kukataa kwao, sasa wameibuka wanaume wakataa ndoa kwa sababu zao za msingi wanaonekana ni wa ajabu. Kwanza kwa ujumla maadili ya kijamii na kidini yameshuka. Dini zilisisitiza ndoa iheshimiwe na watu wote lakini hayo maadili yameporomoka. Kama watoto walizaliwa wakaishi na mzazi mmoja watatamani vipi wakati hawakuona umuhimu wake? Single mother ni wa kulaumiwa kulea watoto wa kiume na kike peke yao wakati si wajane, waliozaa nao wapo hai. Huu ushenzi umeanzia kwa wanawake wanaojiona wana uchumi imara kulea peke yao.
 
Nakupa asilimia mia moja zote umepata, ila kwenye kibamia ondoa, kibamia kinafanya kazi vizuri tu hata kikikutana na shimo refu pana kinatia mimba. Ni kweli waliosalitiwa wanazolewa na kampeni hizi kukataa ndoa. Huu ni upande mmoja wa kiume, je upande wa kike nao wanakataa ndoa? Upande wa kike ndio walioanza kukataa ndoa baada ya kujiona wana uwezo wa kiuchumi japo watoto wanapata kiholela, ndio hawa ma single mother. Wanapenda mapenzi lakini kuishi maisha ya ndoa hawataki na hakuna aliyeandika kukataa kwao, sasa wameibuka wanaume wakataa ndoa kwa sababu zao za msingi wanaonekana ni wa ajabu. Kwanza kwa ujumla maadili ya kijamii na kidini yameshuka. Dini zilisisitiza ndoa iheshimiwe na watu wote lakini hayo maadili yameporomoka. Kama watoto walizaliwa wakaishi na mzazi mmoja watatamani vipi wakati hawakuona umuhimu wake? Single mother ni wa kulaumiwa kulea watoto wa kiume na kike peke yao wakati si wajane, waliozaa nao wapo hai. Huu ushenzi umeanzia kwa wanawake wanaojiona wana uchumi imara kulea peke yao.
 
Mkuu niishie kusema tu, hii ndio poste yangu bora kwa mwezi huu.
Ulicho kisema ni kweli tupu yani.
 
Story ya kutunga hii.
Acha uongo uwende mbinguni.
 
Kabisa mkuu tatizo si ndoa, Tatizo ni wanawake wenyewe na sheria za ndoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…