Makundi ya wanaopinga ndoa na maisha ya ndoa

Makundi ya wanaopinga ndoa na maisha ya ndoa

Ndoa imekuja kuvurugwa na wanawake wenyewe kutaka hamsini kwa hamsini(fifty fifty) kwenye kila jambo..

Halafu hapo hapo sheria zinawapendelea sana wao na kuwapa favouritism.

Sheria za Ndoa ziko kumsapoti Mwanamke zaidi kuliko mwanaume, Mwanaume yeye anabanwa na hizi sheria.

Mambo ya feminism, women empowerment, Haki sawa kwa wote..Yanawapa Ujasiri wanawake na kuwajengea imani kwamba sasa wana uwezo wa kuwa control wanaume na sheria zika wa favour wao..

Wazee na Mababu zetu walimudu ndoa kwa vile walitumia Mfumo Dume..

Sasa kwa hiki Kizazi cha sasa cha wanawake wenye kutaka "Fifty Fifty" watasubiri sana......

Ili vijana wakubali ndoa lazima "mfumo dume" uendelee kama kwa wazee wetu na sheria za ndoa zisi mnufaishe sana Mwanamke....
Mwanamke Na Shetani ndio Chanzo cha Dhambi wao Tabja zao zinafanana Hawaridhik na Mipaka waliyonayo. Kataa Kuoa ila Akija Geto ishi nae Akiondoka Vuta Mwingine.
 
Nchini Marekani Sheria zina wa favour sana wanawake, Kiasi kwamba ukimtusi, au kumpiga mkeo, Akapigia simu polisi haijalishi yeye ndio ana kosa au wewe,

Unakamatwa wewe mwanaume na kufunguliwa mashtaka.

Ndio maana Marekani ndoa nyingi sana zinavunjika...mfano mdogo ndoa ya msanii "Kanye West" sheria zilivyo mbana nisha[emoji1]

Na sasa mambo haya haya ya kuwapa kipaumbele wanawake yamefika Afrika kuja kuwabana wanaume ....

Rejea wimbo wa Gabby Makula uitwao "Baba paroko"
[emoji445]Naleta mashitaka kwako baba paroko, Naleta huko huko kanisani Eeeeeeeh, Mimi na mama ya watoto kivumbi na jasho [emoji445][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hali inazidi kuwa mbaya kwa vijana wetu hasa hawa wa kiume wanahamasishana kila kona na kampeni yao yenye hashtag #KATAA NDOA

Sababu wanazotoa zinachekesha mno na kwakweli hazina mashiko.. Kubwa ikiwa ni kuogopa kusalitiwa lakini pia kuna la uchoyo na kukwepa majukumu ila haya hawayasemi kwa uwazi

Hili jambo ni kama fasheni yenye mass hallucination ndani yake! Itapita lakini inaweza kuacha madhara kwa wengine hivyo hatuwezi kukaa kimya

Haya ndio makundi yao

1. Wasiojiamini..
Hawaamini kama wanaweza kutunza mke kutokana na story za vijiweni
Hawaajiamini kama wanaweza kumridhisha mwanamke kitandani
Hawajiamini kama wanaweza kutulia kwenye ndoa bila kuwa na vimada
Hawajiamini kwamba watapendwa na hawawezi kusalitiwa!


2. Wenye kasoro za kimaumbile
Wanaojihisi ni vibamia
Wanaojihisi hawawezi kumpa mwanamke ujauzito
Wasiotahiriwa
Wagumba kwa ithibati

3. Waathirika kisaikolojia
Kutokana na makuzi mabaya
Kutokana na malezi mabovu
Waliolelewa na walezi katili
Walioathirika na punyeto
Walioumizwa kimapenzi
Waliosalitiwa

4. Wasela na wakaa geto
Maisha hayajasimama
Wanaishi kwa kuungaunga
Wasiopenda majukumu

5. Wenye kasoro za kijinsia
Mashoga wa kujificha (mchicha mwiba)
Madomo zege
Wenye ulemavu uliojificha

6. Wapenda kitonga, dezo
Wanaolelewa na wake za watu
Wanaotunzwa na mashangazi
Wanaopenda vya bure toka kwa yeyote
Wapenda shortcut
Wavivu wasipenda kujishughulisha
Wapenda starehe

7. Bendera fuata upepo
Wanashadadia tu kwasababu fulani kasema
Wanafuata mkumbo kwakuwa fulani yumo
Wanadhani ndio usasa na ndio ujanja

Washauri wao wakuu
Walioshindwa kuhimili changamoto za ndoa
Walioachwa, waliopigwa kibuti
Walioharibu kwenye ndoa zao
Wapotoshaji

Nisiandike sana ngoja niweke kituo hapa
Dunia imebadilika , zile thinking ways za miaka ya 70 itafikia kipindi zitawatoka tu ,ni suala la muda .Kama sio wewe ni mtoto wako .
Suala la kuona ndoa ndio umemaliza maisha ,
Unafeli sana We mzee
 
Nchini Marekani Sheria zina wa favour sana wanawake, Kiasi kwamba ukimtusi, au kumpiga mkeo, Akapigia simu polisi haijalishi yeye ndio ana kosa au wewe,

Unakamatwa wewe mwanaume na kufunguliwa mashtaka.

Ndio maana Marekani ndoa nyingi sana zinavunjika...mfano mdogo ndoa ya msanii "Kanye West" sheria zilivyo mbana nisha[emoji1]

Na sasa mambo haya haya ya kuwapa kipaumbele wanawake yamefika Afrika kuja kuwabana wanaume ....

Rejea wimbo wa Gabby Makula uitwao "Baba paroko"
[emoji445]Naleta mashitaka kwako baba paroko, Naleta huko huko kanisani Eeeeeeeh, Mimi na mama ya watoto kivumbi na jasho [emoji445][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio ,tatizo watu waangalia juu juu tu , hili suala la vijana wengi kuwa resentful na masuala ya ndoa linasababu zake nyingi sana na moja wapo ni hilo la haki sawa , uchumi wa vijana wengi ni mbovu usioweza himili majukumu ya kutunza familia nk
 
Dunia imebadilika , zile thinking ways za miaka ya 70 itafikia kipindi zitawatoka tu ,ni suala la muda .Kama sio wewe ni mtoto wako .
Suala la kuona ndoa ndio umemaliza maisha ,
Unafeli sana We mzee
Ahahahahahah Mshana anwzingua anaforce kua positive kwenye kila jambo, Mambo zingine aga tu hazibadilishwi ila zishapitwa na Muda.
 
Mwanamke Na Shetani ndio Chanzo cha Dhambi wao Tabja zao zinafanana Hawaridhik na Mipaka waliyonayo. Kataa Kuoa ila Akija Geto ishi nae Akiondoka Vuta Mwingine.
Halafu wakati wa uchumba unakuta mwanamke anaficha makucha yake....

Aki ingia kwenye ndoa kwa vile anajua sasa sheria zinamsapoti ndio huanza kuonyesha makucha yake rasmi...
 
Hali inazidi kuwa mbaya kwa vijana wetu hasa hawa wa kiume wanahamasishana kila kona na kampeni yao yenye hashtag #KATAA NDOA

Sababu wanazotoa zinachekesha mno na kwakweli hazina mashiko.. Kubwa ikiwa ni kuogopa kusalitiwa lakini pia kuna la uchoyo na kukwepa majukumu ila haya hawayasemi kwa uwazi

Hili jambo ni kama fasheni yenye mass hallucination ndani yake! Itapita lakini inaweza kuacha madhara kwa wengine hivyo hatuwezi kukaa kimya

Haya ndio makundi yao

1. Wasiojiamini..
Hawaamini kama wanaweza kutunza mke kutokana na story za vijiweni
Hawaajiamini kama wanaweza kumridhisha mwanamke kitandani
Hawajiamini kama wanaweza kutulia kwenye ndoa bila kuwa na vimada
Hawajiamini kwamba watapendwa na hawawezi kusalitiwa!


2. Wenye kasoro za kimaumbile
Wanaojihisi ni vibamia
Wanaojihisi hawawezi kumpa mwanamke ujauzito
Wasiotahiriwa
Wagumba kwa ithibati

3. Waathirika kisaikolojia
Kutokana na makuzi mabaya
Kutokana na malezi mabovu
Waliolelewa na walezi katili
Walioathirika na punyeto
Walioumizwa kimapenzi
Waliosalitiwa

4. Wasela na wakaa geto
Maisha hayajasimama
Wanaishi kwa kuungaunga
Wasiopenda majukumu

5. Wenye kasoro za kijinsia
Mashoga wa kujificha (mchicha mwiba)
Madomo zege
Wenye ulemavu uliojificha

6. Wapenda kitonga, dezo
Wanaolelewa na wake za watu
Wanaotunzwa na mashangazi
Wanaopenda vya bure toka kwa yeyote
Wapenda shortcut
Wavivu wasipenda kujishughulisha
Wapenda starehe

7. Bendera fuata upepo
Wanashadadia tu kwasababu fulani kasema
Wanafuata mkumbo kwakuwa fulani yumo
Wanadhani ndio usasa na ndio ujanja

Washauri wao wakuu
Walioshindwa kuhimili changamoto za ndoa
Walioachwa, waliopigwa kibuti
Walioharibu kwenye ndoa zao
Wapotoshaji

Nisiandike sana ngoja niweke kituo hapa
Mnatubeza bila kutusikiliza
Mnatutukana bila kufikilia

Wanawake wa sasa wanamtzamo tofauti kabisa wa maisha na wanawake wa kizazi chenu

Vijana wengi wanamajonzi mioyoni mwao hawana sehem ya kusemea wazee wako busy, vijana wanamatatizo makubwa kuhusu mahusiano mengi sana,
Kundi la rafiki zangu karibia wote wanawatoto na wameumizwa na wanawake waliowazalisha kwa kukimbia na vitu

Ukioa ukifilisika ndani ya miezi sita huma mke, zamani ilikuwa kawaida mama kuhudumia familia saaa hakuna

Kuna mengi ya kusema ili kukaa hapa na kubeza kutokana na heshima uliyojiwekea humu ndani si sahihi
 
Halafu wakati wa uchumba unakuta mwanamke anaficha makucha yake....

Aki ingia kwenye ndoa kwa vile anajua sasa sheria zinamsapoti ndio huanza kuonyesha makucha yake rasmi...
Kuoa na Kuolewa ni Fainali mmoja anawin mmoja anapoteza, Mwanamke akiolewa ni Fahali ila Mwanaume kuoa ni UJINGA.
Ni bora ulenge nje ya Goli kuliko kumpa Penalti Kipa. 2023 AD unaoa Serious?
 
Mnatubeza bila kutusikiliza
Mnatutukana bila kufikilia

Wanawake wa sasa wanamtzamo tofauti kabisa wa maisha na wanawake wa kizazi chenu

Vijana wengi wanamajonzi mioyoni mwao hawana sehem ya kusemea wazee wako busy, vijana wanamatatizo makubwa kuhusu mahusiano mengi sana,
Kundi la rafiki zangu karibia wote wanawatoto na wameumizwa na wanawake waliowazalisha kwa kukimbia na vitu

Ukioa ukifilisika ndani ya miezi sita huma mke, zamani ilikuwa kawaida mama kuhudumia familia saaa hakuna

Kuna mengi ya kusema ili kukaa hapa na kubeza kutokana na heshima uliyojiwekea humu ndani si sahihi
Wazee walimudu ndoa kwa vile walitumia Mfumo Dume...

Hiki kizazi cha hawa wanawake ma feminists, , ma super woman, wanao taka haki sawa na "Fifty Fifty" watasubiri sana.....
 
Kuoa na Kuolewa ni Fainali mmoja anawin mmoja anapoteza, Mwanamke akiolewa ni Fahali ila Mwanaume kuoa ni UJINGA.
Ni bora ulenge nje ya Goli kuliko kumpa Penalti Kipa. 2023 AD unaoa Serious?
Wakitaka ndoa ziendelee kuwepo kampeni za feminism, haki sawa, fifty fifty, zisitishwe.

Turudi kwenye mfumo dume. Hakuna mwanaume ata acha kuoa.

Kuupinga mfumo dume kwamba ni ukiukwaji wa haki za binadamu na kusapoti u feminism, kwamba ni haki kwa wanawake kuna shusha ile status ya mwanaume kama Baba kichwa cha familia.
 
Tatizo si ndoa.

kwani hujawahi kuona watu wanaishi familia na hawajafunga ndoa?

Tatizo ni sheria za ndoa za sasa zina wa favour sana wanawake.
Sheria zipi za ndoa zina wafavour wanawake?
Mimi nafahamu kwa Tz kuna aina tatu za ndoa nazo ni ndoa ya kimila,kidini na kiserikali.
 
Siti ya mbele kabisa
wangel
Hali inazidi kuwa mbaya kwa vijana wetu hasa hawa wa kiume wanahamasishana kila kona na kampeni yao yenye hashtag #KATAA NDOA

Sababu wanazotoa zinachekesha mno na kwakweli hazina mashiko.. Kubwa ikiwa ni kuogopa kusalitiwa lakini pia kuna la uchoyo na kukwepa majukumu ila haya hawayasemi kwa uwazi

Hili jambo ni kama fasheni yenye mass hallucination ndani yake! Itapita lakini inaweza kuacha madhara kwa wengine hivyo hatuwezi kukaa kimya

Haya ndio makundi yao

1. Wasiojiamini..
Hawaamini kama wanaweza kutunza mke kutokana na story za vijiweni
Hawaajiamini kama wanaweza kumridhisha mwanamke kitandani
Hawajiamini kama wanaweza kutulia kwenye ndoa bila kuwa na vimada
Hawajiamini kwamba watapendwa na hawawezi kusalitiwa!


2. Wenye kasoro za kimaumbile
Wanaojihisi ni vibamia
Wanaojihisi hawawezi kumpa mwanamke ujauzito
Wasiotahiriwa
Wagumba kwa ithibati

3. Waathirika kisaikolojia
Kutokana na makuzi mabaya
Kutokana na malezi mabovu
Waliolelewa na walezi katili
Walioathirika na punyeto
Walioumizwa kimapenzi
Waliosalitiwa

4. Wasela na wakaa geto
Maisha hayajasimama
Wanaishi kwa kuungaunga
Wasiopenda majukumu

5. Wenye kasoro za kijinsia
Mashoga wa kujificha (mchicha mwiba)
Madomo zege
Wenye ulemavu uliojificha

6. Wapenda kitonga, dezo
Wanaolelewa na wake za watu
Wanaotunzwa na mashangazi
Wanaopenda vya bure toka kwa yeyote
Wapenda shortcut
Wavivu wasipenda kujishughulisha
Wapenda starehe

7. Bendera fuata upepo
Wanashadadia tu kwasababu fulani kasema
Wanafuata mkumbo kwakuwa fulani yumo
Wanadhani ndio usasa na ndio ujanja

Washauri wao wakuu
Walioshindwa kuhimili changamoto za ndoa
Walioachwa, waliopigwa kibuti
Walioharibu kwenye ndoa zao
Wapotoshaji

Nisiandike sana ngoja niweke kituo hapa
wanasema wanawake walio kwenye ndoa wengi hawaridhishwi na wanaume wengi wanalea watoto sio wao.....na hawa wanolewa wanavileta kwa wahuni ni inasikitisha
 
Halafu wakati wa uchumba unakuta mwanamke anaficha makucha yake....

Aki ingia kwenye ndoa kwa vile anajua sasa sheria zinamsapoti ndio huanza kuonyesha makucha yake rasmi...
Ndio wengi wanafanya hivyo akishaingia ndani hakuna rangi utaacha kuziona hususani akishajua udhaifu wako ni nini umekwisha habari yako, wengi hutafuta matobo (loop holes) ya kuanzisha varangati inahitaji umahiri wa hali ya juu kuishi na mwanamke pasua kichwa,
 
Sheria za Ndoa zinambana Mwanamume na kumpendelea Mwanamke bila sababu za kueleweka. Na hii inafanya wanawake kutumia mwanya huu kuwafanyia ukatili Wanaume.. huenda Sheria na taratibu zikiwa updated Kampeni kama hizi hazitosikika.. Vijana wa kiume wana haki ya kujilinda kama wenzao.. usiwe ambassador wa Harmful masculinity Amigo. Change is inevitable
Nakazia hapo palipowekwa bold kwa hio bunge liitazame upya sheria kandamizi ya Ndoa, huku wanawake wanasema sheria hio hio inawakandamiza wakati inawabeba vibaya mnoooo yaan sheria hio imetungwa kwa ajili ya kuwanufaisha wanawake tu na sio vinginevyo na hapo hapo utasikia wanataka 50 kwa 50

Yaan sheria ya Ndoa ya mwaka 1971 last update ilifanywa 2002 sasa ni 2023 hakuna updates zozote miaka zaidi ya 21 sheria limebaki kukandamiza wanaume tu

Nachelea kusema
#KATAANDOA #NDOANIUTAPELI
 
Back
Top Bottom