Mimi nimeoa, ninafamilia.
Ila wanaokataa ndoa wanahoja ya msingi Kwa kizazi cha SASA.
Mfumo unaoisapoti taasisi ya Ndoa ni mfumo wa kizamani.
Ukiona MTU anatumia mfumo wa sasa alfu muda huohuo anasema Ndoa ni muhimu ujue ni Mwendawazimu
Mfumo ni huo huo aujabadilika,sema ishu ya malezi na kutojua kuchagua.
Zamani ulichaguliwa na ndugu kwa sababu ndugu wanajua A to Z ya mwenza.
Kwa SAsa nani anatake action kwenda kuchunguza A to Z ya anapotaka kuoa au kuolewa, zaidi ya kutazama tako,ofisi,gari,muonekano wa nje,nk.
Asili bado Ina nguvu Sana juu ya maisha ya mtu labda mtu mwenyewe awe na elimu ya kutosha kuikataa asili.
1.unaoa mtoto wa msimbe msimbe ni mwanamke anaezaa hovyo hovyo na KILA mwanaume au asiyetulia na ndoa unategemea nini
2.Unaoa ukoo wa wezi, malaya, nk
3.Unaoa ukoo wenye hasira
4.Ukoo wenye maradhi ya kiroho na kimwili.
Lakini ukienda chunguza asili utayagundua.
Jiulize kwann dini na mila zinakataa sex before marriage ni sumu Sana na ndio chanzo cha talaka nyingi.
Ngono kabla ya ndoa uficha tabia mbaya za mtu.