Pengine magani Hayana nguvu kama panadolBaada waweke magadi Yale ya mlenda kidogo tu, wanaweka panado Tena kazi kweli kweli.
Amefanya utafiti kabla ya kupost hii habari yake? Maana kuna watu wanaishi mjini, wanasomesha watoto wao, wanalea familia zao; kupitia hiyo kazi ya mama lishe.
Sahani 1500,2000 wali minyama maharage majani,unategemea nn
Nendeni mkale Serena huko
Ova
Unaanza Kula Wapi MkuuKuanzia mwaka mpya 2024 naacha kula kwa mama lishe.
hawali, hayo ni maalum kwa ajili ya watejaa!Inamaana wenyewe hawali???
Wakipita ndugu au rafiki wa karibu wanawaambia pia wasile?!hawali, hayo ni maalum kwa ajili ya watejaa!
Halafu mamantilie atalia biashara ngumu,hata kiasi cha kutafuta sangomaaa wa mvuto wa biashara1🤣.Sili tena kwenu kwenye pilika zangu natembea na hot pot kutoka nyumbani😁Kuanzia mwaka mpya 2024 naacha kula kwa mama lishe.
Unahamia hotelini au unaoa?Kuanzia mwaka mpya 2024 naacha kula kwa mama lishe.
Nitakosa kula krisimas hii. Ngoja ipite kwanzaAnza sasa, the earlier the better.