kwenye mihogo jee?
kuna mama mmoja saa kumi na mbili asubuhi mihogo ishaiva watu wanapata chai wakati wengine mihogo haijaiva uwa najiuliza huyu mama kaamka saa ngaapii au kaweka kituu!
 
Kwa dawa zinavyotoa harufu inamaana mtu hauisikii ile harufu ya dawa wakati ukila?.

Sidhani kama hili ni la kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…