Mamalishe wanatumia dawa ya Panadol kunogesha mapishi
Kweli sababu ni nyingi Vijana wengi wa miaka hii wasiufikie Uzee wao.

Kama kijana utaanza kula mamantilie ukiwa na miaka 21, hadi uje uoe na miaka 36 hivi ina maana una miaka 15 ya kuharibu Moyo, Ini na Figo kwa hivyo vyakula vya Mamantilie.

Hivyo, natoa ofa kwa waoaji nimepunguza mahari kwa Wajukuu zangu, sasa ukija na laki mbili nakupa mke 😜

Msije kusema nimemtuma Dokta Ndugulile kusema hayo ili niwaoze Wajukuu zangu bure 🤗
 
Kuanzia mwaka mpya 2024 naacha kula kwa mama lishe.
Ni vizuri ukaanza kujipikia mwenyewe maana huku nyumbani pia tutaanza kuweka panadol ili kubana matumizi.ya gesi na mkaa😀
 
Afrika tunaishi kwa neema za Mungu. 😂 haya wa kwa mama ntilie kazi kwenu.

Someone will mess up your health na huna cha kumfanya, hata akisema akulipe atakulipa nini? 🤷🏻‍♀️
 
Yooote haya chanzo ni KIZIMKAZI kupandisha Bei ya GAS [emoji618] pamoja na zuio la mkaa.
 
Amefanya utafiti kabla ya kupost hii habari yake? Maana kuna watu wanaishi mjini, wanasomesha watoto wao, wanalea familia zao; kupitia hiyo kazi ya mama lishe.

Hivyo siyo jambo la busara kuzusha taharuki kama hizi kwenye biashara za watu.
WaTz wana option? Definitely hawana. Watakula tu na maisha yataendelea.

Kwanza Yawezekana walioiona hiyo tweet ni 2% ya population yote.
 
Toka kipindi cha nyuma,nimesikia panadol inatumika kuivisha mapema maharage,aisee Mungu atusaidie,bado amira,bado ARV,bado formalin kwenye samaki na nyama,bado madawa yanayopigwa kwenye vyakula kama mahindi,maharage n.k aisee,nimeamini kinachoongoza kuua ni CHAKULA.
 
Kula nyumbani,kama hakuna ulazima wa kula mitaani.
 
Ishu kubwa hapa kuna mahali serikali imepoteza maana walikuwepo watu wanaitwa bwana afya na bibi afya siku za nyuma naona hawakuonekana kazi zao wakatolewa kimya kimya
Sasa tutalishwa mpaka vinyesi ni swala la muda tuu
 
Sahani 1500,2000 wali minyama maharage majani,unategemea nn
Nendeni mkale Serena huko

Ova
Kuna kasumba imekuwa sugu sana kwa wauza mchele kuchanganya mchele na mafuta ya kupikia wengi ya nguruwe ili mchele uwe na mng'ao mzuri. Sasa mnaohusika na ubora wa vyakura vya binadamu yani mabwana afya na bi afya hebu tasaidieni tukifa
Huyo bwana afya na bibi afya uliwahi muona wapi au bado upo kipindi cha 1990?
 
Back
Top Bottom