Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Kuna pisi humu JF nanegotiate naye aweze kunihostUnaanza Kula Wapi Mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna pisi humu JF nanegotiate naye aweze kunihostUnaanza Kula Wapi Mkuu
😁🤣😄Kuna pisi humu JF nanegotiate naye aweze kunihost
Ni vizuri ukaanza kujipikia mwenyewe maana huku nyumbani pia tutaanza kuweka panadol ili kubana matumizi.ya gesi na mkaa😀Kuanzia mwaka mpya 2024 naacha kula kwa mama lishe.
WaTz wana option? Definitely hawana. Watakula tu na maisha yataendelea.Amefanya utafiti kabla ya kupost hii habari yake? Maana kuna watu wanaishi mjini, wanasomesha watoto wao, wanalea familia zao; kupitia hiyo kazi ya mama lishe.
Hivyo siyo jambo la busara kuzusha taharuki kama hizi kwenye biashara za watu.
Lakini pia kuna mwaka mpya. Subiri nayo ipite.Nitakosa kula krisimas hii. Ngoja ipite kwanza
Sahani 1500,2000 wali minyama maharage majani,unategemea nn
Nendeni mkale Serena huko
Ova
Huyo bwana afya na bibi afya uliwahi muona wapi au bado upo kipindi cha 1990?Kuna kasumba imekuwa sugu sana kwa wauza mchele kuchanganya mchele na mafuta ya kupikia wengi ya nguruwe ili mchele uwe na mng'ao mzuri. Sasa mnaohusika na ubora wa vyakura vya binadamu yani mabwana afya na bi afya hebu tasaidieni tukifa
Wapo Halmashauri MkuuHuyo bwana afya na bibi afya uliwahi muona wapi au bado upo kipindi cha 1990?
KUMBE NDO MAANA NIKILA KWA MAMA NTILIE NIKIAMKA NAKUWA KAMA NINA HANG OVER HIVIView attachment 2850499