uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa si mnapigwa Dozi Ya Jumla jumla
Huna Haja yakwenda Hospital ya Wilaya kuishia kupewa Panadol
Ndo maana kila nikiumwa kichwa kisha nikala chakula ulichopika napona ghafla🤣🤣Ni vizuri ukaanza kujipikia mwenyewe maana huku nyumbani pia tutaanza kuweka panadol ili kubana matumizi.ya gesi na mkaa😀
Nitakuwa nishaweka sawa na pisi ya humu niwe nakula chakula kisicho na panadol🤣Lakini pia kuna mwaka mpya. Subiri nayo ipite.
Ndo hivyo😀Ndo maana kila nikiumwa kichwa kisha nikala chakula ulichopika napona ghafla🤣🤣
Ndio mana mi huwa sili njiani,huwa napoza njaa Kwa kula matunda tuUkiishi dar una asilimia kubwa sana kulishwa uchafu,vibudu na mavitu mengine kama hayo
Kweli mkuuWatu wana mambo ya hatari sana
Nikweli chakula salama angalau nikile kilichoandaliwa kwakoNdio mana mi huwa sili njiani,huwa napoza njaa Kwa kula matunda tu
Kweli tupu, wafanya biashara huwa baadhi hawajali afya za wengine, hata pengine huwa tunakulaga paka na mbwa!Kama ni kweli basi hatua zichukuliwe kwa wanaofanya hivyo.
BAADHI YA MAMA LISHE SIO WATU WAZURI KABISA.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Usingekuwa Mtani wa Taifa basi polisi wangekutafuta ushtakiwe!Sio mbaya, nadhani wanatusaidia sana yaani tunakula supu na panadol ndani yake, ndio maana tuna stress lakini vichwa haviumi kumbe tunatibiwa kwenye supu.
Hongereni mamalishe kwa ubunifu kwa kweli mnatuokoa sana.
Usingekuwa Mtani wa Taifa basi polisi wangekutafuta ushtakiwe!
Aisee.hawali, hayo ni maalum kwa ajili ya watejaa!