scolastika
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,863
- 5,719
Maelezo yametolewa yakutosha ndo nyie mnaparamia nyuzi juu kwa juu kama vip muulze kaka yako s kajiunga amaNimealikwa na kaka yangu kujiunga na hii biashara ya mtandaoni ya Q-net, kwa maelezo niliyopata ofisini kwao ni kwamba unanunua kitu online kwenye website yao na bidhaa ya chini ni milioni nne baada ya hapo wanakuregister na unapewa account yako baada ya hapo ukileta watu wawili unaingiziwa kwenye akaunt yako dola mia nne na kadri chain inavyozidi kukua ndivyo unazidi kuingiza kiasi kikubwa zaidi ya ela, Naomba kama Kuna mtu amewahi kuifanya hii biashara au anayeielewa anipe japo kama ina ukweli au lah!
Kama nakuona ulivyofura jamaa yanguWatanzania wenzangu huyu aliyeandika hii post kandika kwa kutoelewa habari nzima ya qnet kiundani au kwa manufaa fulani ya kuponda qnet nachowashauri kabla ya kujiunga tafuta presentation za qnet ambazo ni free usikilize vizuri ulize maswali ya kutosha alafu uwamue mwenyewe usikubali kumsikiliza aliyeandikaa sio Kila anayeandika anajuwa wengine ni wapotoshji tuu
Hapana mkuu sijatumwa. Ila ni kwamba imeniumiza sana. Wife aliingia kwa siri bila mimi kujua. Baada ya movement zake nyingi kuwa sizielewi ndipo akaniambia ana biashara.
Nikataka kuijua akasema hawaruhusiwi kumwambia mtu. Ukitaka mpaka uende mwenyewe.
Basi nikajikongoja mpaka kule. Mafundisho yao hayakuniigia akilini. Ikabidi nikasome vizuri. Nikakutana na tegatives na positives.
Mashuhuda wengine wakaniambia ile kitu ni kama wanatumia mpaka ushirikina. Ndoa nyingi zinavunjika kwasababu mwanamke akiingia kule anabadilika tabia na kuwa wa ajabu sana.
Na kweli nilishaona hizo tabia kwa mke wangu. Ukigusia kampuni hiyo hata kwa kumshauri tu anakuwa mkali sana.
Mara jana kwenye profile picture yake kaweka gari ya mwalimu wake ambaye ndiye boss wake. Nilipomuuliza sababu ugomvi mkubwa ukazuka. Na akaapa kuwa haiondoi.
Tangu mwanzo nilishajua kuna tatizo akanibishia. Hata hiyo milioni 5 aliyojiungia huko sijui alikoitoa. Na nikimuuliza inakuwa balaa
Good morning....stupid kbsaa wale
Oya Kama una mashamba nenda kalime tu lakini usijaribu huo upuuzi utalia na kusaga meno
Utauza mpaka hicho Chumba ulichopanga ole wakoAsante mkuu,mi bado sijashawishika na jamaa kanipa maelezo mengi ya kunipambana na kunishawishi kweli kweli nijiunge,ila bado sijaahafikiana nae
Utauza mpaka hicho Chumba ulichopanga ole wako
Good Morning!!!!!Kuna kijana mpangaji mwenzangu
Yapata wiki sasa ananiambia Kuna mradi anataka kuufanya ambao ndani ya miaka 5 anajiona atakua bilionea mkubwa sana
Nikashawishika kuujua huo mradi ili na Mimi nije kuwa MO wa 2 akaniambia atanijuza siku mipango ikikamilika ili niende kukutana nae anitajie mradi wenyewe
Leo kaniita nikakutana nae Mara akaja mwenzake akaanza kunipa maelezo mengi yaliyojaa ushawishi na mafanikio mengi ya kuvuna Dola 6200$ kwa mwezi ambayo ni kama million 7 na elfu kadhaa
Akaniambia biashara inahusisha mtandao yani Network marketing au E-commerce kupitia mtandao mkubwa wa QNET
sasa naomba mnijuze kwa wale waliokutana na hii project inakwendaje kwendaje.
Asanteni
N happy Good Friday!
[emoji23][emoji23]Good morningGood Morning!!!!!
Watu wa ajabu sana kuna mdada kanishawishi siku moja nikaendaa, nilipofka jinsi wanavyoshawishi tu nikajua watanipotezea muda. Ukitoa tu pesa imekula kwako , itabidi uwe mtumwa ili pesa yako irudi. Oo mi nilikua mkurugenzi nikaacha , mara nilikuaa Doctor upuuzi mtupu[emoji23][emoji23]Good morning
Kufika tu napewa hii salamu nikajiuliza saa hivi ni saa 9 alasiri sasa hii Good morning ya nini!!?? Baadae jamaa akanipa ufafanuzi wa hii salamu kwa nini wanaitumia mchana hadi usiku