Wapo mikoani wanaliza watu mdogo mdogo
Goodmorning
Good morning millionaire
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo mikoani wanaliza watu mdogo mdogo
Goodmorning
Vp mkuu hao nao wanafanya biashara Kama hizo za Qnet??Kuna anayewajua Rhythm Foundation humu??
Sema sister nae ameng'ang'ania huko kinoma,nimejaribu kumshauri aachane nao hao watu lakin alikua hata anisikilizi...Daaah!!Pole sana mkuu,ila napenda kukuambia tu kwamba hapo tayari ndugu yako ameingizwa town na wajanja.
Ila watu wana pesa za kuchezea, milioni 4 unawapa watu kirahisi tu......
Sema sister nae ameng'ang'ania huko kinoma,nimejaribu kumshauri aachane nao hao watu lakin alikua hata anisikilizi...Daaah!!
Sent from my TECNO LB6 using Tapatalk
Yaan mkuu mm mwenyewe niliwaza Sana ,yaani utoe 4.5M then utafute mtu mwingine umuunge naye aje atoe 4.5M ...nikaona huu Ni utapeliShukuru hujamwelewa.maana ungeshapigwa 4.5mln.
Mnatapeliwaje kizembe hivi?
Kuna siku nilimpigia simu nikamuuliza vp ushajiunga na hao watu akaniambia ndio,dooh nikachoka hapo hapo .nikamuuliza kwa hiyo Sasa wewe watu wa kuwaunga huko utawapata wapi akasema Ni nyie ndugu zangu na marafiki ,weee nikamwambia ishia huko huko.Ndio hivyo tena,mpe pole.
Kuna uzi humu unaelezea Qnet mwanzo mwisho,na kuna shuhuda nyingi sana,utafute umpe ausome, akili yake itakaa sawa.
Kuna siku nilimpigia simu nikamuuliza vp ushajiunga na hao watu akaniambia ndio,dooh nikachoka hapo hapo .nikamuuliza kwa hiyo Sasa wewe watu wa kuwaunga huko utawapata wapi akasema Ni nyie ndugu zangu na marafiki ,weee nikamwambia ishia huko huko.
Sent from my TECNO LB6 using Tapatalk