Sema zitawwkwa rangi za 5imbaMuda si mrefu, zile nguo za kijani zitawekwa chapa ya Rangi za upinde wa mvua.
Moja ya masharti ya kujiunga na wajenzi huru, lazima uutangaze na kuulinda ushoga.
Hilo kundi hakuna asiyejua, na wana nguvu kiasi sasa wataongeza wawakilishi wao kule bungeni.
Ikitokea watoto wao na ndugu zao wakawa mashoga watafurahia vionjo na kuchekeshwa chekeshwaHakuna siri yoyote, ni kwamba wanawake wanafurahia vionjo vya mashoga. Wanawake wanapenda vituko na kuchekeshwa chekeshwa.
Wanawakosha haswaaa.
Ikitokea watoto wao na ndugu zao wakawa mashoga najiuliza watachukua hatua ganiHuwa sipendi kabisa hiyo kitu, kama ni kizuri wakafanye kwa ndugu zao
Hili swali nilishawahi kuuliza member mmoja mkongwe alijidai ni mtetezi sana alishindwa kujibu.Hili swali mie pia huwa najiuliza, marafiki wakubwa wa mashoga ni wanawake. Hivi huyu huyu mwanamke mtoto ake akiwa shoga atamuentertain hivyo kwenda nae shughulini?? Akiwa kaka ake atafanya hayo??
😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wizooo uko ktk vazi jinginee? Woiiiiiih
Ila waja wana nongwa, akat ndo hao hao kutwaa kuranda randa kuwafata vidampaa.
Mxxxxiiiiieeeew zao.
Huu uchonganishi Sasa , siku nyingine usimtaje mtu kwenye mazingira aina hii hata kama ni kweli amekuambia.Nilikua na zembwela siku moja,alizungumzia hao watoto maisha yao kwa boss wao,kutwa kuongelea ngondo,na kwamba wanafumuana, zembwela akasema tunaishi nao hivyohivyo baasi tu
Mtiahani mkubwa HuuIf you want to be top you must accept homosexuality hayo ni masharti asilimia kubwa ya wasanii wapo hivyo refer na kauli ya chidi benzi hata gabo kwenye kipindi cha Salama na alifunguka kuwa kama anataka kuwa star kwanza akubali kuwa kama shoga kwenye movie alipoenda nje ya nchi kuomba nafasi ya kuingiza kwa hyo kiufupi wasanii wetu wameharibikiwa.
Kumbe ndo huyu wizo 🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wizooo uko ktk vazi jinginee? Woiiiiiih
Ila waja wana nongwa, akat ndo hao hao kutwaa kuranda randa kuwafata vidampaa.
Mxxxxiiiiieeeew zao.
wanasubiri video chafu za ushoga zivuje ndio washughulikie hayo madai ya hivyo vitendoZipo tuhuma zinazolikabili kundi la muziki nchini linalopendwa na wakubwa pamoja na watoto na ndiyo kundi linalotumiwa hata kwenye kampeni za kisiasa.
Kwenye kundi hili kuna watu wa ajabu wanaosadikika Kuwa wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja na kuna videos nyingi zinawaonesha watu hawa haswa kwenye shoo zao mbaya zaidi wamejificha kwenye kivuli cha "udizaina".
Wahusika na hili fanyeni uchunguzi HARAKA iwezekanavyo siyo kutaka kuifungia Twitter ''X'' na madanguro wakati kuna mambo ya ajabu yanafanyika wazi wazi hii nayo ni HATARI katika jamii yetu na WATOTO wetu.
Hii video Haina mahusiano yoyote na HABARI hii.
View attachment 3019596
ACHA wogaHuu uchonganishi Sasa , siku nyingine usimtaje mtu kwenye mazingira aina hii hata kama ni kweli amekuambia.
Huyo ni upinde professionalHuyo jamaa amabye yupo na Dangote mbona kama ni upeinde kabisa
Kuna kitu naona kinachanganya watu wengi kuna wanaume wamezaliwa na genre za kike but sio mashoga shoga ni mwanaume yule ambaye anaingiliwa kinyume na maumbile sass kwanini tunawatuhumu kila mwanaume ambaye anahaiba ya kike ni shoga? naHuwa sipendi kabisa hiyo kitu, kama ni kizuri wakafanye kwa ndugu zao
Anaungamkono au anapenda kazi yake anaifanya kwa ufanisi? we si umeona hapo alivyopendeza hiyo yote ni kazi nzuri ya bwana NoeliNina siku nyingi sana sisimfagilii tena huyo mwamba baada ya kuona anawaunga sana mkono hao wadau wa upinde.
Msipende kutuhumu vitu ambavyo hujui huyo noel ni fashion designer wa diamond kwenye mavazi na ni fundi kwenye hiyo kazi anapataga tenda mpaka ufaransa, unamuona diamond anapendeza kwasababu ya huyo anawekwa kwenye muonekano wa kistaa zaidi.Mwenzako kaangalia hapo ubora wa kazi kutokana na Sanaa yake wewe umeangalia ushoga wa huyo noel lazima umtofautianeJAMAA ANAWAFUMUA TU AISE
Duuuh naomba hiyo interview ya Gabo, natamani kuitazama.If you want to be top you must accept homosexuality hayo ni masharti asilimia kubwa ya wasanii wapo hivyo refer na kauli ya chidi benzi hata gabo kwenye kipindi cha Salama na alifunguka kuwa kama anataka kuwa star kwanza akubali kuwa kama shoga kwenye movie alipoenda nje ya nchi kuomba nafasi ya kuingiza kwa hyo kiufupi wasanii wetu wameharibikiwa.
Bora wee usemee.Jamani Noel yupo hapo kikazi anawadizain Diamond na watu wake.Hata kama ana hizo tabia lakini wcp hapo ndipo anapata rizki zake!Acheni kuhukumu hawa watu hata kwenye shughuli za kawaida maana mwisho wa siku nao ni watu.Nyie mbona ni malaya,wafiraji,wachawi,wala rushwa hamjihukumu muda mwingine acheni watu waishi eeeh