DOKEZO Mamlaka zinasubiri nini kufanya uchunguzi wa tuhuma za Ushoga pale WCB?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Sema zitawwkwa rangi za 5imba
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wizooo uko ktk vazi jinginee? Woiiiiiih
Ila waja wana nongwa, akat ndo hao hao kutwaa kuranda randa kuwafata vidampaa.

Mxxxxiiiiieeeew zao.
😂😂😂
Hii mada bila ww ingekua ajabu sana
 
Duh
Mtiahani mkubwa Huu
 
wanasubiri video chafu za ushoga zivuje ndio washughulikie hayo madai ya hivyo vitendo
 
asie na dhambi aanze kumpiga huyu mama jiwe, Wewe unaweza kuwa mshenzi kuliko hao mashoga
 
Huwa sipendi kabisa hiyo kitu, kama ni kizuri wakafanye kwa ndugu zao
Kuna kitu naona kinachanganya watu wengi kuna wanaume wamezaliwa na genre za kike but sio mashoga shoga ni mwanaume yule ambaye anaingiliwa kinyume na maumbile sass kwanini tunawatuhumu kila mwanaume ambaye anahaiba ya kike ni shoga? na
Wakati unakuta ndio namna alivyozaliwa yuko hivyo
 
Nina siku nyingi sana sisimfagilii tena huyo mwamba baada ya kuona anawaunga sana mkono hao wadau wa upinde.
Anaungamkono au anapenda kazi yake anaifanya kwa ufanisi? we si umeona hapo alivyopendeza hiyo yote ni kazi nzuri ya bwana Noeli
 
JAMAA ANAWAFUMUA TU AISE
Msipende kutuhumu vitu ambavyo hujui huyo noel ni fashion designer wa diamond kwenye mavazi na ni fundi kwenye hiyo kazi anapataga tenda mpaka ufaransa, unamuona diamond anapendeza kwasababu ya huyo anawekwa kwenye muonekano wa kistaa zaidi.Mwenzako kaangalia hapo ubora wa kazi kutokana na Sanaa yake wewe umeangalia ushoga wa huyo noel lazima umtofautiane
 
Tuwekane sawa iko hivi

Mtoto wakiume anapo zaliwa uzaliwa akiwa amekamilika asilimia 100 Kama mtoto wakiume.

Hizi mambo sijui haiba ya kike, sijui genetic za kike, sijui hormone za kike ni utetezi tu.

Ushoga Ni tabia ya kujiendekeza au kuendekezwa.

Wote tumezaliwa tukiwa empty kichwani yani akuna tulilokua tunalijua ila unayo yajua na kuyafanya ni matokeo ya kujaza na kujazwa vitu sio na ndio kichwani.
 
Duuuh naomba hiyo interview ya Gabo, natamani kuitazama.
 
Bora wee usemee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…