UNSPECIFIED
JF-Expert Member
- Sep 13, 2017
- 792
- 2,609
Ulitaka wakuachie hizo silaha wewe huku chini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakiwa juu ya Paa?Hatahivyo ni kawaida katika majanga yeyote yale duniani kuwepo askari wanaolinda maeneo na mali wakati waathirika wakiwa katika mkiki mkaka wa janga linalowasibu.
Hahahaaha nilijua ni zimamoto mwanzoniPengine ndio mbadala wa jeshi la zimamoto kwa maeneo ya huko, hivyo wamejikusanya kufanya tathmini ya uokozi kwa upande huo wanaoutazama...
Wanataka kuyatwanga maji risasi ama!?
Wapo kwenye shughuli za kiulinzi tuPoleni sana sana Kwa msiba huu mkubwa, so far ni 47 confirmed dead! Ila Kuna Mambo mengine yanaleta ukakasi!
FFU wako juu ya Paa wakilinda mafuriko Kwa bunduki na bullet proof jackets na virungu
View attachment 2832497
Poleni sana sana Kwa msiba huu mkubwa, so far ni 47 confirmed dead! Ila Kuna Mambo mengine yanaleta ukakasi!
FFU wako juu ya Paa wakilinda mafuriko Kwa bunduki na bullet proof jackets na virungu
View attachment 2832497
Acha visaWaone na MABUTI YAO kama MAGOLIATI.
Ningekuwa karibu ningewatandika na manati za kisogo. Kila mmoja anakula jiwe moko.
Watu wenye drone ndio wangeweza kitupa picha halisi, pia serikali ingekuwa serious ingepita hata na helikopta kujua tatizo halisi na kuwahamisha walio hatarini hata kwa nguvu, kuwaeleza wananchi nini hasa kinaendelea, lakini naona watu wanajipambania wenyewe, kazi ya mkuu wa wilaya ni kutoa taarifa za waliokufa!!!Hafu kwanini video ni iyo iyo moja tu? Tuseme watu wa uko wanashindwa record tuone upande wa inakotokea iyo mudflow?
Poleni sana wakuu.
Mv bukoba waokoaji walitoka afrika kusiniHv nimeona taarfa kuw askar wa jwtz wanaanz ukoz kesho mean ukoz bado hakuw seriously na kwann kesho waazianze leo inaama majesh hayana utayr
Sawa ngoja wataalam wa Tanzania waende kucheki kama mvua ni ndogo kiasi kwamba haiwezi sababisha madhara kwa kiasi kile ila kumbuka mlima hanang ni dormant volcano sasa huenda ilipiga chafya baada ya usingixi wa mda mrefuLakini wenyeji wanadai mvua iliyopiga ni ndogo, sasa hiyo mudflow imetokana na nini, maana yake hiyo crater haijafurikwa na maji
CCM ni takataka kabisaWatu wenye drone ndio wangeweza kitupa picha halisi, pia serikali ingekuwa serious ingepita hata na helikopta kujua tatizo halisi na kuwahamisha walio hatarini hata kwa nguvu, kuwaeleza wananchi nini hasa kinaendelea, lakini naona watu wanajipambania wenyewe, kazi ya mkuu wa wilaya ni kutoa taarifa za waliokufa!!!
😅😅 kazi kweli kweli.Wakiwa juu ya Paa?
Huna akili kima weweNilisema mwaka huu hamna elnino serikali iache kuwaandaa watu kwa kitu ambacho hakipo, wamewaambia watu kutakuwa na elnino wahame mabondeni matokeo yake huko walipokimbilia milima inaanguka.
Kwenye mahojiano kuna mwananchi amesema waliona mvuke, haiwezi kuwa volcano ? Au landslide inamvuke wa moto pia??Hiyo ni landslide! Volcano ni mlipuko wa matope ya moto na landslide ni maporomoko ya mlima uliozidiwa na maji kutokana na mvua!