G - The Apostle
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 599
- 1,125
Hivi ni mafuriko au ni maporomoko na uhamaji wa ardhi (Mass Wasting)
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe Uko Kisayansi zaidiHivi ni mafuriko au ni maporomoko na uhamaji wa ardhi (Mass Wasting)
Sent using Jamii Forums mobile app
Aina ipi ya msaada? Ameagiza Helcopta zipeleke misaada kule? au Wakuu wa wilaya na Mkoa kwenda kupiga picha pale ndio misaada?Rais Samia amesema Nchi yetu imepata Baraka za mvua lakini kwa bahati mbaya huko Katesh, Hanang mkoani Manyara yametokea Mafuriko ambayo yameleta madhara
Rais Samia ametoa pole kwa Wananchi wa Katesh na Manyara kwa Ujumla kufuatia Janga hilo
Rais Samia ameviagiza Vyombo Vya DOLA Vya kukabiliana na majanga Katika eneo husika kuhakikisha wanatoa kila aina ya Msaada unaohitajika
Taarifa kupitia Ukurasa wa X wa mh Rais
Yes, this is news! Pole zinarudisha watu.....pumbavu kabisa😂😂😂
Habari ni Mnyika na Sugu wako Marekani 😂
Landslide and mud flowsZamani iliitwa volcano, siku hizi sijui hiyo inaitwa nini.
Very serious!Ameongea akiwa serious au akiwa anajibaraguza?
Ule mlima kuna kitu watu hawakijui vizuri, iko hivi mlima hanang upo kama kilimanjaro una-crater kwa juu ambamo panamaji kwa miaka mingi hivyo ilipopiga mvua kubwa ngoma ilifurika nakusababisha mpasuko chinikwachini pressure ilipoongezeka nakusababisha landslide/mudflowsAisee sasa inamaana huko milimani ndiyo mvua imenyesha zaidi?, maana wanasema huku kwa watu mvua haikua ya kutisha hivo hadi mafuriko🤔
Sehemu ya mlima imeporomoka..ni kama landslide..Aisee sasa inamaana huko milimani ndiyo mvua imenyesha zaidi?, maana wanasema huku kwa watu mvua haikua ya kutisha hivo hadi mafuriko🤔
Sio Volcano hiyo,Volcano hutoa uji wa moto.Hiyo ni Mudflow kutoka mlimani na inashuka inapita na kila debris kwenye safari yake.Zamani iliitwa volcano, siku hizi sijui hiyo inaitwa nini.
Mlima ni kama umeporomokaAisee sasa inamaana huko milimani ndiyo mvua imenyesha zaidi?, maana wanasema huku kwa watu mvua haikua ya kutisha hivo hadi mafuriko🤔
Hakuna elnino? Wewe popoma nini?Niliposema mwaka huu hakuna elnino watu walinibishia haya kiko wapi?
Inaonekana ni tope jeusi la volcano [emoji291]Aisee sasa inamaana huko milimani ndiyo mvua imenyesha zaidi?, maana wanasema huku kwa watu mvua haikua ya kutisha hivo hadi mafuriko[emoji848]
Lakini wenyeji wanadai mvua iliyopiga ni ndogo, sasa hiyo mudflow imetokana na nini, maana yake hiyo crater haijafurikwa na majiUle mlima kuna kitu watu hawakijui vizuri, iko hivi mlima hanang upo kama kilimanjaro una-crater kwa juu ambamo panamaji kwa miaka mingi hivyo ilipopiga mvua kubwa ngoma ilifurika nakusababisha mpasuko chinikwachini pressure ilipoongezeka nakusababisha landslide/mudflows