Muulize Mbowe, na yeye ni msimamizi wa fedha za Chadema lakini kimemshinda kabisa, wafanyakazi wake wanalala njaa isipokuwa yeye!!Alitoa hela yake mfukoni?
Kusinamia Pesa ni kujitoa na kujinyima sana mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muulize Mbowe, na yeye ni msimamizi wa fedha za Chadema lakini kimemshinda kabisa, wafanyakazi wake wanalala njaa isipokuwa yeye!!Alitoa hela yake mfukoni?
Kikwete anapenda kujisifia sana sasa anasema yeye alifanya kila kitu ikabaki utekelezaji, treni nayo alisema hivyo😂Kwa kutambua umuhimu wa mradi wa kufua umeme wa Mto rufiji Marais wastaafu na mawaziri wakuu wastaafu wametembelea bwawa la kuzalisha umeme la NYERERE...
Bakaa ya bajeti inapigwa kianaBaadae wataenda kuangalia maeneo yanayopendekezwa kujenga Bandari huko Bagamoyo 😂😂
Mzee nchi inatafunwa vibaya sana.Bwawa = Tsh 7 trilioni
Bagamoyo = Tsh 23 trilioni...
Huu uzi umemtaja JK kama mtego ili kusisitiza legacyHii ni hatua kubwa za kuenzi legacy ya JPM
hahahaaaaaaaaa! umeona eee? ukiwa na akili hauhitaji mamisuli makuuubwa!Baadae wataenda kuangalia maeneo yanayopendekezwa kujenga Bandari huko Bagamoyo 😂😂
Huyu ni kama MalecelaKwa kutambua umuhimu wa mradi wa kufua umeme wa Mto rufiji Marais wastaafu na mawaziri wakuu wastaafu wametembelea bwawa la kuzalisha umeme la NYERERE
Hii ni hatua kubwa za kuenzi legacy ya JPM Ndio maana tunasema JPM rest in power
===
Viongozi wakuu wastaafu Rais Ali Hassan Mwinyi na Jakaya Kikwete,wameongozana na mawaziri wakuu wastaafu Cleopa Msuya, John Malecela na Mizengo Pinda kutembelea utekelezaji wa mradi wa kimkakati wa kufua umeme kwa maji wa Julius Nyerere.
PICHA: Marais Wastaafu Mzee Kikwete upande wa kulia na Mzee Mwinyi kushoto
PICHA: Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pind
View attachment 1842458
Tahadhari:Watanzania wasiposimlia mambo makubwa aliyoyafanya JPM kwenye nchi yake na kwa Watanzania, Aridhi itasema, mito itasema, anga litasimulia, maziwa yataisimulia kwamba huyu mtu hakuwa mtu wa mchezomchezo,
R.I.P JPM
Hakuna la maana alikofanya MWENDAZAKE zaidi ya kuharibu baioanuai ya Selous kwa kufueka miti yenye ukubwa sawa na Mkoa wa DSM.Watanzania wasiposimlia mambo makubwa aliyoyafanya JPM kwenye nchi yake na kwa Watanzania, Aridhi itasema, mito itasema, anga litasimulia, maziwa yataisimulia kwamba huyu mtu hakuwa mtu wa mchezomchezo,
R.I.P JPM
Hivi unajua kusoma na ukaelewa ulichosoma..!!Hakuna la maana alikofanya MWENDAZAKE zaidi ya kuharibu baioanuai ya Selous kwa kufueka miti yenye ukubwa sawa na Mkoa wa DSM.
Megawatt 2100 angezipata kwa gesi ya Mtwara tu.
Sioni kwa nini mnamtukuza yule kichaa ambaye alikuwa hasikii ushauri wa wataalamu. Alivyo bounce kwenye KOROSHO na COVID-19 ndiyo atakavyo bounce na kwenye umeme wa Stiglers japo tayari amekwisha kufa
Hivi wote walipanda hilo chopa? Nimeona ktk tv.hao walileta ujuaji na kuanzisha vita na mtoto wa mjini, akawatawanya vibaya...hawaonekani tena mjini wamemuachia Mzee wa saigon mji..