Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
kipande cha missile yao moja iliyokuwa intercepted kilidondoka na kuua huyo mtu. Mengi ya yaliyobaki yalipiga targetKama lengo la iran sio kuua raia mbona aliua mpalestina mmoja sema israel haiwatumii raia kama human shield wamewekeza kulinda raia wao
Yaani unawaamini Wahindi hao?! Kwanini hakuna media yoyote iliyoripoti hiyo habari zaidi ya media za India?!
View: https://x.com/TimesAlgebraIND/status/1845163894064734623?t=BJx_HHK2DJH9xUpmOmHl1w&s=19
Iran qanakumbana na changamoto kubwa 😀😀😀
GOD BLESS ISRAEL
Iran ni level ingine huwa hatafuti reason za kijinga kama hao mashoga wawili US na Israel. Iran angeweza kupiga majumba hayo ya Tela Aviv akasema Israel kaweka silaha zake mle. We tazama Mrusi, Iran na Hezbullah. Hamasi target zao ni military target tu. Hamasi na Hezbullah ukiona wamepiga majumba basi huwa ni zile intercepted missiles za mashoga ndio sababu au wanapiga kuwambia na sisi tunaweza ku target civilian lakini mara moja moja sio hao US na Israel vita vyao lazima wapige civilian area wanaona vita ni kuhesabu umeuwa raia wangapi na majumba mangapi.Wameshindwa kumsaidia Ukraine huko Marekani kabakia na ubabe wa media tu Iran Wanaume hawapigi majumba wakitaka kuteketeza Tela Aviv yote wangefanya. Wamepiga Military base na Target za kijeshi wana makombora yanapenya mbele ya huo mfumo.
Kinachomsaidia Urusi ni wingi wa silaha na idadi ya wanajeshi. Baada ya zile S500 advanced radar systems zake zikipigwa tena na drones, basi hakuna guarantee kwa hizi air defense systems.Siraha za US zime prove kuwa dhaifu Ukraine
🤣Nakwambia Thad haiwezi kuzuia kifurushi cha buku never on earth, itaanza kupambana na drone za bei rahisi buku 2 zinamchosha battery alafu kina kuja kifurushi sasa cha ballistic buku sidhani kama atatoboa athari itakua kubwa mno
Zili target military camps na mossad HQZilifeli and then ICBM za Iran hazikuua hata mbu?
🤣🤣🤣 Haya mambo walianza wenyewe now wamewaamsha wajinga waliokuwa wamelala sasa wanalazwa waoIzo safari za wanasiasa w irani kwenda Israel ndio mwiba.waIran.wanajidai.wanapeleka msaada w kimatibabu lkn ktk.iyo mizigo kuchanganywa. Vifaa muimu vyakijesh wanavoitaji hezbollah So tutasikia waziri wa ulinzi.w Iran kaenda Lebanon au naibu wake watakuwa tu.wanapishanisha vyeo lkn lengo kupeleka mizigo y kijesh mawasiliano mapya y kijesh niwazi Iran anaitumia Lebanon kupigana.na Israel uku yeye akiwa kama sio muhusika,
Haki Israel kuzuiya ndege kutoka Iran lkn ndio tunaona talatibu Israel anazoeya maisha mapya ya unyonge kwa Iran lau.Ingekuwa Iran ananguvu kama.izi kaonesha km 2000+ kwa 8.tehra to tel aviv na kuwa anaweza piga ppte.ndani y Israel,, ingekuwa taifa.alina izo sifa.afu.ndio wazili wale atimbe Lebanon na iwe wazi.iyo.inch inaunga mkono hezbollah saai washapitanae asubui asubui ili kuzuiya wengine wasiende,,
Jamaa viburi Sana 🤣Iran imewahi kupigana na Iraq yenye kusaidiwa na waarabu wenzie + Mabeberu wote wawili yaani USA na USSR ya wakati huo
Iran ha target raia ninja . Iran ana target military base. Mtajua hamjui mwaka huu muajemi kawaacha uchi 😁😁Yalipenya baadhi ila hayakuleta madhara makubwa kwa maisha ya raia.
Miafrika ni kama imelaaniwa aisee!! Yani jitu Zima pengine Lina Familia linakuja hapa kuandika Mungu ibariki Israel hali ya kuwa nchi yake ipo ktk kiza kinene cha mauaji na wasiojulikana wametamalaki.Israel wamekusaidia nini??Wadau hamjamboni nyote?
Mambo bado mazito huku maandalizi mazito yanazidi kufanywa. Jeshi la Marekani limeamua kufunga mitambo ya kisasa kabisa ya ulinzi dhidi ya makombora ya masafa marefu huko Israel
Yadaiwa ni sehemu tu ya maandalizi ya Israel kuishambulia Iran. Mitambo hiyo aina ya Terminal High Altitude Area Defense (THAAD) itasimamiwa na kuendesha na wanajeshi wa Marekani wenyewe.
Mungu ibariki Israel
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
---
US troops to reportedly operate THAAD anti-ballistic missile system in Israel
The US will deploy the THAAD anti-ballistic missile system in Israel, according to reports by Channel 12 news and Army Radio that describe the move as part of preparations for the expected Israeli response to Iran’s recent missile attack.
Channel 12 news says the advanced missile defense system will be operated by American troops on Israeli soil.
🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 Mnase kibaoZilifeli wapi? Ai wewe unaishi dunia ya peke yako?
We jamaa ni muongo na una mahaba yaliyopitiliza yani Israel akatae msaada kwamba sio utamaduni wake,, huyo Netanyahu kutwa kucha kushinda white house kulialia asaidiwe,, juzi tu ufaransa kapiga mkwara kusitisha uingizaji wa silaha Netanyahu alikuwa analia au hujaona? Na hata lilipo hilo taifa uchwara ni kwa msaada baada ya kupachikwa na marekani au hujui? Hebu tuambie hayo maoni hao waisrael wametoa lini ya kukataa kusaidiwa kivita?Umeelewa sasa kuwa bila msaada wa kijeshi wa US na nchi za Magharibi Israel haiwezi kupigana pekee yake?
Hii ni kufuatia Russia kupeleka sophiscated defensive missiles Iran!
Hata hivyo kwa maoni ya Waisrael wengi bado wanapinga kuwepo kwa majeshi ya US kwenye ardhi yake! Siyo utamaduni wa Israel.
Hapo ni pazito kijana!
Walisema Israel ni self sufficient na haitegemei msaada wowote walidai hata 6 day war kwamba nchi moja ya Israel ilipiga mataifa 6 ya kiarabu!! So hili uliloandika watapingacha ajabu nini kwa Israeli?
Sio kila homa ni malaria 🤣Ukweli umeanza kujulikana kuhusu uimara wa Israel sio zile hadithi za zama za giza
Na wakati wao Wana tengeneza missile hizo za dkk 5 wenzao watakuwa laboratories wakitengeneza za kufika Kwa dkk 2.Wenye kusubili Israel ijibu pengine wanadhani Israel inatumia akili kama zao kuwaza mambo makuu. IRAN kama ingepeleka missile kama zile za mwanzo masaa8 njian Israel saii ingeshapeleka moto tehran lkn km2000+ 8 iyo.kitu. marekani ulaya.Israel awana kwasasa uwezo w kudelete sasa mtu anawaza Israel atajibu Leo kesho mwez huu kapime akili ata.ingekuwa ww.ndio.umshauri kijesh kweli utaruusu majibu. Tusaau majibu marekani na.ulaya.walitegemea Iran awana ivo vitu vilivotua Israel, walitegemea.ni vitu vyamasaa 6 oh 4 so wayavizie angani wayatungue kwanjia nyingi ata tu f-16 singesaidia lkn km2000+ dakika 8 wakosome kwanza baada mwaka 1 oh2 ndio waje. Sasa Israel atatumia mipesa yake kununua wajuzi izo mambo km2000 kwa8 kwapesa yoyote adi nao uko marekani wetest iyo kitu. Wao watataka iwe chini zaid kupiga mkwara iwe 5 km2000 hatari sana lkn kwasasa atanunua wataalam.sio kujibu.ataweka pesa nyingi kwenye iyo program kimyakimya. Uku tukiimbiwa tunajibu Leo kesho na tutaiduaza dunia uku wao wakojikonii wakisaka majibu saiii