Mary Chatanda: Freeman Mbowe amekosa shukrani kwa Rais Samia pamoja na kumtoa gerezani. Huenda ameathirika kisaikolojia

Swali. Kama serikali ya mama yetu haijafanya kosa,,kukosa shukrani kwa Mbowe kunakujaje Sasa? Kwamba angemezea tu? Mnatuchanganya ss wananchi
 
Viongozi waongo namna hii, CCM huwa inawaokota wapi?

Huyu Mama ni mwongo sana, sijui ni kwa makusudi au kukosa kumbukumbu. Anataka kuwadanganya watu kuwa Mbowe aliwekwa ndani na kutengenezewa kesi ya ugaidi na Hayati Magufuli, jambo ambalo ni uwongo mkubwa.

Samia alulitangaza kuwa masuala ya katiba yasimame kwanza mpaka ajenge uchumi. Mbowe akajibu kuwa hawatasubiri. Baada ya hapo wakamweka Mbowe ndani na kumtengenezea kesi ya ugaidi.
 
ameathirika kisaikolojia baada ya kuwa jela kwa muda mrefu hivyo alipaswa kutulia kwakuwa jela kuna mambo mengi

Jaji mkuu mstaafu Mohamed Othman Chande akiwasilisha ripoti kuhusu mfumo wa haki jinai ikulu, mheshimiwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan alisisitiza kuwa mindset fikra za tufanye kazi za haki jinai kwa mazoea ibadilike.

Sasa huyu mwenyekiti wa taifa UWT, Mary Chatanda kada wa CCM bado ana mabaki ya kulilia mfumo wa haki jinai mbovu uendelee kutesa raia wasio na hatia. Kweli ni ngumu CCM na viongozi wake wengi kubadilika. Maneno ya mheshimiwa rais Samia yalinukuliwa pia na gazeti la serikali la Daily News ukurasa wa kwanza


DailyNews.co.tz : Justice dispensation : We must change mindset - Samia

1 day ago — “I support the suggestion of the Chairman of the Commission, retired Judge Mohamed Othman Chande and Chief Justice

15 July 2023
Ripoti ya Tume ya Haki Jinai

Hotuba ya Mhe. Jaji Mkuu Mstaafu Mohamed Chande Othman, Mwenyekiti wa Tume ya Haki Jinai akiwasilisha taarifa rasmi ya Tume ya kuangalia jinsi ya kuboresha Taasisi za Haki Jinai hapa Nchin

TOKA MAKTABA:

Wakiongozwa na Jaji Mkuu Mstaafu leo wametoa ripoti nzuri.

Hawamungunyi maneno na baadhi yao walipata kuyasema haya haya mbele ya Rais John Pombe Joseph Magufuli na leo 2023 kupitia ripoti kamili wanarudia mbele ya mheshimiwa rais Samia Suluhu Hassan.

Serikali iifanyie kazi haraka ripoti hii, kutengeneza framework ya utekelezaji wa mapendekezo haya na kupeleka muswaada wa dharura bungeni sheria kusapoti haya mapendekezo ili wale wote walio ktk kamati za ulinzi na usalama kuanzia ma- DC, wanasiasa na polisi wapewe vijitabu vikae ktk meza ofisini kwao na pia wakati wa vikao vyao vya ulinzi na usalama wavibebe.

Rais wa awamu ya tano Rais John Pombe Magufuli mwaka 2018 wazee hawa walimwambia 'live' mapungufu haya lakini hayakufanyiwa kazi awamu ya 5 ya serikali ya CCM.

Leo hii tena baadhi ya wazee haohao 2023 wamepata nafasi nyingine wamefika ikulu wanamuambia mheshimiwa rais Samia Suluhu Hassan mambo yaleyale.

Ni matumaini sasa ni wakati wa kutekeleza mapendekezo haya muhimu kwani serikali inaongozwa na chama kilekile, ilani ile ile na viongozi walewale wa kisiasa na kiserikali na wa mfumo wa utumishi katika taasisi za haki jamii waliokuwepo mwaka 2018 na leo bado wapo ktk utumishi mwaka 2023.

Kutoka maktaba:

Ni kweli kabisa mfumo wa Haki Jamii na taasisi zake nyingi haupo huru

Mfumo wa Haki Jamii unapaswa sasa kuanza kuacha kutumiwa na dola, ili ufanye kazi kwa haki ndiyo utakuwa mfumo Haki Jamii unaosimamia sheria na katiba bila kupokea amri toka mhimili wa executive (wanasiasa / serikali)

Kwa mfano Jaji Mkuu mstaafu jaji Barnabas A . Samatta ameandika kitabu kinachogusa sehemu ya mfumo wa haki jamii kuhusu uhuru wa mahakama na hakika inatakiwa raia wote ikiwemo jaji mkuu aliyepo ofisini, majaji, mahakimu kukisoma na kuwa rejea kuhusu umuhimu wa mhimili wa Mahakama katika nchi hususan yetu ya Tanzania




5 July 2018
Ikulu mbele ya John Pombe Magufuli


Umuhimu wa utawala wa sheria - Jaji Barnabas A. Samatta

Sheria zinazopelekwa mbele ya bunge (bills) lazima kwanza zichunguzwe kwanza kama zinakiuka katiba, sheria na haki anasisitiza jaji mstaafu B.A Samatta na kusisitiza kila mmoja ktk ngazi za maamuzi wasisitize haki ikiwemo maDC, maRC n.k maana nikusikiliza radio au kutazama TV amri wanazotoa watendaji zingine zina kukakasi mkubwa anamalizia jaji mstaafu B. A Samatta almaarufu "B.A.S" anavyojulikana na washikaji wenzie wa karibu.
 
Naamini huyo M/Kiti wa UWCCM anasoma JF. Namshauri, yeye na viongozi wenzake CCM, wajikite kujibu hoja za wanaopinga baadhi ya vifungu vya makubaliano ya ushirikiano (IGA) kuhusu uendeshaji bandari, badala ya kushambulia watu.

Akili ndogo huzungumzia/hujadili watu
 
Makada wa CCM baadhi yao wamenogewa na udhalimu na kutaka haki isiwepo nchini. Matamshi ya kiongozi huyu mkongwe kada wa chama dola CCM yanaakisi mioyo yao migumu ya kutotaka kubadilika haki iwepo nchini Tanzania kwa raia wote bila ubaguzi wa kiitikadi, chama au kanda n.k
 


Nimeingia katika nyaraka za kijiditali na kukutana na ushauri huu kwa mwenyekiti wa CCM taifa ambaye pia ni rais wa Jamhuri ya Muungano kuwa nchi hii ni ngumu kuna makada kama Mary Chatanda wengi sana

Jenerali Ulimwengu - Mh. Rais Samia nchi hii ngumu

 
Hawana Cha kujibu, wanamshambulia personally
 
Tupo kamili gado mwana, tunawazoom tu. Sisi ndiyo chama la nguvu. Kengeza wenu ni kichaa kabisa
Na kweli ni chama la nguvu za dola. Chama kina miaka 50+ kisha hakina uwezo wa kupambana kisiasa zaidi ya kutegemea vyombo vya dola!
 
Mbowe gaidi linapaswa lihukumiwe kunyongwa mpaka kufa kabisa na mzoga wake upewe fisi wa hai. Mpaka siku atakapoomba msamaha juu ya dhihaka yake kwa Dkt Magufuli he will never settle huyu kengeza mpuuzi
Shetani yoyote lazima adhihakiwe.
 
Shukrani gani wakati huyo samia wenu anauza bandari? Kum*m*ke watu wengine sijui wanatumia Makal*o kufikir?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…