Mashariki ya Kati mfumo wa GPS haufanyi kazi

Endeleeni kudanganyana tuu huku mkifumuana marinda, bora makafiri wanaheshimu haki zenu za kufumuana marinda kuliko nyie mnaobanduliwa halafu mnajiwekea adhabu za kifo, ujinga ni zigo la ovyo sana
Bila shaka hapo ulipo paster ameisha kufumua rinder! Maana ni amri kutoka kwa yesu mfu a.k.a bob Marley
 
Ngoja waadabishewe hawa wapuuzi kiburi kilikuwa kimesha wajaa mpaka kwenye kucha.
Habari yake bado nina mashaka nayo, mpaka sasa hakuna hata drone moja imeripotiwa kufika chini
 
Mbona huku aljazeera na BBC hakuna hizi habari we unazitoa wapi
Waisrael wanakimbia hali mbaya baada ya missile kutua.

Iran imerusha missile nyengine kuelekea Israel.
 

Attachments

  • jacksonhinklle_20240413__1779288873123577941_1_17792879458720768000.mp4
    741.3 KB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…