Hammaz
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 6,607
- 14,076
Missile zinatua Israel Youngblood
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
VIP kwani yameshaanza kutua?Muislrael kashapigwa huko!
VIP kwani yameshaanza kutua?
Yanavyo piga keleel hayo mambwa utafikiri kule gaza wanauaga kuku sio binadamu, malipo hapa hapa dunianiMissile zinatua Israel Youngblood
Ishu ni refuel mkuu na Base ya kutokeaHahitaji kibali cha Turkey kupiga Iran, ndege za US zina uwezo wa kuruka above any airspace na kutumia freezone kupiga popote wanapotaka, siasa tuu hizo, ni kama makombora tuu hayahitaji airspace ya mtupu yeyote, hizo airspace ni Kwa ndege za kiraia tuu na mizigo
Wewe nyani kipi umeweza hata kurusha?Vitu vya waarabu haviaminiki
Unarusha drone kwa maelfu vyote vinashushwa km mapulizo ya birthday
Sio issue, Kuna tanker zimepack kwenye space una refuel juu Kwa juuIshu ni refuel mkuu na Base ya kutokea
So Israel kama Israel hamna kitu ?Kuipiga Israel ni kazi sana.
Inakubidi upambane na US, UK, France ndiyo umguse Israel. Ni kazi sana.
Bila shaka hapo ulipo paster ameisha kufumua rinder! Maana ni amri kutoka kwa yesu mfu a.k.a bob MarleyEndeleeni kudanganyana tuu huku mkifumuana marinda, bora makafiri wanaheshimu haki zenu za kufumuana marinda kuliko nyie mnaobanduliwa halafu mnajiwekea adhabu za kifo, ujinga ni zigo la ovyo sana
Mbona huku aljazeera na BBC hakuna hizi habari we unazitoa wapi
Kuna swali nataka nikuulize Ina maana una ndugu Iraq, Jerusalem, na Iran pote wanakutumia video?
Ngoja waadabishewe hawa wapuuzi kiburi kilikuwa kimesha wajaa mpaka kwenye kucha.
Habari yake bado nina mashaka nayo, mpaka sasa hakuna hata drone moja imeripotiwa kufika chiniNgoja waadabishewe hawa wapuuzi kiburi kilikuwa kimesha wajaa mpaka kwenye kucha.
Waisrael wanakimbia hali mbaya baada ya missile kutua.Mbona huku aljazeera na BBC hakuna hizi habari we unazitoa wapi
Kobazi hawana akiliIran inatia shaka sana inawezekana vipi urushe midude kwa maelfu then vyote vibonyezwe