Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Cha msingi baadaye hatutaki maandamano ya misikitini ya free Iran.Biden alisema "Please don't" na Iran kafanya. Hii ndo maana halisi ya taifa huru.
Hajalenga sio?BREAKING:
Jordan inaruhusuKwani US atarusha ndege au atatumia tomahawks kutoka meli vita?
Hakuna nchi itayokubali makombola yatumike kupitia nchi yao maana Iran atarudisha lilipotokea
Baada ya muda itakuwq vilio kwa wafuasi wa Iran na furaha kwa wapenda mabadiliko uko Iran.Hapa ndo naamini iran ni baba wa mashariki ya kati
Israel bila USA hana iyo jeuri ya kwenda face to face na Iran akiwa peke akeBaada ya muda itakuwq vilio kwa wafuasi wa Iran na furaha kwa wapenda mabadiliko uko Iran.
Mkuu nimecheka nlifikiri unamaanisha Unyakuo kumbe una maana yako nyngnNdege za kijeshi zenyewe swala la GPS sio issue sana?
Tuachane na hayo. Hivi huko kunataka kutokea nini haswa? Maana hizi ni dalili za jambo fulani
Bila shaka hizi taarifa umezipata MasjidMakombora yapo yanatua ndani ya Israel ww unaleta ngonjera?
BREAKING: Israel calls for emergency meeting of the UN Security CouncilBREAKING: UN Security Council meeting has been set for later today