Mashariki ya Kati mfumo wa GPS haufanyi kazi

WASUNN, WAHABI, WASUFI, WAGALATIA etc. wenye ngozi nyeusi nyote ni Nyani kwa umoja wenu
 
Bahati mbaya wa kumpiga ndio hakuna
Mtu anakandwa sahizi ameporomoshewa mvua ya makombora kila kona ya nchi moja kwa moja kutoka Iran mamaeee.

Muajemi hatanii ametekeleza ahadi. Mlisema Iran hatarusha hata jiwe ndani ya ardhi ya Mazayuni lakini yeye karusha drones zisizo na idadi pamoja na makombora.
 
Panya wa kumfunga paka kengele kashapatikana. Islam n Arab world huu ndio muda muafaka wa kuungana na kupambana na huu ukandamizaji na unyanyasaji unaofanywa na Israel na Marekani.
 
Huu ndo Uhalisia na ndo ukweli..
 
Picha za athari za mashambulizi mlioko israeli tunaziomba
 
Kwani US atarusha ndege au atatumia tomahawks kutoka meli vita?

Hakuna nchi itayokubali makombola yatumike kupitia nchi yao maana Iran atarudisha lilipotokea
Yeye Iran, makombora yake yatapita anga lipi, maana hapo katikati kuna nchi nyingine!?
 
Mengi yameshushwa huko huko
Yaliyopita hayana athari,yameangukia kwenye open space
Mzee airbase ndio ilikuwa target Ramon na imepigwa na kitendo tu cha kusema lazima nilipize despite mikwara ya usa ,despite mikwara ya uk na all euro country lakini muiran kusema nalipa na despite kuwa na militafy base za usa na mairdefense kila kona na kuilinda israel lakini madude yamefika ndani ya airspace ya israel huo ni ushindi na projection of power kwa muiran yaani amedhihirisha uwezo aliokuwa nao kuwa kwa technologia yake ameweza kumeet his demands sio jambo dogo kwa military strategy now iran anakuwa regional power na message iko clear dont try it again against our interest lazima tutalipiza kutupia madude over 1500km with precision tunaweza na tunachokisema ndio tunachokifanya its loud and clear.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…