Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
Aibu gani?Hii aibu inayopata iran mkuu wa jeshi la Iran angejiuzulu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aibu gani?Hii aibu inayopata iran mkuu wa jeshi la Iran angejiuzulu
Hapana nimezipata chumbani kwa dada yako.Bila shaka hizi taarifa umezipata Masjid
Oi ivi umelala saa ngapi?JUST IN: US embassy in Israel calls on staff and family members to shelter in place
WASUNN, WAHABI, WASUFI, WAGALATIA etc. wenye ngozi nyeusi nyote ni Nyani kwa umoja wenuHapo sasa ndio huwa nawaambia WASUNN wa TANZAGIZA
ONYL IRAN na AFGHANISTAN hizo ndizo DOLA ISLAMIC pekee zinazosimamia misingi ya ISLAMIC na Zinazopipigania UISLAM na MASLAHI yake
lakini wajomba hawawezi kukuelewa sasa WAHABI WASUFI nk
Kama ni habari za kweli Sijui wataficha wapi Sura zao baada kuona SUNNI mwenzao kamsaidia kafiri ISLAEL patamu hapo
Mtu anakandwa sahizi ameporomoshewa mvua ya makombora kila kona ya nchi moja kwa moja kutoka Iran mamaeee.Bahati mbaya wa kumpiga ndio hakuna
Ni kuweka pressure tu ila Iran hatajaribu
Huu ndo Uhalisia na ndo ukweli..JUST IN: President Biden statement on Iran's attack
●CNN reports that 'Biden told Netanyahu US will not participate in offensive operations against Iran'
●Biden says 'we helped Israel take down nearly all of the incoming drones and missiles'
●President Biden told Netanyahu that he should consider tonight a 'win' due to Iran's attacks being 'largely unsuccessful'.
●Biden told Netanyahu that 'the U.S. will oppose any Israeli counterattack against Iran
●Biden and his advisers are 'highly concerned' an Israeli response to Iran's attack would lead to 'a regional war with catastrophic consequences'.
NakubaliNiko live kufuatilia mtanange mkuu
Bado ni fake?Fake
Yeye Iran, makombora yake yatapita anga lipi, maana hapo katikati kuna nchi nyingine!?Kwani US atarusha ndege au atatumia tomahawks kutoka meli vita?
Hakuna nchi itayokubali makombola yatumike kupitia nchi yao maana Iran atarudisha lilipotokea
Video showing Ramon Airbase in the Negev being hit Iranian ballistic missiles!Picha za athari za mashambulizi mlioko israeli tunaziomba
Missiles keep hitting Israeli targets!!!Picha za athari za mashambulizi mlioko israeli tunaziomba
Mzee airbase ndio ilikuwa target Ramon na imepigwa na kitendo tu cha kusema lazima nilipize despite mikwara ya usa ,despite mikwara ya uk na all euro country lakini muiran kusema nalipa na despite kuwa na militafy base za usa na mairdefense kila kona na kuilinda israel lakini madude yamefika ndani ya airspace ya israel huo ni ushindi na projection of power kwa muiran yaani amedhihirisha uwezo aliokuwa nao kuwa kwa technologia yake ameweza kumeet his demands sio jambo dogo kwa military strategy now iran anakuwa regional power na message iko clear dont try it again against our interest lazima tutalipiza kutupia madude over 1500km with precision tunaweza na tunachokisema ndio tunachokifanya its loud and clear.Mengi yameshushwa huko huko
Yaliyopita hayana athari,yameangukia kwenye open space
Picha za athari za mashambulizi mlioko israeli tunaziomba
Picha za athari za mashambulizi mlioko israeli tunaziomba
HAhaaa ndio waleee ila ngumi zenyewe nimepunch na alizopiga hata haziumi kupigwa ni kupigwa tu iran strike israel they have strike them.Mengi yameshushwa huko huko
Yaliyopita hayana athari,yameangukia kwenye open space