Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
ninajua sana, hasa kama bunge linalojifanya linawakilisha wananchi linaruhusu mambo ambayo hata mwananchi asiyesoma kabisa anayakataa. bunge linalopelekwa kwanza dubai kuonjeshwa mpunga ili likirudi lipitishe jambo ambalo wananchi waliowapeleka bungeni hawakubaliani nalo.Inawezekana mwenzetu hujui maana ya bunge na nguvu yake.
Imeisha hioAcha kuota amka usingizini
Pole Abdul1. Wanadai Serikali iachane na Mkataba wa Bandari kwa sababu wananchi wamegawanyika kuhusu mkataba huo!
Swali langu kwao, Ni jambo lipi nchi hii limewai kukubaliwa na asilimia 100 ya wananchi wote? Kwenye Mfumo wa vyama vingi, Mbona asilimia kubwa ya Wananchi walikataa mfumo huo ila Serikali wakauunga mkono! Je kwa nini hawakutoa tamko kipindi icho kutaka nchi iendelee kuwa ya Chama kimoja? Kwa tamko lao walilosema maamuzi ya wananchi yaheshimiwe basi wanaungana mkono Serikali I reverse maamuzi yake ya kuruhusu mfumo wa vyama vingi na turudi kwenye mfumo wa Chama kimoja?
2. Kwenye tamko lao wanadai Mihimili ya dola iheshimiwe. Swali langu kwao! Juzi Mahakama Kuu wametoa maamuzi ya kutupilia mbali maombi ya watu walioshtaki mkataba wa Bandari.
Sasa kwa nini wanataka mihimili ya dola iheshimiwe na wao hawataki kuheshimu maamuzi ya Mahakama? Kama Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 hasa ibara ya 107A inasema Mahakama ndio Mhimili wa mwisho katika kutoa haki sasa kwa nini hawaheshimu maamuzi ya Mahakama alafu wanatoa tamko kusema Mihimili ya dola iheshimiwe?
3. Wao wanavyotoa tamko kutaka Serikali iachane na mkataba wa bandari kesho BAKWATA wakitoa tamko Serikali iendelee na mkataba wa Bandari wanataka Serikali imsikilize nani? Kesho kutwa mabudha wakitoa tamko pia wanataka Serikali imsikilize nani kati yao?
Kwa hali hii sasa naamini kwa nini mapadre wa kanisa katoliki walishtakiwa kwa kuhamasisha mauaji ya kimbari Rwanda!
Pia soma
- News Alert: - Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu
Wewe rasmi ni mpumbavu nisiyefaa kubishana na type ya wajinga kama wewe!Acha wivu wa kijinga wewe au kwa sababu mamako siyo rais?
Ukishajua ni kwanini Dr Slaa ameachia haraka sana, utaijua pia Nguvu ya Wana wa Mungu.Hao maaskofu malofa tu hawawezi kuipangia serikali cha kufanya.
Ameachiwa kwa sababu ni mgonjwa wameghofia asijekuwafia mikononi mwaoUkishajua ni kwanini Dr Slaa ameachia haraka sana, utaijua pia Nguvu ya Wana wa Mungu.
Hao maaskofu malofa tu hawawezi kuipangia serikali cha kufanya.
Hivi leo unajua watanzania wangapi wameachiwa kwa dhamana?Ukishajua ni kwanini Dr Slaa ameachia haraka sana, utaijua pia Nguvu ya Wana wa Mungu.
Wana nguvu gani?Wew unajua nguvu ya baraza la
Maskofu wew ndo utakuwa lofa
Wana nguvu gani?
Hiyo nguvu ambayo haionekani itakuwa ya roho mtakavitu hiyo.Wana nguvu sana , hapo serekali itakuwa njia panda
Mkataba upi wa hovyo?Unauliza humu? Serikali yako imeingia iyo mikataba ya hovyo wananchi tunasema inatosha
Mfalme Zumaridi kawaharibu kweliMkataba wa bandari ni mkataba wa kurudisha utawala wa sultan sio wa kuleta maendeleo
Alichofanya samia ni kusaidia waarabu kuja kutawala TANGANYIKA
Inaonekana samia na waarabu wanamipango mingi iliyojificha ambayo sio mizuri juu ya TANGANYIKA yetu ambayo sisi hatuijui
Mnataka nchi ifike huko? Wajinga kabisa nyieNitakujibu Na.3. Atasikilizwa Mkubwa, SASA chagua wewe kati ya BAKWATA na TEC nani Mkubwa!