Maswali yangu kwa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) kuhusu Tamko la Mkataba wa Bandari

Maswali yangu kwa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) kuhusu Tamko la Mkataba wa Bandari

Tanko dogo mmepaniki kama watoto.

Hutaki maaskofu watoe maoni yao?

Au ulitaka wakitoa maoni yao, yawe ya kukufurahisha wewe na chawa wenzako?

Wacha utoto, hii Tanganyika ina watu wanaojielewa.
Tanganyika ni marehemu , iliuliwa na Baba yenu kipenzi chenu Nyerere
 
Shivji hajawahi kutoa mawazo ya maana yaliyolisaidia taifa hili. Alipendekeza mfumo wa mabaraza ya ardhi ambayo ndo yanatusumbua nchini saivi kwa kuongeza migogoro ya ardhi! Ana lipi la maana?
Sioni unachochangia hapa Mkuu kaa chini nyoosha miguu soma mawazo ya wengine kwanza usilazimishe kutetea usichikijua kwani unajiabisha.

Huna mchango wa maana kuliko walioutoa Prof. Shivji na Prof. Anna Tibaijuka kwenye hili. Mpaka muda huu sijui unabishabisha nini?
 
Mkataba wa bandari ni mkataba wa kurudisha utawala wa sultan sio wa kuleta maendeleo

Alichofanya samia ni kusaidia waarabu kuja kutawala TANGANYIKA

Inaonekana samia na waarabu wanamipango mingi iliyojificha ambayo sio mizuri juu ya TANGANYIKA yetu ambayo sisi hatuijui
Zaidi ya miaka 140 sasa, utawala wa kanisa umetuletea maendeleo yepi?
 
Sioni unachochangia hapa Mkuu kaa chini nyoosha miguu soma mawazo ya wengine kwanza usilazimishe kutetea usichikijua kwani unajiabisha.

Huna mchango wa maana kuliko walioutoa Prof. Shivji na Prof. Anna Tibaijuka kwenye hili. Mpaka muda huu sijui unabishabisha nini?
Kwa sababu hivyo ndivyo unavyoamini kutokana na upeo wako mdogo wa kufikiri basi siwezi kukuaminisha vinginevyo
 
Kuna makosa Serikali ilifanya na haya ndo yanafanya hawa wapuuzi wajione kama sehemu ya uongozi wa hii nchi.

Ni mambo ya ajabu kabisa. Eti wanatoa tamko kutaka serikali iachane na mkataba wa Bandari? Wao kina nani nchi hii? Kesho BAKWATA wakitoa tamko kutaka Serikali iendelee na mkataba??

Wanataka kuifanya hii nchi iingie kwenye matatizo hawa wajinga.
Nanyie mnataka tukilubali?Nyie kinanani nchi hii?Uwezi kukubali upambavu kama huu wa mkataba wa bandari ,ikiwa kichwani ni timamu .
 
Nanyie mnataka tukilubali?Nyie kinanani nchi hii?Uwezi kukubali upambavu kama huu wa mkataba wa bandari ,ikiwa kichwani ni timamu .
Kwa hiyo huamini kwenye maamuzi ya mahakama kama mhimili wa dola na chombo chenye mamlaka ya mwisho kwenye masuala ya utoaji haki kwa mujibu wa Katiba?

Basi kaishi kwenye nchi zisizo na mifumo ya utawala bora!
 
Kwa sababu hivyo ndivyo unavyoamini kutokana na upeo wako mdogo wa kufikiri basi siwezi kukuaminisha vinginevyo
Kumbe unataka kutuaminisha badala ya kutuelewesha?. Utakuwa na tatizo kubwa sana kiuelewa. Unataka tuamini nini? Ili nini?...daaah...tuna safari ndefu sana.
 
Kwa hiyo huamini kwenye maamuzi ya mahakama kama mhimili wa dola na chombo chenye mamlaka ya mwisho kwenye masuala ya utoaji haki kwa mujibu wa Katiba?

Basi kaishi kwenye nchi zisizo na mifumo ya utawala bora!
Mahakama walisema hawana uwezo wa kuufuta huo mkataba,na mapungufu waliyaona kama vile :-utowaji wa maoni Ulikuwa ni muda mchache -yaan siku 1 na Watu 7 tuu ndo walitoa maoni.
 
1. Wanadai Serikali iachane na Mkataba wa Bandari kwa sababu wananchi wamegawanyika kuhusu mkataba huo!

Swali langu kwao, Ni jambo lipi nchi hii limewai kukubaliwa na asilimia 100 ya wananchi wote? Kwenye Mfumo wa vyama vingi, Mbona asilimia kubwa ya Wananchi walikataa mfumo huo ila Serikali wakauunga mkono! Je kwa nini hawakutoa tamko kipindi icho kutaka nchi iendelee kuwa ya Chama kimoja? Kwa tamko lao walilosema maamuzi ya wananchi yaheshimiwe basi wanaunga mkono Serikali i reverse maamuzi yake ya kuruhusu mfumo wa vyama vingi na turudi kwenye mfumo wa Chama kimoja?

2. Kwenye tamko lao wanadai Mihimili ya dola iheshimiwe. Swali langu kwao! Juzi Mahakama Kuu wametoa maamuzi ya kutupilia mbali maombi ya watu walioshtaki mkataba wa Bandari.

Sasa kwa nini wanataka mihimili ya dola iheshimiwe na wao hawataki kuheshimu maamuzi ya Mahakama? Kama Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 hasa ibara ya 107A inasema Mahakama ndio Mhimili wa mwisho katika kutoa haki sasa kwa nini hawaheshimu maamuzi ya Mahakama alafu wanatoa tamko kusema Mihimili ya dola iheshimiwe?

3. Wao wanavyotoa tamko kutaka Serikali iachane na mkataba wa bandari kesho BAKWATA wakitoa tamko Serikali iendelee na mkataba wa Bandari wanataka Serikali imsikilize nani? Kesho kutwa mabudha wakitoa tamko pia wanataka Serikali imsikilize nani kati yao?

Kwa hali hii sasa nimejua kwa nini mapadre wa kanisa katoliki walishtakiwa kwa kuhamasisha mauaji ya kimbari Rwanda!


Pia soma
- News Alert: - Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu
Unapinga au kuuliza maswali kwa kutokuelewa au kwasababu wewe ni mfia Uislamu..?
 
Back
Top Bottom