Mickbrown
JF-Expert Member
- Sep 13, 2022
- 409
- 496
Tulisha ambiwa kuwa " we human being we are political animal "Watu wa dini wasijihusishe na shughuli za Serikali. Si wakristo wenzangu si waislamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulisha ambiwa kuwa " we human being we are political animal "Watu wa dini wasijihusishe na shughuli za Serikali. Si wakristo wenzangu si waislamu
Vya hovyo kwa mujibu wa nani? Vya hovyo kivipi?Kwanini hamtaki kuelewa vifungu vya mkataba? ni vya hovyo?
Tanganyika ni marehemu , iliuliwa na Baba yenu kipenzi chenu NyerereTanko dogo mmepaniki kama watoto.
Hutaki maaskofu watoe maoni yao?
Au ulitaka wakitoa maoni yao, yawe ya kukufurahisha wewe na chawa wenzako?
Wacha utoto, hii Tanganyika ina watu wanaojielewa.
Katiba mpya ipi kwani muungano ni halali kisheria ?? si nao ni mkataba hewa??Haya mkuu.
Yetu masikio, macho na kura
Sioni unachochangia hapa Mkuu kaa chini nyoosha miguu soma mawazo ya wengine kwanza usilazimishe kutetea usichikijua kwani unajiabisha.Shivji hajawahi kutoa mawazo ya maana yaliyolisaidia taifa hili. Alipendekeza mfumo wa mabaraza ya ardhi ambayo ndo yanatusumbua nchini saivi kwa kuongeza migogoro ya ardhi! Ana lipi la maana?
Zaidi ya miaka 140 sasa, utawala wa kanisa umetuletea maendeleo yepi?Mkataba wa bandari ni mkataba wa kurudisha utawala wa sultan sio wa kuleta maendeleo
Alichofanya samia ni kusaidia waarabu kuja kutawala TANGANYIKA
Inaonekana samia na waarabu wanamipango mingi iliyojificha ambayo sio mizuri juu ya TANGANYIKA yetu ambayo sisi hatuijui
Kwa sababu hivyo ndivyo unavyoamini kutokana na upeo wako mdogo wa kufikiri basi siwezi kukuaminisha vinginevyoSioni unachochangia hapa Mkuu kaa chini nyoosha miguu soma mawazo ya wengine kwanza usilazimishe kutetea usichikijua kwani unajiabisha.
Huna mchango wa maana kuliko walioutoa Prof. Shivji na Prof. Anna Tibaijuka kwenye hili. Mpaka muda huu sijui unabishabisha nini?
Nanyie mnataka tukilubali?Nyie kinanani nchi hii?Uwezi kukubali upambavu kama huu wa mkataba wa bandari ,ikiwa kichwani ni timamu .Kuna makosa Serikali ilifanya na haya ndo yanafanya hawa wapuuzi wajione kama sehemu ya uongozi wa hii nchi.
Ni mambo ya ajabu kabisa. Eti wanatoa tamko kutaka serikali iachane na mkataba wa Bandari? Wao kina nani nchi hii? Kesho BAKWATA wakitoa tamko kutaka Serikali iendelee na mkataba??
Wanataka kuifanya hii nchi iingie kwenye matatizo hawa wajinga.
Kwa hiyo huamini kwenye maamuzi ya mahakama kama mhimili wa dola na chombo chenye mamlaka ya mwisho kwenye masuala ya utoaji haki kwa mujibu wa Katiba?Nanyie mnataka tukilubali?Nyie kinanani nchi hii?Uwezi kukubali upambavu kama huu wa mkataba wa bandari ,ikiwa kichwani ni timamu .
Kumbe hata uoufatilia nyau wee...Weka sehemu ambayo maamuzi ya mahakama yalisema mkataba una kasoro nyingi.
Kumbe unataka kutuaminisha badala ya kutuelewesha?. Utakuwa na tatizo kubwa sana kiuelewa. Unataka tuamini nini? Ili nini?...daaah...tuna safari ndefu sana.Kwa sababu hivyo ndivyo unavyoamini kutokana na upeo wako mdogo wa kufikiri basi siwezi kukuaminisha vinginevyo
Weka tu hapaKumbe hata uoufatilia nyau wee...
Endelea kuamini unavyoaminiKumbe unataka kutuaminisha badala ya kutuelewewsha?. Utakuwa na tatizo kubwa sana kiuelewa. Unataka tuamini nini? Ili nini?...daaah...tuna safari ndefu sana.
Mahakama walisema hawana uwezo wa kuufuta huo mkataba,na mapungufu waliyaona kama vile :-utowaji wa maoni Ulikuwa ni muda mchache -yaan siku 1 na Watu 7 tuu ndo walitoa maoni.Kwa hiyo huamini kwenye maamuzi ya mahakama kama mhimili wa dola na chombo chenye mamlaka ya mwisho kwenye masuala ya utoaji haki kwa mujibu wa Katiba?
Basi kaishi kwenye nchi zisizo na mifumo ya utawala bora!
Kwan DP World kapewa miaka mingapi?Kwa nini hawakuibua hoja ya Bandari tuiendeshe wenyewe wakati magufuli anawapa iyo miaka 5 ?
Unakuja kutetea kitu usicho kijua!Inashangaza sana!Weka tu hapa
Unapinga au kuuliza maswali kwa kutokuelewa au kwasababu wewe ni mfia Uislamu..?1. Wanadai Serikali iachane na Mkataba wa Bandari kwa sababu wananchi wamegawanyika kuhusu mkataba huo!
Swali langu kwao, Ni jambo lipi nchi hii limewai kukubaliwa na asilimia 100 ya wananchi wote? Kwenye Mfumo wa vyama vingi, Mbona asilimia kubwa ya Wananchi walikataa mfumo huo ila Serikali wakauunga mkono! Je kwa nini hawakutoa tamko kipindi icho kutaka nchi iendelee kuwa ya Chama kimoja? Kwa tamko lao walilosema maamuzi ya wananchi yaheshimiwe basi wanaunga mkono Serikali i reverse maamuzi yake ya kuruhusu mfumo wa vyama vingi na turudi kwenye mfumo wa Chama kimoja?
2. Kwenye tamko lao wanadai Mihimili ya dola iheshimiwe. Swali langu kwao! Juzi Mahakama Kuu wametoa maamuzi ya kutupilia mbali maombi ya watu walioshtaki mkataba wa Bandari.
Sasa kwa nini wanataka mihimili ya dola iheshimiwe na wao hawataki kuheshimu maamuzi ya Mahakama? Kama Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 hasa ibara ya 107A inasema Mahakama ndio Mhimili wa mwisho katika kutoa haki sasa kwa nini hawaheshimu maamuzi ya Mahakama alafu wanatoa tamko kusema Mihimili ya dola iheshimiwe?
3. Wao wanavyotoa tamko kutaka Serikali iachane na mkataba wa bandari kesho BAKWATA wakitoa tamko Serikali iendelee na mkataba wa Bandari wanataka Serikali imsikilize nani? Kesho kutwa mabudha wakitoa tamko pia wanataka Serikali imsikilize nani kati yao?
Kwa hali hii sasa nimejua kwa nini mapadre wa kanisa katoliki walishtakiwa kwa kuhamasisha mauaji ya kimbari Rwanda!
Pia soma
- News Alert: - Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu
Siamini chochote ila napenda kujifunza na kukuza uelewa katika mawanda mapana. Kumbe wewe unataka kutufundisha kuamini?..daaah!...Endelea kuamini unavyoamini
Itasemwa kwenye HGA/ Concessions agreementKwan DP World kapewa miaka mingapi?
Acha maneno weka hiyo sehemu ya maamuzi ya mahakama iliyosema hayoUnakuja kutetea kitu usicho kijua!Inashangaza sana!