Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
-
- #421
Wapi walisema kwenye hukumu yao kuwa kuna mapungufu waliyaona?Mahakama walisema hawana uwezo wa kuufuta huo mkataba,na mapungufu waliyaona kama vile :-utowaji wa maoni Ulikuwa ni muda mchache -yaan siku 1 na Watu 7 tuu ndo walitoa maoni.
Huyu jamaa ni bonge la jinga ,na Watu kama hawa ndo mtaji.mkubwa wa CCM.Waarabu wanaona mbali future za watoto zao na wajukuu zao.Kaachini fikiria vyema utajua kuwa wamekosea...Kumbe unataka kutuaminisha badala ya kutuelewesha?. Utakuwa na tatizo kubwa sana kiuelewa. Unataka tuamini nini? Ili nini?...daaah...tuna safari ndefu sana.
Acha kujifanya hufuatilii habari hii katika mawanda yote, unataka kusema wanaosema hivyo wametunga au?.Acha maneno weka hiyo sehemu ya maamuzi ya mahakama iliyosema hayo
Jitafakari ndugu yangu [emoji2],unatia aibu ndugu yangu.kama wewe ujipendi waonee huruma hao wanao na wajukuu zako basi.Acha maneno weka hiyo sehemu ya maamuzi ya mahakama iliyosema hayo
Hawa nao ni binadamu kama sisi, sio wakamilifu kama sisi,walichokisema ni utashi wao Wala si wa Mungu,serikali endeleeni na michakato kama kawaida maana nyie ndo wabeba maono ya watanzania.Waacheni Hawa waendelee kuchanganya mafuta na maji Kuna Mahali wataji lock,Kama ni uzalendo wa kuipenda nchi upande wa dini, basi waislam ndo wa kwanza kusapoti harakati za mwalimu kudai uhuru,Hawa wengine walikua bize kusambaza umisionari1. Wanadai Serikali iachane na Mkataba wa Bandari kwa sababu wananchi wamegawanyika kuhusu mkataba huo!
Swali langu kwao, Ni jambo lipi nchi hii limewai kukubaliwa na asilimia 100 ya wananchi wote? Kwenye Mfumo wa vyama vingi, Mbona asilimia kubwa ya Wananchi walikataa mfumo huo ila Serikali wakauunga mkono! Je kwa nini hawakutoa tamko kipindi icho kutaka nchi iendelee kuwa ya Chama kimoja? Kwa tamko lao walilosema maamuzi ya wananchi yaheshimiwe basi wanaunga mkono Serikali i reverse maamuzi yake ya kuruhusu mfumo wa vyama vingi na turudi kwenye mfumo wa Chama kimoja?
2. Kwenye tamko lao wanadai Mihimili ya dola iheshimiwe. Swali langu kwao! Juzi Mahakama Kuu wametoa maamuzi ya kutupilia mbali maombi ya watu walioshtaki mkataba wa Bandari.
Sasa kwa nini wanataka mihimili ya dola iheshimiwe na wao hawataki kuheshimu maamuzi ya Mahakama? Kama Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 hasa ibara ya 107A inasema Mahakama ndio Mhimili wa mwisho katika kutoa haki sasa kwa nini hawaheshimu maamuzi ya Mahakama alafu wanatoa tamko kusema Mihimili ya dola iheshimiwe?
3. Wao wanavyotoa tamko kutaka Serikali iachane na mkataba wa bandari kesho BAKWATA wakitoa tamko Serikali iendelee na mkataba wa Bandari wanataka Serikali imsikilize nani? Kesho kutwa mabudha wakitoa tamko pia wanataka Serikali imsikilize nani kati yao?
Kwa hali hii sasa nimejua kwa nini mapadre wa kanisa katoliki walishtakiwa kwa kuhamasisha mauaji ya kimbari Rwanda!
Pia soma
- News Alert: - Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu
Sasa mliwapaje kwenye IGA bandari zote za maziwa na bahari alafu mda mje kuweka kwenye HGA?Itasemwa kwenye HGA/ Concessions agreement
Wewe umekula rushwa ya DPw, unatetea mkono wako unaoenda kinywani kwa support ya Serikali au CCM, maaskofu hawana ushirika na uchafu huo unaoshiriki wewe Kwa hiyo usiwachoshe Kwa maswali yako ya kijinga. Sisi raia huru tumewaelewa TEC. Kwendraaaaaaa.1. Wanadai Serikali iachane na Mkataba wa Bandari kwa sababu wananchi wamegawanyika kuhusu mkataba huo!
Swali langu kwao, Ni jambo lipi nchi hii limewai kukubaliwa na asilimia 100 ya wananchi wote? Kwenye Mfumo wa vyama vingi, Mbona asilimia kubwa ya Wananchi walikataa mfumo huo ila Serikali wakauunga mkono! Je kwa nini hawakutoa tamko kipindi icho kutaka nchi iendelee kuwa ya Chama kimoja? Kwa tamko lao walilosema maamuzi ya wananchi yaheshimiwe basi wanaunga mkono Serikali i reverse maamuzi yake ya kuruhusu mfumo wa vyama vingi na turudi kwenye mfumo wa Chama kimoja?
2. Kwenye tamko lao wanadai Mihimili ya dola iheshimiwe. Swali langu kwao! Juzi Mahakama Kuu wametoa maamuzi ya kutupilia mbali maombi ya watu walioshtaki mkataba wa Bandari.
Sasa kwa nini wanataka mihimili ya dola iheshimiwe na wao hawataki kuheshimu maamuzi ya Mahakama? Kama Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 hasa ibara ya 107A inasema Mahakama ndio Mhimili wa mwisho katika kutoa haki sasa kwa nini hawaheshimu maamuzi ya Mahakama alafu wanatoa tamko kusema Mihimili ya dola iheshimiwe?
3. Wao wanavyotoa tamko kutaka Serikali iachane na mkataba wa bandari kesho BAKWATA wakitoa tamko Serikali iendelee na mkataba wa Bandari wanataka Serikali imsikilize nani? Kesho kutwa mabudha wakitoa tamko pia wanataka Serikali imsikilize nani kati yao?
Kwa hali hii sasa nimejua kwa nini mapadre wa kanisa katoliki walishtakiwa kwa kuhamasisha mauaji ya kimbari Rwanda!
Pia soma
- News Alert: - Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu
Kichaa huweza kutukana kila mtu. Siamini kama wewe si mmojawao.Kuna makosa Serikali ilifanya na haya ndo yanafanya hawa wapuuzi wajione kama sehemu ya uongozi wa hii nchi.
Ni mambo ya ajabu kabisa. Eti wanatoa tamko kutaka serikali iachane na mkataba wa Bandari? Wao kina nani nchi hii? Kesho BAKWATA wakitoa tamko kutaka Serikali iendelee na mkataba??
Wanataka kuifanya hii nchi iingie kwenye matatizo hawa wajinga.
Trust me jamaa akijibu atajikoroga zaidi, swali limemzidiSasa mliwapaje kwenye IGA bandari zote za maziwa na bahari alafu mda mje kuweka kwenye HGA?
Endeleeni ila huko mbeleni msije kjsema hamkushauriwa.Ushauri wao tumeusikia na tumeuchukua lakini hatuutaki.
Mie mmoja wao kivipi?Kichaa huweza kutukana kila mtu. Siamini kama wewe si mmojawao.
Kifungu kipi cha IGA kimewapa Bandari zote?Sasa mliwapaje kwenye IGA bandari zote za maziwa na bahari alafu mda mje kuweka kwenye HGA?
Nimekula shilingi ngapi? Nilipewa lini na wapi?Wewe umekula rushwa ya DPw, unatetea mkono wako unaoenda kinywani kwa support ya Serikali au CCM, maaskofu hawana ushirika na uchafu huo unaoshiriki wewe Kwa hiyo usiwachoshe Kwa maswali yako ya kijinga. Sisi raia huru tumewaelewa TEC. Kwendraaaaaaa.
Tunaenda na circustancial evidence, hatutaki kuumiza vichwa kujua kuwa rushwa mmekula.Nimekula shilingi ngapi? Nilipewa lini na wapi?
Unajua maana ya circumstantial evidence? hata kunifahamu unanifahamu? hao DP World wenyewe nawasoma tu humu unasemaje nimehongwa? Mkiitwa wapuuzi mnabishaTunaenda na circustancial evidence, hatutaki kuumiza vichwa kujua kuwa rushwa mmekula.
Kwani Mkataba mliosain mmesaini wa sehemu zip?Kifungu kipi cha IGA kimewapa Bandari zote?
MkuuKatiba mpya ipi kwani muungano ni halali kisheria ?? si nao ni mkataba hewa??
Kwani Mkataba mliosain mmesaini wa sehemu zip?
View attachment 2721151
Karibu tunaelewana1. Wanadai Serikali iachane na Mkataba wa Bandari kwa sababu wananchi wamegawanyika kuhusu mkataba huo!
Swali langu kwao, Ni jambo lipi nchi hii limewai kukubaliwa na asilimia 100 ya wananchi wote? Kwenye Mfumo wa vyama vingi, Mbona asilimia kubwa ya Wananchi walikataa mfumo huo ila Serikali wakauunga mkono! Je kwa nini hawakutoa tamko kipindi icho kutaka nchi iendelee kuwa ya Chama kimoja? Kwa tamko lao walilosema maamuzi ya wananchi yaheshimiwe basi wanaunga mkono Serikali i reverse maamuzi yake ya kuruhusu mfumo wa vyama vingi na turudi kwenye mfumo wa Chama kimoja?
2. Kwenye tamko lao wanadai Mihimili ya dola iheshimiwe. Swali langu kwao! Juzi Mahakama Kuu wametoa maamuzi ya kutupilia mbali maombi ya watu walioshtaki mkataba wa Bandari.
Sasa kwa nini wanataka mihimili ya dola iheshimiwe na wao hawataki kuheshimu maamuzi ya Mahakama? Kama Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 hasa ibara ya 107A inasema Mahakama ndio Mhimili wa mwisho katika kutoa haki sasa kwa nini hawaheshimu maamuzi ya Mahakama alafu wanatoa tamko kusema Mihimili ya dola iheshimiwe?
3. Wao wanavyotoa tamko kutaka Serikali iachane na mkataba wa bandari kesho BAKWATA wakitoa tamko Serikali iendelee na mkataba wa Bandari wanataka Serikali imsikilize nani? Kesho kutwa mabudha wakitoa tamko pia wanataka Serikali imsikilize nani kati yao?
Kwa hali hii sasa nimejua kwa nini mapadre wa kanisa katoliki walishtakiwa kwa kuhamasisha mauaji ya kimbari Rwanda!
Pia soma
- News Alert: - Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu
Hao maaskofu malofa tu hawawezi kuipangia serikali cha kufanya.