Maswali yangu kwa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) kuhusu Tamko la Mkataba wa Bandari

Maswali yangu kwa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) kuhusu Tamko la Mkataba wa Bandari

Mahakama walisema hawana uwezo wa kuufuta huo mkataba,na mapungufu waliyaona kama vile :-utowaji wa maoni Ulikuwa ni muda mchache -yaan siku 1 na Watu 7 tuu ndo walitoa maoni.
Wapi walisema kwenye hukumu yao kuwa kuna mapungufu waliyaona?
 
Kumbe unataka kutuaminisha badala ya kutuelewesha?. Utakuwa na tatizo kubwa sana kiuelewa. Unataka tuamini nini? Ili nini?...daaah...tuna safari ndefu sana.
Huyu jamaa ni bonge la jinga ,na Watu kama hawa ndo mtaji.mkubwa wa CCM.Waarabu wanaona mbali future za watoto zao na wajukuu zao.Kaachini fikiria vyema utajua kuwa wamekosea...
 
1. Wanadai Serikali iachane na Mkataba wa Bandari kwa sababu wananchi wamegawanyika kuhusu mkataba huo!

Swali langu kwao, Ni jambo lipi nchi hii limewai kukubaliwa na asilimia 100 ya wananchi wote? Kwenye Mfumo wa vyama vingi, Mbona asilimia kubwa ya Wananchi walikataa mfumo huo ila Serikali wakauunga mkono! Je kwa nini hawakutoa tamko kipindi icho kutaka nchi iendelee kuwa ya Chama kimoja? Kwa tamko lao walilosema maamuzi ya wananchi yaheshimiwe basi wanaunga mkono Serikali i reverse maamuzi yake ya kuruhusu mfumo wa vyama vingi na turudi kwenye mfumo wa Chama kimoja?

2. Kwenye tamko lao wanadai Mihimili ya dola iheshimiwe. Swali langu kwao! Juzi Mahakama Kuu wametoa maamuzi ya kutupilia mbali maombi ya watu walioshtaki mkataba wa Bandari.

Sasa kwa nini wanataka mihimili ya dola iheshimiwe na wao hawataki kuheshimu maamuzi ya Mahakama? Kama Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 hasa ibara ya 107A inasema Mahakama ndio Mhimili wa mwisho katika kutoa haki sasa kwa nini hawaheshimu maamuzi ya Mahakama alafu wanatoa tamko kusema Mihimili ya dola iheshimiwe?

3. Wao wanavyotoa tamko kutaka Serikali iachane na mkataba wa bandari kesho BAKWATA wakitoa tamko Serikali iendelee na mkataba wa Bandari wanataka Serikali imsikilize nani? Kesho kutwa mabudha wakitoa tamko pia wanataka Serikali imsikilize nani kati yao?

Kwa hali hii sasa nimejua kwa nini mapadre wa kanisa katoliki walishtakiwa kwa kuhamasisha mauaji ya kimbari Rwanda!


Pia soma
- News Alert: - Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu
Hawa nao ni binadamu kama sisi, sio wakamilifu kama sisi,walichokisema ni utashi wao Wala si wa Mungu,serikali endeleeni na michakato kama kawaida maana nyie ndo wabeba maono ya watanzania.Waacheni Hawa waendelee kuchanganya mafuta na maji Kuna Mahali wataji lock,Kama ni uzalendo wa kuipenda nchi upande wa dini, basi waislam ndo wa kwanza kusapoti harakati za mwalimu kudai uhuru,Hawa wengine walikua bize kusambaza umisionari
 
1. Wanadai Serikali iachane na Mkataba wa Bandari kwa sababu wananchi wamegawanyika kuhusu mkataba huo!

Swali langu kwao, Ni jambo lipi nchi hii limewai kukubaliwa na asilimia 100 ya wananchi wote? Kwenye Mfumo wa vyama vingi, Mbona asilimia kubwa ya Wananchi walikataa mfumo huo ila Serikali wakauunga mkono! Je kwa nini hawakutoa tamko kipindi icho kutaka nchi iendelee kuwa ya Chama kimoja? Kwa tamko lao walilosema maamuzi ya wananchi yaheshimiwe basi wanaunga mkono Serikali i reverse maamuzi yake ya kuruhusu mfumo wa vyama vingi na turudi kwenye mfumo wa Chama kimoja?

2. Kwenye tamko lao wanadai Mihimili ya dola iheshimiwe. Swali langu kwao! Juzi Mahakama Kuu wametoa maamuzi ya kutupilia mbali maombi ya watu walioshtaki mkataba wa Bandari.

Sasa kwa nini wanataka mihimili ya dola iheshimiwe na wao hawataki kuheshimu maamuzi ya Mahakama? Kama Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 hasa ibara ya 107A inasema Mahakama ndio Mhimili wa mwisho katika kutoa haki sasa kwa nini hawaheshimu maamuzi ya Mahakama alafu wanatoa tamko kusema Mihimili ya dola iheshimiwe?

3. Wao wanavyotoa tamko kutaka Serikali iachane na mkataba wa bandari kesho BAKWATA wakitoa tamko Serikali iendelee na mkataba wa Bandari wanataka Serikali imsikilize nani? Kesho kutwa mabudha wakitoa tamko pia wanataka Serikali imsikilize nani kati yao?

Kwa hali hii sasa nimejua kwa nini mapadre wa kanisa katoliki walishtakiwa kwa kuhamasisha mauaji ya kimbari Rwanda!


Pia soma
- News Alert: - Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu
Wewe umekula rushwa ya DPw, unatetea mkono wako unaoenda kinywani kwa support ya Serikali au CCM, maaskofu hawana ushirika na uchafu huo unaoshiriki wewe Kwa hiyo usiwachoshe Kwa maswali yako ya kijinga. Sisi raia huru tumewaelewa TEC. Kwendraaaaaaa.
 
Kuna makosa Serikali ilifanya na haya ndo yanafanya hawa wapuuzi wajione kama sehemu ya uongozi wa hii nchi.

Ni mambo ya ajabu kabisa. Eti wanatoa tamko kutaka serikali iachane na mkataba wa Bandari? Wao kina nani nchi hii? Kesho BAKWATA wakitoa tamko kutaka Serikali iendelee na mkataba??

Wanataka kuifanya hii nchi iingie kwenye matatizo hawa wajinga.
Kichaa huweza kutukana kila mtu. Siamini kama wewe si mmojawao.
 
Wewe umekula rushwa ya DPw, unatetea mkono wako unaoenda kinywani kwa support ya Serikali au CCM, maaskofu hawana ushirika na uchafu huo unaoshiriki wewe Kwa hiyo usiwachoshe Kwa maswali yako ya kijinga. Sisi raia huru tumewaelewa TEC. Kwendraaaaaaa.
Nimekula shilingi ngapi? Nilipewa lini na wapi?
 
Tunaenda na circustancial evidence, hatutaki kuumiza vichwa kujua kuwa rushwa mmekula.
Unajua maana ya circumstantial evidence? hata kunifahamu unanifahamu? hao DP World wenyewe nawasoma tu humu unasemaje nimehongwa? Mkiitwa wapuuzi mnabisha
 
Kifungu kipi cha IGA kimewapa Bandari zote?
Kwani Mkataba mliosain mmesaini wa sehemu zip?
Screenshot_2023-08-18-23-12-52-07_f541918c7893c52dbd1ee5d319333948.jpg
 
1. Wanadai Serikali iachane na Mkataba wa Bandari kwa sababu wananchi wamegawanyika kuhusu mkataba huo!

Swali langu kwao, Ni jambo lipi nchi hii limewai kukubaliwa na asilimia 100 ya wananchi wote? Kwenye Mfumo wa vyama vingi, Mbona asilimia kubwa ya Wananchi walikataa mfumo huo ila Serikali wakauunga mkono! Je kwa nini hawakutoa tamko kipindi icho kutaka nchi iendelee kuwa ya Chama kimoja? Kwa tamko lao walilosema maamuzi ya wananchi yaheshimiwe basi wanaunga mkono Serikali i reverse maamuzi yake ya kuruhusu mfumo wa vyama vingi na turudi kwenye mfumo wa Chama kimoja?

2. Kwenye tamko lao wanadai Mihimili ya dola iheshimiwe. Swali langu kwao! Juzi Mahakama Kuu wametoa maamuzi ya kutupilia mbali maombi ya watu walioshtaki mkataba wa Bandari.

Sasa kwa nini wanataka mihimili ya dola iheshimiwe na wao hawataki kuheshimu maamuzi ya Mahakama? Kama Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 hasa ibara ya 107A inasema Mahakama ndio Mhimili wa mwisho katika kutoa haki sasa kwa nini hawaheshimu maamuzi ya Mahakama alafu wanatoa tamko kusema Mihimili ya dola iheshimiwe?

3. Wao wanavyotoa tamko kutaka Serikali iachane na mkataba wa bandari kesho BAKWATA wakitoa tamko Serikali iendelee na mkataba wa Bandari wanataka Serikali imsikilize nani? Kesho kutwa mabudha wakitoa tamko pia wanataka Serikali imsikilize nani kati yao?

Kwa hali hii sasa nimejua kwa nini mapadre wa kanisa katoliki walishtakiwa kwa kuhamasisha mauaji ya kimbari Rwanda!


Pia soma
- News Alert: - Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu
Karibu tunaelewana
Wameongea kama WaTanzania kwa mujibu wa Katiba
Msilie sana
Tuliwaambia tulipofika ni pazuri sana
Kanisa lina sehemu yao katika Taifa so wametimiza wajibu
 
Hao maaskofu malofa tu hawawezi kuipangia serikali cha kufanya.

Uko sahihi kuwa hawawezi kuipangia serikali cha kufanya! Ninaamini utasema hivo hivo kwa kikundi chochote, hata wananchi wenyewe!! Na msiwatumie kuzungumzia uasherati, ushoga, kuomba mvua, sala wakati wa shughuli nk. Hili ni moja tu kati ya makundi mengi ya watu. Haki hii ya kutoa maoni ni yao kikatiba. Na haiwezi kuondolewa eti kwa kuwa tu watawala wana maoni au maamuzi tofauti. Ni binadamu wachache sana, mmoja wao wewe, wanaoamini kuwa binadamu tunawaza au tunapaswa kuwaza sawa!!! Tofauti zetu ndio nguvu yetu! Najiuliza wati wote tungekuwa kama wewe ingekuwaje!!

Ambacbo wengi hawajui ni kuwa mchakato wa mkataba uko sahihi. Vipengele vya mkataba una madhaifu. Wasiojua tofauti hizo ndio wanaona mkatataba uendelee. Wanaojua tofauti wanasema turekebishe mkataba!!
 
Back
Top Bottom