Maswali yangu kwa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) kuhusu Tamko la Mkataba wa Bandari

Maswali yangu kwa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) kuhusu Tamko la Mkataba wa Bandari

Kimsingi swala la Bandari ni Agemda ya Kanisa wanahubiri hayo makanisani hadi kwenye Jumuia,wanaambizana kwamba Wakioewa DP world waislaam watapewa kipaombele.

Unajua ukizoe kuka nyama ya mtu,always utakuwa unamuwazia hivyo kila mtu.

Kwa miaka Mingi sana kuna ubaguzi wa dini kwenye nchi yetu Wakristo hasa wakatoliki wanajifanya hii nchi ni mali yao.

Wanaamini kila kinachoridhiwa na Kanisa lazima kiridhiwe na Nchi,na kikikataliwa na kanisa lazima kikataliwe na nchi.

Kama ukivyosema ,wakati wa utawala wa Magufuli,pamoja na maovu mengi na mikataba mingi hawakuwahi kuihoji hawakuwahi kukemea ule unyama uliofanyika kwa sababu aliefanya ni mkatoliki mwenzao.

Kaingia Rais Samia,anasaini Mkataba wa DP world kama Magufuli alivyosaini Yapi Markez,lakini kila anaepinga ni Mkristo kama una rafiki mkristo mlieshibana atakwambia jinsi hii ageda inavyohubiriwa makanisani.
 
Ndo hapo.

Yaaani kuna watu wanajiona kama wao ndo wanaongoza nchi.

Sasa naelewa kwa nini China walipiga marufuku upuuzi huu wa dini
Jione ulivyopata moto, tulia wewe mwanasheria wa uchochoroni mwenye vimelea vya kidikteta.
 
Tujipe tu pole ...Ndiyo imeisha hiyo...Mkikomaza shingo, zitavunjika maana hawa huwa wanamaanisha na wanaweza badili historia ukapoteza hata hiki kidogo kilichobaki...So saaad, nawachukia kwakua ni wa dini lakini kwangu hili ni blessings in disguise kwakua this time interest Yao inalinda sovereignty ya nchi yangu
Sovereignty ya nchi yako inaathirika kivipi na uwekezaji wa kwenye Bandari?

Huo ujinga mnautoa wapi?
 
Watu wanaosapoti ule mkataba vilevile ulivyo wanapatikana jamii forums tu na mitandao ambayo watu hawajulikani majina yao halisi. Tangu hili sakata lianze sijawahi kukutana na ndugu, jamaa au rafiki anaye sapoti huu mkataba. Kila sehemu ninapoenda watu wote wanakandia sana. Hata mleta mada vijiweni au maofisini hawezi kuutetea. Ni kichaa peke yake atakubaliana na vile vipengele vinginevyo kama mtu ana maslahi binafsi au kashalamba ela za DP WORLD [emoji289].
Wewe unaenda jwa Wakristi wenzako ambao huu mkataba wanautazama kwa jicho la udini
 
Kimsingi swala la Bandari ni Agemda ya Kanisa wanahubiri hayo makanisani hadi kwenye Jumuia,wanaambizana kwamba Wakioewa DP world waislaam watapewa kipaombele.

Unajua ukizoe kuka nyama ya mtu,always utakuwa unamuwazia hivyo kila mtu.

Kwa miaka Mingi sana kuna ubaguzi wa dini kwenye nchi yetu Wakristo hasa wakatoliki wanajifanya hii nchi ni mali yao.

Wanaamini kila kinachoridhiwa na Kanisa lazima kiridhiwe na Nchi,na kikikataliwa na kanisa lazima kikataliwe na nchi.

Kama ukivyosema ,wakati wa utawala wa Magufuli,pamoja na maovu mengi na mikataba mingi hawakuwahi kuihoji hawakuwahi kukemea ule unyama uliofanyika kwa sababu aliefanya ni mkatoliki mwenzao.

Kaingia Rais Samia,anasaini Mkataba wa DP world kama Magufuli alivyosaini Yapi Markez,lakini kila anaepinga ni Mkristo kama una rafiki mkristo mlieshibana atakwambia jinsi hii ageda inavyohubiriwa makanisani.
Kama huu ndo ukweli basi huu ni ujinga uliotukuka
 
Tanko dogo mmepaniki kama watoto.

Hutaki maaskofu watoe maoni yao?

Au ulitaka wakitoa maoni yao, yawe ya kukufurahisha wewe na chawa wenzako?

Wacha utoto, hii Tanganyika ina watu wanaojielewa.
Bunge limesharidhia mna uhuru wa kutoa maoni hii ni serikali ya kidemokrasia bana ila mchakato unaendelea.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Kimsingi swala la Bandari ni Agemda ya Kanisa wanahubiri hayo makanisani hadi kwenye Jumuia,wanaambizana kwamba Wakioewa DP world waislaam watapewa kipaombele.

Unajua ukizoe kuka nyama ya mtu,always utakuwa unamuwazia hivyo kila mtu.

Kwa miaka Mingi sana kuna ubaguzi wa dini kwenye nchi yetu Wakristo hasa wakatoliki wanajifanya hii nchi ni mali yao.

Wanaamini kila kinachoridhiwa na Kanisa lazima kiridhiwe na Nchi,na kikikataliwa na kanisa lazima kikataliwe na nchi.

Kama ukivyosema ,wakati wa utawala wa Magufuli,pamoja na maovu mengi na mikataba mingi hawakuwahi kuihoji hawakuwahi kukemea ule unyama uliofanyika kwa sababu aliefanya ni mkatoliki mwenzao.

Kaingia Rais Samia,anasaini Mkataba wa DP world kama Magufuli alivyosaini Yapi Markez,lakini kila anaepinga ni Mkristo kama una rafiki mkristo mlieshibana atakwambia jinsi hii ageda inavyohubiriwa makanisani.
Hatuwezi kucheleweshwa na wapuuzi wachache kwa ubinafsi tu.
 
Baraza la Mawaziri limejadili na kuupitisha.
Bunge limejadili na kupitisha.

Chama cha mapimduzi kimejadili na kupitisha.

Wewe unaepinga umepewa mamlaka na nini kama sio kudanganywa kwenye Jumuia za Jumamosi kwamba Wakristo wapinge mkataba
 
Toka lini mwekezaji akakuletea maendeleo????Kwa Hili lidude lenu pelekeni hukohuko Dubai
 
1. Wanadai Serikali iachane na Mkataba wa Bandari kwa sababu wananchi wamegawanyika kuhusu mkataba huo!
Swali langu kwao, Ni jambo lipi nchi hii limewai kukubaliwa na asilimia 100 ya wananchi wote? Kwenye Mfumo wa vyama vingi, Mbona asilimia kubwa ya Wananchi walikataa mfumo huo ila Serikali wakauunga mkono! Je kwa nini hawakutoa tamko kipindi icho kutaka nchi iendelee kuwa ya Chama kimoja? Kwa tamko lao walilosema maamuzi ya wananchi yaheshimiwe basi wanaungana mkono Serikali I reverse maamuzi yake ya kuruhusu mfumo wa vyama vingi na turudi kwenye mfumo wa Chama kimoja?

2. Kwenye tamko lao wanadai Mihimili ya dola iheshimiwe. Swali langu kwao! Juzi Mahakama Kuu wametoa maamuzi ya kutupilia mbali maombi ya watu walioshtaki mkataba wa Bandari.

Sasa kwa nini wanataka mihimili ya dola iheshimiwe na wao hawataki kuheshimu maamuzi ya Mahakama? Kama Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 hasa ibara ya 107A inasema Mahakama ndio Mhimili wa mwisho katika kutoa haki sasa kwa nini hawaheshimu maamuzi ya Mahakama alafu wanatoa tamko kusema Mihimili ya dola iheshimiwe?

3. Wao wanavyotoa tamko kutaka Serikali iachane na mkataba wa bandari kesho BAKWATA wakitoa tamko Serikali iendelee na mkataba wa Bandari wanataka Serikali imsikilize nani? Kesho kutwa mabudha wakitoa tamko pia wanataka Serikali imsikilize nani kati yao?

Mods! Naomba sana msiunganishe huu uzi!!
Wewe unazuga tu baada ya kupata aibu kubwa ikilinganishwa na matamanio yako kwamba Dr Slaa na wenzake wanyongwe. We kuwadi mkuu wa Waarabu, Bora uugulie maumivu na aibu kinyume na ulichotarajia.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kuna makosa Serikali ilifanya na haya ndo yanafanya hawa wapuuzi wajione kama sehemu ya uongozi wa hii nchi.

Ni mambo ya ajabu kabisa. Eti wanatoa tamko kutaka serikali iachane na mkataba wa Bandari? Wao kina nani nchi hii? Kesho BAKWATA wakitoa tamko kutaka Serikali iendelee na mkataba??

Wanataka kuifanya hii nchi iingie kwenye matatizo hawa wajinga.

..Bakwata, Shura ya Maimamu, KKKT, TEC, Uamsho, na wengine, wana HAKI ya kutumia uhuru wao kuunga mkono au kupinga mkataba na Dp World.

..Serikali inaweza kukubali au kukataa maoni au ushauri wa mabaraza hayo.

..Tamko lilitololewa na Maaskofu wa TEC, pamoja na kwamba linaonekana kuwa na mashiko na limebeba maoni ya waliowengi, sio amri kwa serikali.
 
Bottom line hatutaki Bandari zetu zigawiwe kwa foreigners mkilazimisha msije kurukana huko mbele kwani ni lazima mtalipa, Watanzania wengi hawataki hivyo ni kama mlivyosikiliza na kumwachia W.Slaa pia na hili msikikize sauti ya wengi ni sauti ya Mungu …
Mama Samia wekeza bandari achana na kelele za makapuku
 
Ni wakristo pekee ndio wanapinga huu mkataba.

Watuambie kanisa linapata nini pale Bandarini ambacho DP atawazuia wasipate.
 
Ndo hapo.

Yaaani kuna watu wanajiona kama wao ndo wanaongoza nchi.

Sasa naelewa kwa nini China walipiga marufuku upuuzi huu wa dini
Ukubali ukatae, viongozi wa dini katika taifa letu na mataifa mengi tu wanaushawishi mkubwa sana. Kwenye hili sakata la bandari, serekali yetu ilianza na kuutetea huu mkataba mbele ya viongozi wa dini.
 
Bandari zetu ,urithi wetu ,kataa madalali ,kataa wahuni.
Hayo maneno peleka kanisani.
Sisi tunaisikiliza Serikali.

Kwamba kila mkataba uwe unapelekwa TEC

Nasgauri Bakwata watoe tamko ili.kukomesha huu ujinga wa wakatoliki.
 
Mkataba wa kuuza bandari ni wa kipugi, serikali iachane nao basi! mengine ni mataptap tu
 
Back
Top Bottom