Ustaadhi 22
JF-Expert Member
- Sep 5, 2021
- 996
- 1,907
Pumbafuuu Wewe,,Pro Shivji mkristo???na Mimi je???Sina Dini mimiNi wakristo pekee ndio wanapinga huu mkataba.
Watuambie kanisa linapata nini pale Bandarini ambacho DP atawazuia wasipate.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pumbafuuu Wewe,,Pro Shivji mkristo???na Mimi je???Sina Dini mimiNi wakristo pekee ndio wanapinga huu mkataba.
Watuambie kanisa linapata nini pale Bandarini ambacho DP atawazuia wasipate.
Kama hujahongwa na huna maslahi mbona upo upande wa kutetea waarabu katika kila mada inayoanzishwa! Wewe ni mtanzania mwenzetu ma unauchungu na hii nchi?Tunataka twende sawa. Sijahongwa na wala sitahongwa.
Hilo ndo kosa Serikali inafanya. Mambo ya uongozi wa nchi na dini hayaendani. Na hili ni Duniani kote. Ndo mana mataifa ya wenzetu yanapiga hatua haraka sana.Ukubali ukatae, viongozi wa dini katika taifa letu na mataifa mengi tu wanaushawishi mkubwa sana. Kwenye hili sakata la bandari, serekali yetu ilianza na kuutetea huu mkataba mbele ya viongozi wa dini.
Nadhani hujui maana ya Serikali.Hao maaskofu malofa tu hawawezi kuipangia serikali cha kufanya.
Sasa mbona unamwaga mashuzi yasiyokuwa na kichwa wala miguu?Tunataka twende sawa. Sijahongwa na wala sitahongwa.
Wewe ni mjinga kama sio mpumbavu. Mimi sitetei mwarabu natetea uwekezaji unaoleta mapinduzi ya kiuchumi kwenye Bandari yetu na uchumi wetuKama hujahongwa na huna maslahi mbona upo upande wa kutetea waarabu katika kila mada inayoanzishwa! Wewe ni mtanzania mwenzetu ma unauchungu na hii nchi?
Wewe mdini mkubwa ndio hujielewi..hujielewi
Kama wewe unakubaliana na vipengele vyote vya mkataba kama vilivyo, wewe ni wa kuonewa huruma.Ni wakristo pekee ndio wanapinga huu mkataba.
Watuambie kanisa linapata nini pale Bandarini ambacho DP atawazuia wasipate.
Hayo maswali TEC wasijisumbue kukujibu mchumia tumbo wahed.Tunataka twende sawa. Sijahongwa na wala sitahongwa.
Nini maana ya Serikali? China hakuna Serikali? Mbona hakuna kelele za makanisa ?Nadhani hujui maana ya Serikali.
Mkibanwa kwenye hoja mnakimbilia kwenye matusi. TumeshawazoeaHayo maswali TEC wasijisumbue kukujibu mchumia tumbo wahed.
Hayo maneno peleka kanisani.
Sisi tunaisikiliza Serikali.
Kwamba kila mkataba uwe unapelekwa TEC
Nasgauri Bakwata watoe tamko ili.kukomesha huu ujinga wa wakatoliki.
Na wewe waambie BAKWATA watoe tamko la kuunga mkono.Hao maaskofu malofa tu hawawezi kuipangia serikali cha kufanya.
Wameiba rasilimali zipi? Lini?Tusikilize serikali iliyojaa wezi wa rasilimali? Wataalam wa sheria washasema kwamba mkataba huo ni wa hovyo na mbovu kuliko hata aliosaini chief Mangungo wa msovero!! Kataa Madalali ,Kataa wahuni ,bandari zetu ni urithi wetu.
Tuwaache Waarabu waje watujengee misikiti.1. Wanadai Serikali iachane na Mkataba wa Bandari kwa sababu wananchi wamegawanyika kuhusu mkataba huo!
Swali langu kwao, Ni jambo lipi nchi hii limewai kukubaliwa na asilimia 100 ya wananchi wote? Kwenye Mfumo wa vyama vingi, Mbona asilimia kubwa ya Wananchi walikataa mfumo huo ila Serikali wakauunga mkono! Je kwa nini hawakutoa tamko kipindi icho kutaka nchi iendelee kuwa ya Chama kimoja? Kwa tamko lao walilosema maamuzi ya wananchi yaheshimiwe basi wanaungana mkono Serikali I reverse maamuzi yake ya kuruhusu mfumo wa vyama vingi na turudi kwenye mfumo wa Chama kimoja?
2. Kwenye tamko lao wanadai Mihimili ya dola iheshimiwe. Swali langu kwao! Juzi Mahakama Kuu wametoa maamuzi ya kutupilia mbali maombi ya watu walioshtaki mkataba wa Bandari.
Sasa kwa nini wanataka mihimili ya dola iheshimiwe na wao hawataki kuheshimu maamuzi ya Mahakama? Kama Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 hasa ibara ya 107A inasema Mahakama ndio Mhimili wa mwisho katika kutoa haki sasa kwa nini hawaheshimu maamuzi ya Mahakama alafu wanatoa tamko kusema Mihimili ya dola iheshimiwe?
3. Wao wanavyotoa tamko kutaka Serikali iachane na mkataba wa bandari kesho BAKWATA wakitoa tamko Serikali iendelee na mkataba wa Bandari wanataka Serikali imsikilize nani? Kesho kutwa mabudha wakitoa tamko pia wanataka Serikali imsikilize nani kati yao?
Mods! Naomba sana msiunganishe huu uzi!!
Siyo kila uwekezaji una tija. Mifano ktk nchi yetu ni mingi na ndiyo sababu watu wanasema mapungufu ya mkataba yarekebishwe, hawajapinga uwekezaji.Wewe ni mjinga kama sio mpumbavu. Mimi sitetei mwarabu natetea uwekezaji unaoleta mapinduzi ya kiuchumi kwenye Bandari yetu na uchumi wetu
Wapi imesemwa waarabu wanakuja kujenga misikiti?Tuwaache Waarabu waje watujengee misikiti.
Utasemaje uwekezaji hauna tija wakati hujauona?Siyo kila uwekezaji una tija. Mifano ktk nchi yetu ni mingi na ndiyo sababu watu wanasema mapungufu ya mkataba yarekebishwe, hawajapinga uwekezaji.
Kumbe unajua kwamba kuna makosa serikali ilifanya halafu unajambajamba hapa kwa kuhoji maaskofu ni nani nchi hii?. Kwa taarifa yako hao ndio binadamu wenye akili hapa ulimwenguni sio Tanzania tu.Kuna makosa Serikali ilifanya na haya ndo yanafanya hawa wapuuzi wajione kama sehemu ya uongozi wa hii nchi.
Ni mambo ya ajabu kabisa. Eti wanatoa tamko kutaka serikali iachane na mkataba wa Bandari? Wao kina nani nchi hii? Kesho BAKWATA wakitoa tamko kutaka Serikali iendelee na mkataba??
Wanataka kuifanya hii nchi iingie kwenye matatizo hawa wajinga.
Maswali ya kitoto sana haya1. Wanadai Serikali iachane na Mkataba wa Bandari kwa sababu wananchi wamegawanyika kuhusu mkataba huo!
Swali langu kwao, Ni jambo lipi nchi hii limewai kukubaliwa na asilimia 100 ya wananchi wote? Kwenye Mfumo wa vyama vingi, Mbona asilimia kubwa ya Wananchi walikataa mfumo huo ila Serikali wakauunga mkono! Je kwa nini hawakutoa tamko kipindi icho kutaka nchi iendelee kuwa ya Chama kimoja? Kwa tamko lao walilosema maamuzi ya wananchi yaheshimiwe basi wanaungana mkono Serikali I reverse maamuzi yake ya kuruhusu mfumo wa vyama vingi na turudi kwenye mfumo wa Chama kimoja?
2. Kwenye tamko lao wanadai Mihimili ya dola iheshimiwe. Swali langu kwao! Juzi Mahakama Kuu wametoa maamuzi ya kutupilia mbali maombi ya watu walioshtaki mkataba wa Bandari.
Sasa kwa nini wanataka mihimili ya dola iheshimiwe na wao hawataki kuheshimu maamuzi ya Mahakama? Kama Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 hasa ibara ya 107A inasema Mahakama ndio Mhimili wa mwisho katika kutoa haki sasa kwa nini hawaheshimu maamuzi ya Mahakama alafu wanatoa tamko kusema Mihimili ya dola iheshimiwe?
3. Wao wanavyotoa tamko kutaka Serikali iachane na mkataba wa bandari kesho BAKWATA wakitoa tamko Serikali iendelee na mkataba wa Bandari wanataka Serikali imsikilize nani? Kesho kutwa mabudha wakitoa tamko pia wanataka Serikali imsikilize nani kati yao?
Mods! Naomba sana msiunganishe huu uzi!!