Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
- #101
Mfumo wa vyama vingi ulikataliwa na wananchi mbona Serikali walifanya maamuzi kuuanzisha? Wao waliwahi kutoaga tamko kupinga?Umekurupuka maswali yote hayana mashiko ukweli unabaki hapohapo wananchi wengi hawakubaliani na suala la ubinafsishaji wa bandari kwa sababu ya mkataba mbovu hilo liko wazi habari za takwimu msituulize Ila kama nyie mnazo za kwenu wa wengi kukubali zilete hapa na wakati huohuo mtueleze kwa nini mnahangaika kubadili sheria ili kufunika maovu yaliyopo katika huo mkataba kwa nini serikali inahangaika unataka kufanya utapeli gani kwenye rasilimali za Taifa?
Maamuzi ya mahakama hatujayakubali na ndio mana tutakata rufaa ngoja Mwabukusi na team yake wapumue kwanza baada ya kuwa huru leo tunarudi vitani