Maswali yangu kwa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) kuhusu Tamko la Mkataba wa Bandari

Maswali yangu kwa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) kuhusu Tamko la Mkataba wa Bandari

Chawa wewe apo
Hivi unapo gawa Bandari zoote kwa bogos treat alafu bado ukampa mgeni uhuru wakupewa ardhi popote anapo taka hivi nchi hii itabaki nathamani ileile
Nani ni chawa?

Wapi pamesemwa Bandari zote zimegawiwa?
 
Maaskofu wameona mbali sana!
Mungu awabariki zaidi kwa hili.
Nchi imefikia mahali mtoto wa Rais anakwenda kuwekeana mikataba na serikali za nchi za nje ilhali hata sio mtumishi wa UMMA!
Halafu wapumbavu fulani mnajitokeza kuutetea utawala huu!
Acheni kutuona watanzania wote milioni sitini ni wapumbavu wa kushikiwa remote msoga!
Screenshot_20230817-201642_Twitter.jpg
20230817_200700.jpg
20230817_200652.jpg
 
Maaskofu wameona mbali sana!
Mungu awabariki zaidi kwa hili.
Nchi imefikia mahali mtoto wa Rais anakwenda kuwekeana mikataba na serikali za nchi za nje ilhali hata sio mtumishi wa UMMA!
Halafu wapumbavu fulani mnajitokeza kuutetea utawala huu!
Acheni kutuona watanzania wote milioni sitini ni wapumbavu wa kushikiwa remote msoga!View attachment 2720755View attachment 2720756View attachment 2720757
Nani kakwambia huyo mtoto wa Rais alienda kwa shughuli za Serikali?
 
Shida sio DP World. Shida ni huu mkataba una maslahi kiasi gani kwa wana siasa wa Tanzania?
Wana siasa wetu haaminiki labisa na hawajali kabisa nini kinaweza kutupata sababu ya negligence zetu. Mfano halisi ni hizo kesi za mikataba tunazoendelea kushindwa
DPW kwa ujumla hawezi kupendwa na baadhi ya wanasiasa, ni wanafiki wenye maslahi yao kupitia ufanisi mdogo wa uendeshaji wa bandari yetu.

Rais Samia anapopigania uwekezaji lengo lake ni kuongeza ufanisi wa TPA ili kinachopatikana kilingane na nchi yenye kutegemewa na mataifa nane kwenye suala zima la bandari.

Maadam upo msimamo wa bunge wenye kueleweka basi huo ndio wa muhimu zaidi kuliko hizi taasisi nyinginezo za kidini ambazo wahusika wanaweza kuhongwa pesa au kuwaonea aibu hao baadhi ya wanasiasa wapigaji wa pale bandarini.
 
Kimsingi swala la Bandari ni Agemda ya Kanisa wanahubiri hayo makanisani hadi kwenye Jumuia,wanaambizana kwamba Wakioewa DP world waislaam watapewa kipaombele.

Unajua ukizoe kuka nyama ya mtu,always utakuwa unamuwazia hivyo kila mtu.

Kwa miaka Mingi sana kuna ubaguzi wa dini kwenye nchi yetu Wakristo hasa wakatoliki wanajifanya hii nchi ni mali yao.

Wanaamini kila kinachoridhiwa na Kanisa lazima kiridhiwe na Nchi,na kikikataliwa na kanisa lazima kikataliwe na nchi.

Kama ukivyosema ,wakati wa utawala wa Magufuli,pamoja na maovu mengi na mikataba mingi hawakuwahi kuihoji hawakuwahi kukemea ule unyama uliofanyika kwa sababu aliefanya ni mkatoliki mwenzao.

Kaingia Rais Samia,anasaini Mkataba wa DP world kama Magufuli alivyosaini Yapi Markez,lakini kila anaepinga ni Mkristo kama una rafiki mkristo mlieshibana atakwambia jinsi hii ageda inavyohubiriwa makanisani.

Yepi mbona ni waturuki na unajua dini ya saturuki au tukukumbushe umepitiwa kidogo?
 
DPW kwa ujumla hawezi kupendwa na baadhi ya wanasiasa, ni wanafiki wenye maslahi yao kupitia ufanisi mdogo wa uendeshaji wa bandari yetu.

Rais Samia anapopigania uwekezaji lengo lake ni kuongeza ufanisi wa TPA ili kinachopatikana kilingane na nchi yenye kutegemewa na mataifa nane kwenye suala zima la bandari.

Maadam upo msimamo wa bunge wenye kueleweka basi huo ndio wa muhimu zaidi kuliko hizi taasisi nyinginezo za kidini ambazo wahusika wanaweza kuhongwa pesa au kuwaonea aibu hao baadhi ya wanasiasa wapigaji wa pale bandarini.
Ndo mana hata maaskofu wao walisomeka kwenye miamala ya Rugemalila. Hawa watu ni corrupt sana
 
1. Wanadai Serikali iachane na Mkataba wa Bandari kwa sababu wananchi wamegawanyika kuhusu mkataba huo!

Swali langu kwao, Ni jambo lipi nchi hii limewai kukubaliwa na asilimia 100 ya wananchi wote? Kwenye Mfumo wa vyama vingi, Mbona asilimia kubwa ya Wananchi walikataa mfumo huo ila Serikali wakauunga mkono! Je kwa nini hawakutoa tamko kipindi icho kutaka nchi iendelee kuwa ya Chama kimoja? Kwa tamko lao walilosema maamuzi ya wananchi yaheshimiwe basi wanaungana mkono Serikali I reverse maamuzi yake ya kuruhusu mfumo wa vyama vingi na turudi kwenye mfumo wa Chama kimoja?

2. Kwenye tamko lao wanadai Mihimili ya dola iheshimiwe. Swali langu kwao! Juzi Mahakama Kuu wametoa maamuzi ya kutupilia mbali maombi ya watu walioshtaki mkataba wa Bandari.

Sasa kwa nini wanataka mihimili ya dola iheshimiwe na wao hawataki kuheshimu maamuzi ya Mahakama? Kama Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 hasa ibara ya 107A inasema Mahakama ndio Mhimili wa mwisho katika kutoa haki sasa kwa nini hawaheshimu maamuzi ya Mahakama alafu wanatoa tamko kusema Mihimili ya dola iheshimiwe?

3. Wao wanavyotoa tamko kutaka Serikali iachane na mkataba wa bandari kesho BAKWATA wakitoa tamko Serikali iendelee na mkataba wa Bandari wanataka Serikali imsikilize nani? Kesho kutwa mabudha wakitoa tamko pia wanataka Serikali imsikilize nani kati yao?

Kwa hali hii sasa naamini kwa nini mapadre wa kanisa katoliki walishtakiwa kwa kuhamasisha mauaji ya kimbari Rwanda!


Pia soma
- News Alert: - Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu
Haya maswali peleka Kurasini TEC. Hapa nani atakujibu sasa?
 
Haziuzwi Bali
Ni ushauri tu, kama serikali haiutaki basi iendelee na mpango wake wa kuuza bandari.
Haziuzwi bali anapewa muwekezaji na matarajio ni kupata fedha nyingi kwa ajili ya kuendesha na kukuza uchumi wa nchi.

Kama kwenye makubaliano Kuna sehemu pameandikwa bandari inauzwa tueleze ili tusaidiane kuandamana,
 
Kasome masharti ya hiyo mikataba ya uwekezaji kwa nchi ulizozitaja ulinganishe na wa kwetu ndiyo utafahamu kwa nini watu wanapinga huu mkataba ulivyo na si ku question uwezo wa DPW.
Ni uelewa tu mdogo kaka, na ule ni mkataba kamili ukitaka kuelewa mantiki yake uusome wote kwa ukamilifu wake sio kifungu kimoja kisomwe kwa nia tu ya kutaka kufanikisha lengo la taasisi fulani.
 
Back
Top Bottom