Mbezi beach, Dar: Jimson Kibiki, apigwa risasi na Majambazi wakati akitoka benki kuchukua hela, wamnyang'anya Mil 4

mkuu tutaona na kusikia mengi tu. nchi hii kuiongoza s rahisi kama watu wanavyofikiria. JPM aliiweza vizr.
 
Utajua hujui

Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Labda aikuwa anaenda kuwalipa Mafundi/vibarua.
 
comment ya hovyo haijawah kutokea. mtu alipe kodi ya usalama na ulinzi alafu alipe askari kwa ulinzi mwengine. inaonekana hata haki zako huzijui wew

Sasa unata kuniambia kama nimetoka bank posta kuchukua hela naenda kongowe kununua kiwanja ,njia nayopita askari wawe barabarani wamejipanga kwa mstari hadi Kongowe? Unajua ratio ya askari mmoja ni raia wangapi? Swala la ujambazi alimalizwi kwa njia kama unazofikiria wewe...Ujambazi ni mtandao,njia unazosema wewe askari wa kulinda labda kumaliza VIBAKA.
 
Hakika! ataonekana hatoshi. Sasa hivi zile foleni za kijinga zimeanza kuonekana jijini Dar es Salaam.. sijui tunaelekea wapi!
 
RIP anko tutakumiss sana tu haya mambo yalishaisha sasa yanaanza kurudi
Ndiyo hasara ya kumtegemea mtu mmoja kama mganga wa mvua wa kijiji. Suluhisho ni kujenga MIFUMO imara ya utawala itakayohimili mabadiliko yoyote yale iwe ya uongozi wa mtu au chama kilichoko madarakani.
Nchi za wenzetu zilizoendelea huwezi kuona utendaji wa jeshi la polisi unafifia kisa tu rais wa nchi amebadilika au chama kilichokuwa kinatawala hakipo tena madarakani.
Kama ni kweli matukio haya yana tokea awamu hii simply because kuna mabadiliko ya uongozi basi ni dhahiri tuna mfumo mbovu sana wa utawala kupindukia. QED.
 
Acha ujinga wewe mfumo gani umekosekasekana sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…