Mbezi beach, Dar: Jimson Kibiki, apigwa risasi na Majambazi wakati akitoka benki kuchukua hela, wamnyang'anya Mil 4

Hawa watu si walikuwa humo humo na rais huyo?

Hata kama hapakuwa na mfumo, kwani hawawezi kugezea tu waliyokuwa wanafanya mazuri ili yaendelee bila huyo mtu mmoja kuwepo?
 
tulianza kusahau zama hizi! inasikitisha sana. nguvu zote hizi kisa milioni 4!

pole sana kwa wanafamilia!

Si semi kuwa polisi wanahusika ila, IGP najua kuna watu unajua watukutu kwenye chombo chako, ni wakati wa kujitoa fahamu na 'kupoteza' baadhi yao! Pitisha fagio moja hatari sana mpaka wanyooke!

naongeza kuwa, wale wenye ndugu zao wanao husika na 'shughuli' mbali mbali kama hizi, tutawapiga mawe na kuwawasha moto.

mama awe makini sana maana kinyonga aliyenaye karibu atampeleka pabaya! sio mtu salama kabisa.
 
Kumwambia mtu "kamfuate huko marehemu" ni dhihaka kubwa kuutolewa na mtu mwenye upeo mkubwa kama wewe...
 
Yaan wee acha tyuuh
 
mkuu tutaona na kusikia mengi tu. nchi hii kuiongoza s rahisi kama watu wanavyofikiria. JPM aliiweza vizr.
JPM huyu huyu aliyeshindwa kuajiri kama kikwete?,akiyeiba kura?,aliyeshindwa kuipandisha GDP?,aliekopa Trillioni 20 kwa miaka mitano tu?
Au munadhani kuendesha nchi ni kuzuia ujambazi tu?
 
Hawa watu si walikuwa humo humo na rais huyo?

Hata kama hapakuwa na mfumo, kwani hawawezi kugezea tu waliyokuwa wanafanya mazuri ili yaendelee bila huyo mtu mmoja kuwepo?
Yaani ndio unaona jinsi tulivyooza kimaadili. Mpaka tusimamiwe kama watoto wadogo.
 
Tutakumbuka mengi sana
Alisema mengi na kufanya bila woga
Hili la mauwaji alikomesha kwa kiasi kikubwa sana
Ujambazi na hata Ajali kama zilikuwepo ni kwa sehemu ndogo mno, Tochi za barabarani na semina za madereva zimesaidia sana
 
Mama Samia inafaa kuhusu ujambazi awe mkaliiii mkaliiii kaliiiiii mkaliiiiiiiiiiiiii kaliiiiiiiiiiiiiiiiii na Jeshi la polisi RPC apangue haraka sana ili awape amri haraka sana za kuwa ikiwa ujambazi utatoke mkoa wako, kazi RPC huna, na huo ndio mkataba wako, full stop
 
Nani anapaswa kumwajibisha Siro????
 
Ni muda unepita toka nimesikia matukio haya. Enzi za kikwete.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…