Mbezi beach, Dar: Jimson Kibiki, apigwa risasi na Majambazi wakati akitoka benki kuchukua hela, wamnyang'anya Mil 4

Mbezi beach, Dar: Jimson Kibiki, apigwa risasi na Majambazi wakati akitoka benki kuchukua hela, wamnyang'anya Mil 4

Polisi ndio majambazi wenyewe. Huyu mama acha acheke na nyani atavuna mabua soon. Inatakiwa hii nchi sasa hivi miji mikuu yote ilindwe na JWTZ. Udokozi ujambazi na ujinga ujinga unarudi kwa speed ya mabomu ya Israel. Magufuli nilikuwa simkubali kwa mambo mengi sana ila yule dume halikuwa hataki ujinga wa kisengesenge kama huu. Jiwe alikuwa kiboko wasomi na elimu aliwageuza chekechea jiulize kuna mtu na elimu ya mwisho kbs alikunywa dawa ya Madagascar bila kupenda halafu leo anagomea chanjo ya covid 19. Magu mungu akuweke unapostahili, ila ulijua kuchezea na ndeze wabongo.
tulia dawa ikuingie. magu hapa hausiki tushamsahau pambana na maisha bila magu sasa. agizeni chanjo mnayoitaka, unamtaja mtu aliyefariki miezi 2, hivi unaakili kweli wewe. wekeni mnayoona yanafaa na toeni mnayoona hayafai
 
Kidogo inaanza kutia wasiwasi.

Ni kama mama hakuwemo kwenye serikali iliyokuwa imeyadhibiti haya mambo, na sasa ni kama anatafuta njia zake mpya kabisa kwa kila kitu, jambo ambalo inaonekana inamchukua muda mrefu na kutoa mwanya kwa watu kujifanyia yao.

Hivi polisi nao wamebadili utendaji kazi wao uliokuwa umedhibiti uhalifu wa aina

Samia atalinganishwa na mtangulizi wake katika baadhi ya mambo, na ataonekana hatoshi kabisa!
Tutaelewana tu kidogo kidogo, tofauti ya mtawala na kiongozi! Mwisho mtachagua tu mazishi au kusafirisha
 
tulia dawa ikuingie. magu hapa hausiki tushamsahau pambana na maisha bila magu sasa. agizeni chanjo mnayoitaka, unamtaja mtu aliyefariki miezi 2, hivi unaakili kweli wewe. wekeni mnayoona yanafaa na toeni mnayoona hayafai
Huyo mwehu anajifanya kumtaja Magu sahizi! Atulie aache mapepe si walidai mama atatuvusha! Kama disko ndio kwanza saa 4 usiku sahizi
 
Kwa nini Mama alaumiwe?

Je, ni kweli kwamba Mama ameagiza Polisi waache kushughulika na UHALIFU na WAHALIFU?

Au, Kamanda Siro na timu yake wameamua kuachia UHALIFU NA WAHALIFU ili Mama Mh. Samia Suluhu Hasan "ALAUMIWE"

LAWAMA ZIELEKEZWE KWA KAMANDA SIRO NA TIMU YAKE.

WA KUWAJIBIKA NA AU KUWAJIBISHWA NI KAMANDA SIRO NA TIMU YAKE.
tatizo sio sirro mkuu. na kama tatizp ni sirro kwanini asimuondoe akamuweka anayemtaka
 
Hali si nzuri! Taarifa za matukio zinarudi kwa kasi sana. Issue sio kubadili makamanda tu bali kuna system imebadilika ghafla baada ya mwendazake kuondoka. Ni kama wale matapeli ya zamani yameshika mpini! Wahalifu hawana hofu tena.
 
Kwa nini Mama alaumiwe?

Je, ni kweli kwamba Mama ameagiza Polisi waache kushughulika na UHALIFU na WAHALIFU?

Au, Kamanda Siro na timu yake wameamua kuachia UHALIFU NA WAHALIFU ili Mama Mh. Samia Suluhu Hasan "ALAUMIWE"

LAWAMA ZIELEKEZWE KWA KAMANDA SIRO NA TIMU YAKE.

WA KUWAJIBIKA NA AU KUWAJIBISHWA NI KAMANDA SIRO NA TIMU YAKE.
Hapa kuna tatizo jeshi la polisi kwasababu ni polisi hawahawa chini ya IGP yuleyule walitokomeza ujambazi kipindi cha Mwendazake, na ni polisi hawahawa na IGP huyohuyo wanashindwa kutumia mbinu zilezile walizotumia wakati wa Mwendazake katika kudhibiti uhalifu wakati wa Samia

Bila shaka kuna hiden agenda behind the scene

Mama Samia tafuta IGP anayeweza kudundika na midundo yako
 
Watu si mlitaka Uhuru wa kufanya kazi bila bugdha.?.
Sasa hivi na majambazi nao wamepewa Uhuru wa kufanya kazi zao.
Nadhani soon mzunguko wa Ela utaongezeka mtaani kwa Uhuru tuliopewa.
haha. watu wanataka hela ionekane mtaani
 
Viongozi wa jeshi la polisi wanatakiwa kuwajibishwa. Hii sasa ni makusudi kazi hawafanyi.
Polisi wakiamua huwa wanakomesha haya mambo lakini naona wameamua kutulia na kusubiri mshahara tu.
 
Kidogo inaanza kutia wasiwasi.

Ni kama mama hakuwemo kwenye serikali iliyokuwa imeyadhibiti haya mambo, na sasa ni kama anatafuta njia zake mpya kabisa kwa kila kitu, jambo ambalo inaonekana inamchukua muda mrefu na kutoa mwanya kwa watu kujifanyia yao.

Hivi polisi nao wamebadili utendaji kazi wao uliokuwa umedhibiti uhalifu wa aina

Samia atalinganishwa na mtangulizi wake katika baadhi ya mambo, na ataonekana hatoshi kabisa!
mkuu TRA wanasoma hadharani,kwamba tumewaachia watuhumiwa 126 WALIOKUA WAMEFUNGWA KWA KESI ZA KUBAMBIKIWA,unadhani polisi wanakuwa na ujasiri wa kushughulika na mharifu kinyume na sheria????hapo ndipo wananchi wanaendelea kukobolewa sasa.

binafsi nimsisitize mama,kama hataruhusu mkono wa chuma,mengi na mabaya tutayashuhudia sana utawala wake.

kuna mambo kwa asili yake tu hayataki siasa na tafadhali nyingi.unaharibu.
 
Kidogo inaanza kutia wasiwasi.

Ni kama mama hakuwemo kwenye serikali iliyokuwa imeyadhibiti haya mambo, na sasa ni kama anatafuta njia zake mpya kabisa kwa kila kitu, jambo ambalo inaonekana inamchukua muda mrefu na kutoa mwanya kwa watu kujifanyia yao.

Hivi polisi nao wamebadili utendaji kazi wao uliokuwa umedhibiti uhalifu wa aina

Samia atalinganishwa na mtangulizi wake katika baadhi ya mambo, na ataonekana hatoshi kabisa!
Apige kichwa tu basi. Haiwezekani jeshi lilelile liweze kipindi kile lakini lishindwe sasa.
Ni makusudi.
 
Kwa nini Mama alaumiwe?

Je, ni kweli kwamba Mama ameagiza Polisi waache kushughulika na UHALIFU na WAHALIFU?

Au, Kamanda Siro na timu yake wameamua kuachia UHALIFU NA WAHALIFU ili Mama Mh. Samia Suluhu Hasan "ALAUMIWE"

LAWAMA ZIELEKEZWE KWA KAMANDA SIRO NA TIMU YAKE.

WA KUWAJIBIKA NA AU KUWAJIBISHWA NI KAMANDA SIRO NA TIMU YAKE.
utawala wa sheria kila sehemu,ni sawa na kuvaa earphone huku unabeba zege,zitakuchanganya.
 
mkuu TRA wanasoma hadharani,kwamba tumewaachia watuhumiwa 126 WALIOKUA WAMEFUNGWA KWA KESI ZA KUBAMBIKIWA,unadhani polisi wanakuwa na ujasiri wa kushughulika na mharifu kinyume na sheria????hapo ndipo wananchi wanaendelea kukobolewa sasa.

binafsi nimsisitize mama,kama hataruhusu mkono wa chuma,mengi na mabaya tutayashuhudia sana utawala wake.

kuna mambo kwa asili yake tu hayataki siasa na tafadhali nyingi.unaharibu.
Kwahiyo polisi wanashinikiza kesi za kubambikiziwa ziendelee. Ilikuwa ndo kula yao pengine.
Kuna mtu anatakiwa kuwajibishwa hapo.
 
mkuu, JPM kauli zake tu majukwaani zilikuwa zinatisha. samia anapoongea na wananchi zile kauli hana. mfano kuhusu hili la ujambazi JPM aliongea live kuwaambia askari kwanini jambazi anapora na silaha alafu anafanikiwa kukimbia, kwanini msiwanyang'anye hizo silaha ' haraka haraka' tena neno haraka haraka akalirudia kama mara 3 hivi. alimaamisha jambaz lazima afe. sasa kama ww ni jambazi ukisikia hii kauli rais anaiongea live lazima uogope. kama tunahitaji kusikia maneno matamu kila siku haya ndio madhara. kauli za JPM ndio zilikuwa zinatulinda
kuanza 2016,ujambazi wa silaha ulikoma kabisa.mpaka watu wakaanza kuona hakuna sababu ya askari kuzurula na silaha mtaani.

sababu ni moja,ulikuwa ukikamatwa na silaha haijasajiliwa bro,siku mbili mbele tutakuta likiroba limefungwa kama furushi.
 
Kwa nini Mama alaumiwe?

Je, ni kweli kwamba Mama ameagiza Polisi waache kushughulika na UHALIFU na WAHALIFU?

Au, Kamanda Siro na timu yake wameamua kuachia UHALIFU NA WAHALIFU ili Mama Mh. Samia Suluhu Hasan "ALAUMIWE"

LAWAMA ZIELEKEZWE KWA KAMANDA SIRO NA TIMU YAKE.

WA KUWAJIBIKA NA AU KUWAJIBISHWA NI KAMANDA SIRO NA TIMU YAKE.
Full stop. !
 
Back
Top Bottom