Mbezi beach, Dar: Jimson Kibiki, apigwa risasi na Majambazi wakati akitoka benki kuchukua hela, wamnyang'anya Mil 4

Mbezi beach, Dar: Jimson Kibiki, apigwa risasi na Majambazi wakati akitoka benki kuchukua hela, wamnyang'anya Mil 4

Polisi ndio majambazi wenyewe. Huyu mama acha acheke na nyani atavuna mabua soon. Inatakiwa hii nchi sasa hivi miji mikuu yote ilindwe na JWTZ. Udokozi ujambazi na ujinga ujinga unarudi kwa speed ya mabomu ya Israel. Magufuli nilikuwa simkubali kwa mambo mengi sana ila yule dume halikuwa hataki ujinga wa kisengesenge kama huu. Jiwe alikuwa kiboko wasomi na elimu aliwageuza chekechea jiulize kuna mtu na elimu ya mwisho kbs alikunywa dawa ya Madagascar bila kupenda halafu leo anagomea chanjo ya covid 19. Magu mungu akuweke unapostahili, ila ulijua kuchezea na ndeze wabongo.
wewe mndengereko unajua mgawanyo wa majukumu au umeongea tu pumba hapa.JWTZ hawezi kuingilia kazi za polisi.Hapo kikubwa tuwape rai polisi wetu waendelee na ile mbinu yao 'catch to kill'
 
Kwa wanaopenda kutoa hela nyingi benki wangefikiria kutolea hela hizo kwenye benki ambazo maeneo ambayo yana usalama mfano Posta DSM
Jambazi hafanyi tukio bila mchoro.

Hivyo hakuna cha Posta wala wapi wakikuamria.

Dawa ni kutumia mtindo wa 'E money' katika transaction badala ya maburungutu, mtindo ambao kuna maeneo mengine ilishabakia historia.
 
wewe mndengereko unajua mgawanyo wa majukumu au umeongea tu pumba hapa.JWTZ hawezi kuingilia kazi za polisi.Hapo kikubwa tuwape rai polisi wetu waendelee na ile mbinu yao 'catch to kill'
sasa ni utawala wa sheria,marufuku kuua.

mahakama zipo.
 
hakuna kesi ya kubambikiza,ila kuna kesi zinazokosa vigezo vya kimahakama.ili uende jela lazima igeuzwe ifiti kwenye adhabu.

hakuna shida,wanaoumia sio polisi,sio wanaharakati no wananchi wa kawaida.
Unaonekana una madai ya msingi.
Hili shauri unaweza lifungua mahakamani.
 
Police wanajua michongo yote ya town, nikama dharau kwa mama hii........hata maeneo ya ubungo na viyongoji vyake wizi umerudi kama kawaida
 
Huyo mwehu anajifanya kumtaja Magu sahizi! Atulie aache mapepe si walidai mama atatuvusha! Kama disko ndio kwanza saa 4 usiku sahizi
alafu si sahihi kimtaja magu ambae ashafari. issue ni watoe yale waliona magu kakosea waweke mambo yao mapya, mbona kitu rahisi sana. wamshauri mama mambo wanayoyataka. mi nashangaa kukicha magu
 
alafu si sahihi kimtaja magu ambae ashafari. issue ni watoe yale waliona magu kakosea waweke mambo yao mapya, mbona kitu rahisi sana. wamshauri mama mambo wanayoyataka. mi nashangaa kukicha magu
Wanaanzisha wao, watu wakianza kumsema wanaanza kulalamika.
 
mkuu TRA wanasoma hadharani,kwamba tumewaachia watuhumiwa 126 WALIOKUA WAMEFUNGWA KWA KESI ZA KUBAMBIKIWA,unadhani polisi wanakuwa na ujasiri wa kushughulika na mharifu kinyume na sheria????hapo ndipo wananchi wanaendelea kukobolewa sasa.

binafsi nimsisitize mama,kama hataruhusu mkono wa chuma,mengi na mabaya tutayashuhudia sana utawala wake.

kuna mambo kwa asili yake tu hayataki siasa na tafadhali nyingi.unaharibu.
nahisi mama anataka kipendwa na kusifiwa kule twitani
 
Mchezo huu unafanywa na wafanyakazi wa benki wenyewe, ni vigumu sana mtu wa nje kujuwa mteja katoa kiasi gani. Hapa wa kumkamata ni mtu wa mwisho hapo benki aliyemsaidia huyu jamaa kutoa hela kwenye account, akamatwe na anyongwe ili iwe fundishio kwa wengine.
 
Mchezo huu unafanywa na wafanyakazi wa benki wenyewe, ni vigumu sana mtu wa nje kujuwa mteja katoa kiasi gani. Hapa wa kumkamata ni mtu wa mwisho hapo benki aliyemsaidia huyu jamaa kutoa hela kwenye account, akamatwe na anyongwe ili iwe fundishio kwa wengine.
utawala wa sheria mkuu acha jazba
 
Back
Top Bottom