Mbezi beach, Dar: Jimson Kibiki, apigwa risasi na Majambazi wakati akitoka benki kuchukua hela, wamnyang'anya Mil 4

Mbezi beach, Dar: Jimson Kibiki, apigwa risasi na Majambazi wakati akitoka benki kuchukua hela, wamnyang'anya Mil 4

Kuuawa huyo mdingi au ujambazi unamuingizaje Magufuli katika hii mada? Maana naona watu tutamkumbuka tutamkumbuka! Acheni ushamba

Au ishu hizo kuna kipindi zinasimama kabisa zisijitokeze hata siku moja kiasi kwamba ikija kutokea iwe gumzo kiasi hiki

Au...!!!?
Mmegawana sh ngapi ngapi za mliempiga risasi?
 
Unafikiri huo uliisha. Tatizo ilikuwa nani atathubutu kuripoti?
We babu hata kama unamchukia Mwendazake, kuna vitu haviihitaji ubishi, eti walikuwa hawaripoti. Waulize watu wa Kigoma hasa Kibondo watakwambia ukweli, Sasa walikuwa wanaweza kuishi kwa amani kabla ya huyu Mzee kupita siku Bila duka, nyumba au gari kuvamiwa au kutekwa na majambazi ilikuwa ni Jambo la ajabu. Lakini within these four yrs mambo yalitulia kabisa.
 
wewe mndengereko unajua mgawanyo wa majukumu au umeongea tu pumba hapa.JWTZ hawezi kuingilia kazi za polisi.Hapo kikubwa tuwape rai polisi wetu waendelee na ile mbinu yao 'catch to kill'
Zama hizi kwa ujinga wa polisi wetu tuache kbs kuishi kwa kuangalia majukumu. Polisi wetu ni wezi sana.
 
Pale mlimani city ndio pana hatari kubwa sana.

Ukienda bank za pale bankers wanakuchoresha kwa wahuni

Unafuatwa na boda boda hivi mchana kweupe,,, hawavai mask usoni wala nini..

Utashangaa wanakuambia the exact amount uliyotoa bank (mfano ulitoa 10m bank), njemba zinakuambia tupe ile 10m uliyotoa hapo

Sasa utajiuliza wamejuaje kama ulitoa 10m bank??

Kuna haja ya kuchunguza hawa bankers wanao uza roho za watu kwa majambazi!

kwa namna moja au nyingine ni lazma wanapata maslahi kutokana na ujambazi huo.
 
mkuu, JPM kauli zake tu majukwaani zilikuwa zinatisha. samia anapoongea na wananchi zile kauli hana. mfano kuhusu hili la ujambazi JPM aliongea live kuwaambia askari kwanini jambazi anapora na silaha alafu anafanikiwa kukimbia, kwanini msiwanyang'anye hizo silaha ' haraka haraka' tena neno haraka haraka akalirudia kama mara 3 hivi. alimaamisha jambaz lazima afe. sasa kama ww ni jambazi ukisikia hii kauli rais anaiongea live lazima uogope. kama tunahitaji kusikia maneno matamu kila siku haya ndio madhara. kauli za JPM ndio zilikuwa zinatulinda
Daaah kweli mkuu,kauli zake zilikuwa hazIna masihara, nakumbuka aliwahi kuongea mara moja tu kuhusu utekaji wa magari pori la nyakanazi (watumiaji wa barabara hiyo wanapajua)watu walikuwa wanatekwa sana,wanavuliwa nguo zote wanaanza kuimbishwa "mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe"jamaa alisema raia wanaishi kwa hofu ndani ya nchi yao wenyewe wakati polisi wapo Jw wapo inakuwaje eneo linajulikana kuna majambazi wanatamba tu hawakamatwi,hataki huo ujinga!!ikafanyika operation watekaji wakapotea,sasa kwa hali inavyoendelea watu wanapita kwa hofu kwenye lile pori!!!! MAMA NI KIONGOZI MZURI LAKINI AKAZE SAUTI.
 
Unamlaumuje Sirro wakati Mama kasema hata majambazi na magaidi waliokuwa mahabusu waachiwe kwa kuwa eti wanabambikwa kesi!! ukiona polisi wanamshikilia mtu muda mrefu, ujue mtu huyo ni hatari kwenye jamii. Sasa hivi ameanza kucheka na mambo ya usalama barabarani, hapo pia hakuna muda mtaanza kulia sana kwa ajali, kwani kuna madereva kenge huwa hawaelewi kitu, twendeni tu, tutafika tu japo tutakua tumechoka sana
Hapo raisi hatuna
 
Polisi ndio majambazi wenyewe. Huyu mama acha acheke na nyani atavuna mabua soon. Inatakiwa hii nchi sasa hivi miji mikuu yote ilindwe na JWTZ. Udokozi ujambazi na ujinga ujinga unarudi kwa speed ya mabomu ya Israel.

Magufuli nilikuwa simkubali kwa mambo mengi sana ila yule dume halikuwa hataki ujinga wa kisengesenge kama huu. Jiwe alikuwa kiboko wasomi na elimu aliwageuza chekechea jiulize kuna mtu na elimu ya mwisho kbs alikunywa dawa ya Madagascar bila kupenda halafu leo anagomea chanjo ya covid 19.

Magu mungu akuweke unapostahili, ila ulijua kuchezea na ndeze wabongo.
Wewe na mapraivet wenzako wa JW ndo wezi.
Matukio mengi tu askari wachache msio na maadili mnaliaibisha jeshi letu la wananchi. Kesi kibao zimesolviwa kimya kimya kati ya viongozi wa polisi na Jw, pengine hulijui hilo.
Muache ujambazi.
 
Polisi ndio majambazi wenyewe. Huyu mama acha acheke na nyani atavuna mabua soon. Inatakiwa hii nchi sasa hivi miji mikuu yote ilindwe na JWTZ. Udokozi ujambazi na ujinga ujinga unarudi kwa speed ya mabomu ya Israel.

Magufuli nilikuwa simkubali kwa mambo mengi sana ila yule dume halikuwa hataki ujinga wa kisengesenge kama huu. Jiwe alikuwa kiboko wasomi na elimu aliwageuza chekechea jiulize kuna mtu na elimu ya mwisho kbs alikunywa dawa ya Madagascar bila kupenda halafu leo anagomea chanjo ya covid 19.

Magu mungu akuweke unapostahili, ila ulijua kuchezea na ndeze wabongo.
JWTZ sio kazi yao kudeal na uhalifu, hiyo ni kazi ya Polisi.
 
Kwa nini Mama alaumiwe?

Je, ni kweli kwamba Mama ameagiza Polisi waache kushughulika na UHALIFU na WAHALIFU?

Au, Kamanda Siro na timu yake wameamua kuachia UHALIFU NA WAHALIFU ili Mama Mh. Samia Suluhu Hasan "ALAUMIWE"

LAWAMA ZIELEKEZWE KWA KAMANDA SIRO NA TIMU YAKE.

WA KUWAJIBIKA NA AU KUWAJIBISHWA NI KAMANDA SIRO NA TIMU YAKE.
Hatujui mkuu saivi kila mtu ashike hamsini zake.
 
Polisi ndio majambazi wenyewe. Huyu mama acha acheke na nyani atavuna mabua soon. Inatakiwa hii nchi sasa hivi miji mikuu yote ilindwe na JWTZ. Udokozi ujambazi na ujinga ujinga unarudi kwa speed ya mabomu ya Israel.

Magufuli nilikuwa simkubali kwa mambo mengi sana ila yule dume halikuwa hataki ujinga wa kisengesenge kama huu. Jiwe alikuwa kiboko wasomi na elimu aliwageuza chekechea jiulize kuna mtu na elimu ya mwisho kbs alikunywa dawa ya Madagascar bila kupenda halafu leo anagomea chanjo ya covid 19.

Magu mungu akuweke unapostahili, ila ulijua kuchezea na ndeze wabongo.
Naishi mtaa mmoja ambao wajeda wengi wamejiwekeza kwa kujenga na kuishi, mwizi akikamatwa suala ni moja tu kukatwa robotatu ya vidole vyake vya mikono na miguu na visigino hii ninkwa wezi na wadokozi.

Majambazi huwa hawakatwi vidole wala visigino ni kukatwa roho moja kwa moja.

Wambura hebu onesha ile heshima mama alikupa siku ile akitoa onyo kwa wanaojaribu kujiibua kwenye wiziwizi.

Kwa sasa suala la wizi halipo tena.
 
Sawa, suppose mtoa hela aliwaambia washikaji atakwenda kutoa bilioni moja benki, je aliwaambia ni benki gani? Huu mchongo ni wa wafanyakazi wa benki wenyewe, unaitwa inside job na usikute hata bunduki waliazima toka jeshini au polisi.
vyote vinawezekana
 
Kidogo inaanza kutia wasiwasi.

Ni kama mama hakuwemo kwenye serikali iliyokuwa imeyadhibiti haya mambo, na sasa ni kama anatafuta njia zake mpya kabisa kwa kila kitu, jambo ambalo inaonekana inamchukua muda mrefu na kutoa mwanya kwa watu kujifanyia yao...
IGP ni Yule Yule, tunamwona ni Yule yule
 
Dawa yao ni kuwapa wale vyuma tu....Halafu katika zama hizi bado watu wanashindwa kutumia technology kufanya manunuzi? Haina haja ya kwenda bank kuchukua mzigo mkubwa ,wa nini? Kama unaenda kununua kiwanja,gari or malipo yeyote si unafanya bank transfer? Kama vimilioni viwili au vitatu si unatransfer tu kwenda kwenye mobile? Usiangalie gharama jali uhai.
Mfano wanaonunua mazao wakulima wa vijijini hawataki mpesa wala acc hawana,inabidi uende n cash hapo ndio pagumu
 
Back
Top Bottom