Mbona wasukuma na wahaya wana akili sana za darasani πŸ€”

Wasukuma ni engineer s wengi kwasababu wanazungukwa na migodi yaan exposure

Wachaga hawa wakizaliwa mashuleni so wengi ni madaktari bingwa, wachaga wana PhD holder wengi kuliko wahaya na wasukuma
 
Wasukuma ni engineer s wengi kwasababu wanazungukwa na migodi yaan exposure

Wachaga hawa wakizaliwa mashuleni so wengi ni madaktari bingwa, wachaga wana PhD holder wengi kuliko wahaya na wasukuma
Sawa mkuu asante
 
Mtoa Mada umepatia, ingawa kwa kuongeza ungesema Makabila ya Kanda ya Ziwa.

Sehemu uliyokosea ni kwenye huo mfano wako wa Picha, kwani ulikosa hata Picha ya Dr Rweikiza hadi uweke Picha ya huyo Msukumua (PhD ya std 7)?
 
Mtoa Mada umepatia, ingawa kwa kuongeza ungesema Makabila ya Kanda ya Ziwa.

Sehemu uliyokosea ni kwenye huo mfano wako wa Picha, kwani ulikosa hata Picha ya Dr Rweikiza hadi uweke Picha ya huyo Msukumua (PhD ya std 7)?
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Kwa kweli aseee
 
Samaki. Hasa kichwa cha Sato mbichi. Kwa Wakerewe wanaongezea kula ngere na supu yake!
 
Mimi ninachojua wenye akili ni wazalamo
Unaweza ukawa na hoja Nzuri ila nimemuuliza Mzaramo furani hapa kasema hilo ni uongo yaani amejikataa mwenyewe.. Wazaramo wanajijua kwa kuongea maneno mengi kwa muda mfupi wana akili ila sio za Darasani
 
Prof lema, Msoka, mkenda, Mushi, Massawe, Shayo, Mangi, Shirima, Macha, Mallya
Wachaga wanaibia sana Tatizo lao na hawaaachi hiyo kitu ipo damuni na hili limethibitishwa kila aliyesoma na mchaga... Mchaga ana akili kama za wachina...
 
Wasukuma si wa mchezo si mnakumbuka"A catalyst is a substance that increases the rate of chemical reaction, but it remains unchanged at the end of the reaction. "MAGUFULI
Jiwe ana damu ya Usukuma from Moza ake ubini no
 
Issue sio wana akili sana sema wapo wengi na wanao fail ni wengi pia so ni kama ecosystem tu maisha yaende
 
Kuna ka ukweli,asee hata versity nu ngumu sana kukuta hawa watu wamedisco
 
Kuna wa Israel wa Kilimanjaro na Ar baba kaaa mbali na hizi namba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…