Mdude Nyagali akamatwa na Polisi mkoani Mbeya. Aachiwa huru bila masharti

Kwani Rais Magufuli kafufuka? Au chama cha wachaga watasema nani anahusika sahizi?
 
Huyu alisema atanyoosha Samia kama alivyosema mnyoosha Magufuli.wacheni amnyooshe

USSR
 
Naungana na wewe
 
Kwani yeye ni nani asikamatwe endapo atakuwa kutenda kosa?

Tatizo ni kama amekamatwa bila kosa!
 

Unajua why ? Au mdude ni mkingiwa dhambi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…