Member gani ameku-inspire katika jambo fulani

Mimi bado
 
Mimi wangu ni Bantu Lady ,dada amejaaliwa roho na moyo wa kutoa!Mungu azidi kumpa baraka huko alipo!
Aaawww thanks enzo1988 jamani, nimeamka na nakutana na hii ๐Ÿ˜
Amen, napokea Baraka IJN ๐Ÿ™ Barikiwa sana, nathamini sana vile unanikubali humu, inamaana kubwa sana kwangu, kuna mtu anaona unachofanya na anakisema ukiwa bado hai.๐Ÿ™
 
Comments za mzabzab zimejaa uongo sana
Wee naona ulishanipenda sema unajidai kunikandia hapa hadharani lakini moyoni mwako unajisema dah siku mzabzab akinitongoza nitafurahi kionja kibamia chake ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Na sikutongozi ng'oooo wee shangazi mzuri mzuri ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Nitakutongoza mwenyewe!haiwezekani utudanganye wewe ni kiwembe halafu una kibamia wakati ni mali safiiiii we mpaka nikupate labda mimi sio shangazi๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Usirithi adui ama rafiki wa mtu.. Salimiana na wote ila kuwa na mipaka ya mazoea
Punguza maadui kadiri uwezavyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ