wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
πππ Ukitoka mkoani utasikia unatuletea nini ndg yetu?Wkt wao wakitoka Dar kuja mkoani hata nazi 1 hawabebi.Mikoan inawezekana maana unamkuta mtu anashamba lake ameka vikuku ,bata ,Sasa Dar ni jiji la utafutaji sana
Ukigeuka huku mwingine anapambana na majenereta spare chake KWA ajili ya kampeniMwigulu hafai kuwa Waziri wa fedha anazisunda za kupigia Kampeni ya Uraisi 2025.
ππππ kazi iendelee.Halafu ukikaa nao kwenye Vijiwe vya Kahawa wanakwambia hakuna kama Samia ππ
Twafaaaaaaaaππππ kazi iendelee.
Na 2030 tutampa hio nafasi Cyprian Musiba,the economist.Jpm aliua uchumu hu kwa kzidisha kukopa huyu chief Hangaya hana jibu la kurekebisha hu uchumi, paka tupate mtu ambaye ni economician sio hao kama Mwigulu
Lakin mkuu bado anautaka,sanaJpm aliua uchumu hu kwa kzidisha kukopa huyu chief Hangaya hana jibu la kurekebisha hu uchumi, paka tupate mtu ambaye ni economician sio hao kama Mwigulu
Nimecheka Sana mkuu,Na 2030 tutampa hio nafasi Cyprian Musiba,the economist.
Haijapita miezi 6 mara ya mwisho andika gypsum powder nilinunua elf 15, leo inacheza hadi elf 33......kama vipi alazimishwe, mitano tena.Andika Gypsum Podwer ilikuwa inauzwa elfu 25 sasa ni elfu 32.
Nondo 12mm sasa ni elfu 25.
10 Tena kwa SSH.
Herding behaviour (Unyumbu) an occurrence of thoughtful people, suspending their individual reasoning because of fear in this case fearing their leader or self-Absorbed groupHalafu ukikaa nao kwenye Vijiwe vya Kahawa wanakwambia hakuna kama Samia ππ
Eti anafungua nchi keanu ilikua gereza GANI ? na uko gerezani nani kaipeleka,?"Mama anafungua nchi tulia sindano ikuingie"
kwani kabla ajafa mfumuko wa bei ulikuwaje? bidhaa zilikuwaje bei zake?Jpm aliua uchumu hu kwa kzidisha kukopa huyu chief Hangaya hana jibu la kurekebisha hu uchumi, paka tupate mtu ambaye ni economician sio hao kama Mwigulu
Sababu ya Magufuli!Nawasalimu wanajf wote popote mlipo.
Siku ya pili Sasa nimeshindwa kupata jibu la swali tajwa ,maana ni kilio kwa kila ndugu na jamaa kutoka mikoa mbali mbali ambao tunawasiliana muda mwingi achilia wazee wangu walio vijijini,wakati inasemakana mama anaupiga mwingi.
Kwa kuwa JF Kuna wachumi na watu wenye UPEO wa Mambo ya kadha wa kadha naombeni mnijibu swali langu
Mpaka Sasa
1. Vifaa vya ujenzi havikamatiki, naambiwa Mwanza mfuko unacheza kuanzia Elfu ishirini na kuendelea, DODOMA mfuko kuanzia tsh 17000 na kuendelea,ujaweka mabati , nondo n.k, Sasa sijui mikoa ya pembezoni Hali ipo vipi ,jibu Hali itakua mbaya
2.Matumizi ya kila siku ya nyumbani Hali ipo ivyo, nyama kwa Sasa wanakula wachache maana kilo ipo elfu saba mpaka elfu nane
Kwa ujumla kila kitu kiko juu, Bila kusahau miamala ya kwenye simu ,ukitoa tsh 120,000/= Makato ni elfu 5300 na point
Katika mazingira Kama ya Sasa tunatoka vipi, na shida nini Hali kua Kama ilivyo sasa