Mfumuko wa bei ni tishio kwa maisha ya Watanzania

Mfumuko wa bei ni tishio kwa maisha ya Watanzania

Chuma ya aluminum iliyo kuwa inauzwa 30000 Sasa ni 55000

Vioo vilivyo kuwa vinauzwa 44000 kwa Sasa ni tsh 120000-150000 /= hii si sawa nafikiri Kuna shida mahala ,hata Kama chnzo cha mfumko ni korona lakini wafanya biashara wamejiongeza mbele zaidi.

Bahati mbaya kabisa serikali haisemi chochote kuhusu mufumko huo.

Ni hatari sana
Utasikia covid, sawa inaweza changia ila sio katika kiwango kilichopo ,yani nyama tu imefika mpaka elfu 7 mpaka elfu 8 ,sijui na ng,ombe tz zimekufa na covid!

Kuna mtu ameniambia Ngombe ,mbuzi wanasafiliahwa kwenda comoro n.k, waliruhusu may be ndo kufungua nchi, sijui ,Mbolea usiseme haikamatiki

NB na wasipo kua makini kuangalia namna ya KUZUIA mazao KWa Sasa kuuza nje hasa yale ya chakula, KWa ukame huu unaoendelea mwakani Hali inaweza kuwa mbaya Sana ya chakula nchini

Hali ni mbaya Sana kila nyanja
 
Leo nmeenda kununua saban ya 500 naambiwa 700( ile ya unga) kiukwel huko mbele cjui Kama mama atatufikisha,na tukifika tutakuwa tmechoka Sana..
Pole Sana mkuu Mwanza kipande Cha mche wa sabuni kilichokua kinaunzwa sh 100 Sasa 200,Mimi nafikili wafanyabiashara wameficha bidhaa kwenye magodauni, Hali sio
 
Nawasalimu wanajf wote popote mlipo.

Siku ya pili Sasa nimeshindwa kupata jibu la swali tajwa ,maana ni kilio kwa kila ndugu na jamaa kutoka mikoa mbali mbali ambao tunawasiliana muda mwingi achilia wazee wangu walio vijijini,wakati inasemakana mama anaupiga mwingi.

Kwa kuwa JF Kuna wachumi na watu wenye UPEO wa Mambo ya kadha wa kadha naombeni mnijibu swali langu


Mpaka Sasa
1. Vifaa vya ujenzi havikamatiki, naambiwa Mwanza mfuko unacheza kuanzia Elfu ishirini na kuendelea, DODOMA mfuko kuanzia tsh 17000 na kuendelea,ujaweka mabati , nondo n.k, Sasa sijui mikoa ya pembezoni Hali ipo vipi ,jibu Hali itakua mbaya

2.Matumizi ya kila siku ya nyumbani Hali ipo ivyo, nyama kwa Sasa wanakula wachache maana kilo ipo elfu saba mpaka elfu nane

Kwa ujumla kila kitu kiko juu, Bila kusahau miamala ya kwenye simu ,ukitoa tsh 120,000/= Makato ni elfu 5300 na point

Katika mazingira Kama ya Sasa tunatoka vipi, na shida nini Hali kua Kama ilivyo sasa
Unashangaza ndugu,tafsiri ya kukua uchumi ni pamoja na bidhaa kupata bei..

Harafu msipende kuleta tafsiri za kijinga kwenye neno inflation..

Mwisho naomba kujuzwa ikiwa bei za 2019 zilikuwa sawa na za 2020?
 
Mama asipomfukuza Mwigulu hii Nchi inaenda kuangamia.
It will never happen.. Uchumi haupimwi kwa parameters senu za kijinga.

This is how good the economy is performing 👇

Screenshot_20211120-164615.png


Screenshot_20211117-132243.png
 
Jpm aliua uchumu hu kwa kzidisha kukopa huyu chief Hangaya hana jibu la kurekebisha hu uchumi, paka tupate mtu ambaye ni economician sio hao kama Mwigulu
Na nchi aliirudisha shimoni ambako MKapa na JK waliitoa.

Hapa ndiko shujaa wenu mpuuzi alipoifikisha nchi 👇

Screenshot_20211113-134557.png
 
Kwaniaba ya Zitto , Makamba na Nape nachukua fursa hii kusema kuwa mfumuko wa bei na bidhaa kupanda umesababishwa na Hayati Magufuli... ..mama anafungua nchi
Kumbe unadhani nani kasababisha? Marehemu hawezi kwepa lawama huko huko kaburini zitamfuata.
 
Hatoboi , uchaguzi wa 2025 ni uchaguzi serious kuliko zote zilizo tokea fanyika tz ,
Hiyo 2025 ni mbali sana,kwa akili yako mbovu unadhani Hali itaendelea kuwa worse? Mama anakabili madhara ya upuuzi wa Jiwe but by 2023 uchumi utatengamaa
 
Legacy ya Magufuli inawatesa Sana wezi na wajanja wajanja.

Kama Kuna anaebisha subirini 2025, naamini Watanzania tunaakili Sana.
Watanzania gan hao wenye akili sana?? Hawa hawa wanaolipishwa tozo mpya kila kukicha?
 
Viti vikiendela kupanda pesa itapoteza thamani, pesa ikipiteza thamani uchumi utaanguka. Hivyo hata ukitafuta vipi itakua kazi bure
Offset itatokea via investment ndio maana nampenda mama anajua kutatua tatizo ,anahangaika huku na huko kutafuta wawekezaji Ili kuziba hasa pengo la foreign reserve.

Mambo si haya 👇

Screenshot_20211120-162653.png


Screenshot_20211119-151238.png


Screenshot_20211119-151543.png


Screenshot_20211118-131143.png


Screenshot_20211118-103615.png


Screenshot_20211117-192356.png


Screenshot_20211117-132652.png


Screenshot_20211113-200600.png
 
Kwanza mtoa mada ungejua Tzn inavyojitahidi usingeandika hayo no vile mnaamka asubuhi kula na kulala huwa hamuwezi fuatilia kinachoendelea kwingine Duniani na Afrika..

Kama Tzn kuna mfumuko mkubwa wa bei basi nakushauri hamia mojawapo ya nchi tajwa.hapa chini ukafaidi maisha👇👇

Screenshot_20211022-185621.png


Screenshot_20211022-185717.png
 
It will never happen.. Uchumi haupimwi kwa parameters senu za kijinga.

This is how good the economy is performing 👇

View attachment 2017878

View attachment 2017879
Huu Uchumi wa kudanganyana kipika Data wakati Wananchi wanashindia miguu ya Kuku.

Wewe nenda ha Iramba tu ukaone Binadamu wanaishia kula Punda na Vinyamapori vingine Uchumi gani huo.

Mwigulu aonyeshwe Mlango ili hii Nchi inusurike.
 
Huu Uchumi wa kudanganyana kipika Data wakati Wananchi wanashindia miguu ya Kuku.

Wewe nenda ha Iramba tu ukaone Binadamu wanaishia kula Punda na Vinyamapori vingine Uchumi gani huo.

Mwigulu aonyeshwe Mlango ili hii Nchi inusurike.
Hali hiyo imeanza miezi 6 iliyopita? Zama za propaganda zimekwenda na Mwendazake,data hizo ni sahihi na hazijapikwa kama alivyokuwa anafanya yule mtu wenu..

Kuharibu ni rahisi kujenga ni maumivu,mama anajenga haiwezekani ndani ya miezi 6 uchumi ukawa vizuri.

Vipi hata hizi bado unabisha? 👇

Screenshot_20211105-060659.png


Screenshot_20211101-190749.png


Screenshot_20211105-061144.png


Screenshot_20211108-083907.png


Screenshot_20211108-083923.png


Screenshot_20211110-085524.png


Screenshot_20211117-134136.png


Screenshot_20211119-151543.png


Screenshot_20211120-161636.png


Screenshot_20211120-162653.png


Screenshot_20211120-164615.png
 
Back
Top Bottom