Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Zitumike kuongeza mishahara ya wabunge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiendacho kwa mganga hakirudi!nauliza wakuu wangu
Ni kiasi cha US$ 150,000 sawa na milioni 350.
- Zijenge ofisi makao makuu?
- Zisaidie kulipa faini na mawakili wa kesi zilizobaki?
- Zisaidie mchakato wa katiba mpya?
- Zinunue kiwanja cha ofisi makao makuu Dodoma au Dar es salaam.
- Zisaidie ujenzi wa ofisi za kanda?
- Zinunue vitendea kazi vya chama.
- Zigawanywe kwa viongozi waliohukumiwa.
Maoni yenu tafadhali.
(1)Ni kiasi cha US$ 150,000 sawa na milioni 350.
- Zijenge ofisi makao makuu?
- Zisaidie kulipa faini na mawakili wa kesi zilizobaki?
- Zisaidie mchakato wa katiba mpya?
- Zinunue kiwanja cha ofisi makao makuu Dodoma au Dar es salaam.
- Zisaidie ujenzi wa ofisi za kanda?
- Zinunue vitendea kazi vya chama.
- Zigawanywe kwa viongozi waliohukumiwa.
Maoni yenu tafadhali.
Acha unafiki na uzandiki blali inzi wa kijani mkaa choo cha tundu. Wewe nani anajua kama ulichanga au ni gigigogu wako? Onyesha hapa sms iliyoonyesha ulichangi nikurudishie ukaharishie mbali. Fockof. Simbirisi wahead.nauliza wakuu wangu
Fedha hizo zitumike kueneza CDM mashinani.nauliza wakuu wangu
Nje ya mada ,sijui sijui na sisi wa mechi ya Sumba na yanga iliyohairishwa watafanya hiviUtaratibu ni unaonyesha msg ya muamala uliochangia, then inafanyika uhakiki.. unapewa chako!!
Mamako anayajua yoote hayoUkiwaga bleed unakuwaga na Hasira shem.
Huna pedi nini ShemMamako anayajua yoote hayo
Bro! Hii nchi inamambo ya ajabu sana, inshort zile hela zimekwenda na maji.. mchango wao tutauhamishia kwenye ujenzi wa uwanja wa mpira wa chattle.Nje ya mada ,sijui sijui na sisi wa mechi ya Sumba na yanga iliyohairishwa watafanya hivi
Hahahah na watu wamesahau mechi nyingine wiki ijayo na watalipa tenaBro! Hii nchi inamambo ya ajabu sana, inshort zile hela zimekwenda na maji.. mchango wao tutauhamishia kwenye ujenzi wa uwanja wa mpira wa chattle.
Mataga mnahangaika sana. Na kuchanga hamkuchanga . Wana Cdm walitoa fedha hiyo kwa mapenzi makubwa ili kunusuru viongozi wao dhidi ya dhulma za haki.nauliza wakuu wangu
nafikri kabla ya utaratibu wa kuzirejesha, ingeanza zile fedha za tetemeko Kagera maana na zenyewe hazikuwafikia walengwa na zimepigwa kimyanauliza wakuu wangu
Kutoa ni moyo na tayari walishatoa kwa wahusika.Utaratibu ni unaonyesha msg ya muamala uliochangia, then inafanyika uhakiki.. unapewa chako!!
Hizo pesa zitaingizwa kwa akaunti binafsi za walioshtakiwa wakiwemo wale ambao Sasa hivi wamekiasi chama Mdee, Matiko na Bulayanauliza wakuu wangu
Mkuu humu tunawajibu Mataga nafsi zao ziridhike tu ila sisi tuliochangia tunajua kwanini tulifanya vile na hata ikihitajika 350mil nyingine tutachanga Tena!Kutoa ni moyo na tayari walishatoa kwa wahusika.
Hizo fedha zitumike angalau kuanza ujenzi wa jengo la makao makuu ya chama .
Nimekusoma kiongoziMkuu humu tunawajibu Mataga nafsi zao ziridhike tu ila sisi tuliochangia tunajua kwanini tulifanya vile na hata ikihitajika 350mil nyingine tutachanga Tena!
Usikute ile 350 ya mwanzo tuliyochanga walilipwa yepi merkez kuendeleza "farasi mweupe"
Ni kiasi cha US$ 150,000 sawa na milioni 350.
- Zijenge ofisi makao makuu?
- Zisaidie kulipa faini na mawakili wa kesi zilizobaki?
- Zisaidie mchakato wa katiba mpya?
- Zinunue kiwanja cha ofisi makao makuu Dodoma au Dar es salaam.
- Zisaidie ujenzi wa ofisi za kanda?
- Zinunue vitendea kazi vya chama.
- Zigawanywe kwa viongozi waliohukumiwa.
Maoni yenu tafadhali.