Mimi ni muislamu, ila Sheria ya kuoa binti wa miaka 9 katika uislamu inanifanya niwe na mashaka na Imani yangu

Mimi siwezi ozesha kwa miaka 9 kwasababu zama zimebadilika sasa hivi, wanawake wanasoma na kutafuta hela kama wanaume ila zamani ilikuwa tofauti , ukizaa binti unamkuza aje aolewe elewa nyakati, ila suala NDOA ataolewa tu
Unataka nini aozeshe sasa kama wewe hutaki?
 
Unataka nini aozeshe sasa kama wewe hutaki?
Ni yakobo alioa mtu na dada yake kwa wakati huo hakuna alieshangaa, ila sasa hivi utaonekana umefanya jambo baya wakati Mungu aliruhusu, sio lazima ufanye kila kitu cha zamani mantiki ni ndoa sio umri , ukielewa maelezo yangu huwezi angaika tena
 
Yaani mada ifungwe kwa ka hadithi kako kamoja
 
Bahati mbaya ukisoma visa vya zamani hakuna kitu kinaitwa balehe isio ya kawaida, alie balehe amesha balehe , hivyo mnaelewa kweli mantiki yangu nimewaambia kwa zamani hakuna shida yeyote maana binti alikuwa akivunja ungo ana ozeshwa kuolewa bila bikra ilikuwa ni makosa, ila zama hizi hata kama hauna bikra na sio mjane hakuna anae shangaa
 
Mkuu kama we ni muislamu kweli nionyeshe hiyo sheria inao lazimishwa bint wa miaka 9 aolewe? Acheni Black mailing.
Umefuatilia kinachoendelea Iraq karibuni au uko kwenye chungu??
 
Ni yakobo alioa mtu na dada yake kwa wakati huo hakuna alieshangaa, ila sasa hivi utaonekana umefanya jambo baya wakati Mungu aliruhusu, sio lazima ufanye kila kitu cha zamani mantiki ni ndoa sio umri , ukielewa maelezo yangu huwezi angaika tena
Tubaki kwenye wakati wetu wakati wa kujadili. Na kwakuwa unakiri kwa sasa kwamba itakuwa ni ubakaji, tubakie hapo.
 
BIOLOGY nayo tatizo.

Miaka 9 mpaka 12 mtu kawa mkubwa, mwili unaita nimekomaa, naweza kuzalisha.

Muembe ukishaanza kuangusha dodo ndo kusema umekomaa.

Kabla ya civilization na sheria za watoto, ilikuwa inakuaje kwa hawa mabinti ambao miili yao mapema sana ilikuwa inaita maporini na mapangoni ? Walikuwa wanapasuka ?

Biology kwa nini imechemka, ikawahi ?
 
Hapa mada ni kubaka katoto miaka 9, siyo suala la ukafiri wala uislam. Kama kubaka kunahusu wewe muislam na hakumhusu kafiri bora kuwa kafiri kuliko kufuata ubakaji.
Kubaka Ni Kwa Mujibu Wa Nani Kwani Mtume Alikuwa Anaishi Tanganyika ? Kwani Ukioa Alafu Ukamwingilia Mkeo Bila Matakwa Yake Nako Si Ubakaji Kwa Sheria Za Tanzania? Je Unazijua Sheria Za Wakati Wa Mtume ? Wanawake Wa Wakati Huo walikuwa Kama Hawa Wa Sasa? Naomba Nijibu Alafu Nikupe Mantiki Ya Kuwaoza Mabinti Wa Umri Wa Miaka 9.
 
Umri Sahihi Ndo Upi?
 
Mzazi akibariki ubakaji, inaacha kuwa ubakaji? Mtoto wa miaka 9 hana uwezo wa kukubali wala kukataa, hivyo ni ubakaji….
Waislamu Kwenye Maswala Ya Kisharia Huwa Hawazingatii Miaka Wala Saa.
Uislamu Unamchukulia Mtu Kutokana Na Kuvunja Ungo (Binti)Baleghe kijana Wa Kiume Hawa Wanahesabika Kuwa Ni Watu Wazima Wanapaswa Kufanya Yote Yanayompasa Kufanywa Na Mtu Nzima.

Kwenye Uislam Hakuna Miaka 18 Wala 21 Wala 24 Sababu Hakuna Andiko Lolote Linalothibitisha Kwamba Umri Gani Sahihi.
 
Na Wewe Tuambie Umri Gani sahihi Kwa Mujibu Wa Surat Nnisah.
 
Kuna vitu vingine inabidi utumie akili kidogo tu unapata majibu , mfano tuanze kwa kujiuliza unaposikia kuoa unapata wazo gani kichwani mwako, kinachokuja akilini mwako ndio mawazo yako lakini nitoe mfano wa pili jamii ya kimasai na baadhi ya jamii za kiafrika kijana anaweza pewa mke lakini ni binti mdogo sio kwamba anamuoa waende wakalale pamoja lahasha unaoa lakini atakuwa tayari kwa kuishi na mume muda sahihi utakapofika hivyo ndio mababu walivyokuwa wanaishi wakati huo , tuache kuwa na mawazo ya ngono kila mara mbona yapo mengi ya kufikiria .
 
Tubaki kwenye wakati wetu wakati wa kujadili. Na kwakuwa unakiri kwa sasa kwamba itakuwa ni ubakaji, tubakie hapo.
Ubakaji kwa mantiki ya nani? Ni sawa na ushoga ni haki za binadamu kwa mantiki ya nani? Soma vizuri huelewe nyakati ndio kitu cha muhimu
 
Hizo Ni Propaganda Na Urongo Mtukufu Hakuna Mtume Wa hivyo.
 
Ndio maana nikamwambia kwasasa kuna haki mpaka za mashoga lakini kwa muiibu wa nani?? bila kuelewa nyakati ni ngumu kuzungumza maandiko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…