Mimi ni muislamu, ila Sheria ya kuoa binti wa miaka 9 katika uislamu inanifanya niwe na mashaka na Imani yangu

Kama nchi za kikristo, zilivyoruhusu ushoga.
 
Haya ni maandishi ya mwenyezi Mungu au maandishi ya Muhammad?
 
Ni upumbavu tu hakuna hata haja ya kujadili hoja za kipumbavu! Kufikiri huo upumbavu tu inatosha kukuweka kundi lisilofaa binadamu wenye utimamu wa akili.

Mtoto wa miaka tisa unamfikiraje kama mke? Pathetic!
 
Ni upumbavu tu hakuna hata haja ya kujadili hoja za kipumbavu! Kufikiri huo upumbavu tu inatosha kukuweka kundi lisilofaa binadamu wenye utimamu wa akili.

Mtoto wa miaka tisa unamfikiraje kama mke? Pathetic!
Shida kubwa inakuja kwamba mwanzilishi wa dini alifanya hivyo.

Hiyo ilitosha kuidisquify dini yenyewe.
 
Yani wewe unashtuka leo? Kwani mtume Muddy si alioa mtoto wa miaka 9.!!
Dini za kiwaki zipo kukandamiza wanawake na kututisha kwingi, halafu wanaume wamejipakulia minyama..!!

Mwanaume anaruhusiwa kumiliki wanawake wanne..!
Mwanaume huyo huyo yeye anamiliki pepo ya kumpa mkewe pindi akimfanyia mema.!!

Mwanaume tena huyo huyo akifa anaenda kupewa mabikra 72 na mapipa ya pombe.!

Ila mwanamke yeye ili aipate pepo basi awe mtumwa kwa kumfurahisha mumewe..!! 😹😹
 
Sheria za Uislamu ni sheria zilizotoka kwa Allah subhaanah, hivyo kwa muumini jambo la kwanza kabisa linalompasa ni kujisalimisha na kunyenyekea kwa yale aliyoamrishwa, sawasawa yanaafikiana na upeo wake wa akili au laa.

Kwa sababu translation ya kuzipinga na kuzikosoa sheria za Allah ni kwamba wewe unaamini akili yako inaukamilifu kuliko hekma ya Allah

Tuje kwenye shaka uliyonayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…