FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Je mtu wa kike wa miaka 9 anakidhi vigezo vya kuwa Mwanamke? Kimaumbile na kiakili?
Weiterleitungshinweis
www.google.com
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je mtu wa kike wa miaka 9 anakidhi vigezo vya kuwa Mwanamke? Kimaumbile na kiakili?
Neno "Mwanamke" linamaanisha mtu wa jinsia ya kike katika jamii ya binadamu. Kwa maana ya jumla, mwanamke ni mtu mzima wa kike, tofauti na msichana ambaye ni mtu wa jinsia ya kike lakini bado ni mchanga au hajafikia utu uzima.Weiterleitungshinweis
www.google.com
Mzazi akibariki ubakaji, inaacha kuwa ubakaji? Mtoto wa miaka 9 hana uwezo wa kukubali wala kukataa, hivyo ni ubakaji….
Neno "Mwanamke" linamaanisha mtu wa jinsia ya kike katika jamii ya binadamu. Kwa maana ya jumla, mwanamke ni mtu mzima wa kike, tofauti na msichana ambaye ni mtu wa jinsia ya kike lakini bado ni mchanga au hajafikia utu uzima.Jibu swali langu mkuu kama hauna jibu kausha na sio kunuliza tena maswali ambayo ulitakiwa umuulize Mtume.
Huyu alivunja ungo akiwa na miaka mingapi?Neno "Mwanamke" linamaanisha mtu wa jinsia ya kike katika jamii ya binadamu. Kwa maana ya jumla, mwanamke ni mtu mzima wa kike, tofauti na msichana ambaye ni mtu wa jinsia ya kike lakini bado ni mchanga au hajafikia utu uzima.
Mwanamke ana nafasi muhimu katika jamii, ikiwa ni pamoja na jukumu la kijamii, kifamilia, kiuchumi, na hata kisiasa. Pia, neno hili linaweza kutumiwa kuelezea utu, maadili, na tabia zinazohusishwa na jinsia ya kike. Tafsiri ya neno hili inaweza kubadilika kulingana na muktadha wa kitamaduni au kijamii.
" Hayo ni maelezo chatgb kuzaa haimanishi msichana ni Mwanamke na ndio maana wengi wanapata complication za uzazi katka umri huo'
Ndoa ni ngono na kuzaa, mtoto wa miaka 9 mwili na akili yake haviko tayari kufanya mgono na kuzaa, wala akili haipo tayari kulea watoto na kutunza mume. Hana uwezo wa kukubali wala kukataa, mzazi anaeruhusu ubakaji ni mbakaji pia..Ndoa ilikuwa ni amri ya mzazi sio suala la mtoto mbona nimesha kuelezea , mtoto wa kike hakuwa na maamuzi kwenye kuolewa yeye ni KUTII tu
Kuvunja uongo haimanishi ndio ushakua Mwanamke nimeangalia tafsiri mwanamke ni ADULT Hilo pekee lanamtofautisha na GIRL ni vitu viwili tofauti Quran 4 inazingumzia al NiSAA' ( mwanamke) na sio Girl au msichana na yamezungumzwa mambo ya contract humo ambapo mtoto mdogo hawezi kuingia mkataba hilo liko wazi hata kwa sheria za sasaHuyu alivunja ungo akiwa na miaka mingapi?
Mtoto wa miaka 9 ajifungua
KONA za mji wa Mbeya zimezizima kwa minong'ono baada ya kuibuka kwa taarifa za mtoto wa kike mwenye umri wa miaka tisa kujifungua mtoto ambapo inadaiwa kuwa mimba hiyo alipewa na kaka yake mwenye umri wa miaka 18. Binti huyo aliyekuwa akiishi na mama yake mkubwa alipewa mimba hiyo na kaka yake...www.jamiiforums.com
Hakuna mahali Uislam unaruhusu msichana kuolewa unless kwa wale wasio soma na kuujua UislamuNdoa ni ngono na kuzaa, mtoto wa miaka 9 mwili na akili yake haviko tayari kufanya mgono na kuzaa, wala akili haipo tayari kulea watoto na kutunza mume. Hana uwezo wa kukubali wala kukataa, mzazi anaeruhusu ubakaji ni mbakaji pia..
Nasemaga siku zote humu, mtu akishakuwa muislam, hata awe proffessor, reasoning yake haina tofauti na mtoto wa darasa la nne, unadhirisha hilo kwa arguement zako za kitoto kabisa..
Haya malalamiko au hoja, nimekupa jibu la wazi kuwa ndoa ni suala la mzazi hakuna anaekulazimisha , Uislamu hauja taja umri wa kuoa , uislamu umetaja mtu ambaye amevunja unga hata awe na mwaka huyo anaweza kuhudumia ndoa, pia imetoa nafasi kuwa unaweza kuoa binti kisha ukasubiri akivunja unaanza kutekeleza majukumu ya ndoa sasa hapo shida iko wapi? wewe na uprofesa si umekubali kuamini kuwa Mungu wako Yesu alikuja duniani atundikwe msabani na kuteswa, na binadamu alio waumba mwenyewe ili awaokoe binadamu hao hao , kwa akili hizi wewe ni profesa mzuri sanaNdoa ni ngono na kuzaa, mtoto wa miaka 9 mwili na akili yake haviko tayari kufanya mgono na kuzaa, wala akili haipo tayari kulea watoto na kutunza mume. Hana uwezo wa kukubali wala kukataa, mzazi anaeruhusu ubakaji ni mbakaji pia..
Nasemaga siku zote humu, mtu akishakuwa muislam, hata awe proffessor, reasoning yake haina tofauti na mtoto wa darasa la nne, unadhirisha hilo kwa arguement zako za kitoto kabisa..
Ila kumbuka Mariamu hakunyaruliwa ile mimba ya Yesu iliingia kwa miujiza tu.Mariamu alichumbiwa akiwa na miaka 9, akabeba mimba ya yesu akiwa na miaka 12
Hao waliokupa tafsiri ndio hao hao wanaosema mashoga na wasagaji wana haki ya kuandamana na kutangaza ushoga wao, kanuni ya asili ya ndoa ni kuvunja ungo tuu hakuna umri wa kuoa kwenye maandiko , ndio maana watoto wa kike hata kwenye ukoo walikuwa hawapo maana wanajua wataolewa,,maisha ya sasa sio yale ya zamaniKuvunja uongo haimanishi ndio ushakua Mwanamke nimeangalia tafsiri mwanamke ni ADULT Hilo pekee lanamtofautisha na GIRL ni vitu viwili tofauti Quran 4 inazingumzia al NiSAA' ( mwanamke) na sio Girl au msichana na yamezungumzwa mambo ya contract humo ambapo mtoto mdogo hawezi kuingia mkataba hilo liko wazi hata kwa sheria za sasa
Wangechelewa angewaka Joseph si mkewe yule hakuna kesiIla kumbuka Mariamu hakunyaruliwa ile mimba ya Yesu iliingia kwa miujiza tu.
Kwa muktadha wa maandiko hakuna hiki kitu, maandiko yako tofauti hakuna umri wa mwanamke wala mwanaume kuoa au kuolewa, kanuni ya asili ni kuvunja ungo kwa mwanamke na kubalehe kwa mwanaume, haya mengine yamekuja sasa na jamiiHii ni tofauti ya msichana na mwanamke kwa maelezo ya Chatgpt
Tofauti kuu kati ya msichana na mwanamke inahusiana na umri, ukomavu, na hatua ya maisha:
Kwa kifupi, msichana ni mtu wa jinsia ya kike aliyeko kwenye hatua za awali za ukuaji wa maisha, ilhali mwanamke ni mtu mzima wa jinsia ya kike aliyekamilisha hatua muhimu za ukuaji na ukomavu.
- Umri:
- Msichana: Huyu ni mtu wa jinsia ya kike ambaye bado ni mchanga au hajafikia utu uzima. Hii inaweza kuwa kipindi cha utoto hadi ujana (kabla ya kubalehe au wakati wa kubalehe).
- Mwanamke: Huyu ni mtu wa jinsia ya kike aliyefikia utu uzima, kawaida baada ya balehe na kuendelea.
- Ukomavu wa Kimwili:
- Msichana: Mwili wake bado unakua, na hajakamilisha hatua zote za ukuaji wa kimwili kama mtu mzima.
- Mwanamke: Mwili wake umekamilisha ukuaji wa kimwili, ikiwa ni pamoja na mabadiliko ya kibaolojia kama kupata hedhi na uwezo wa kuzaa (kwa walio na afya ya kawaida).
- Ukomavu wa Kijamii na Kihisia:
- Msichana: Anaweza kuwa bado hajapokea majukumu makubwa ya kijamii au ya familia, na maamuzi yake mara nyingi yanategemea watu wazima (kama wazazi au walezi).
- Mwanamke: Ana uwezo wa kujitegemea, kufanya maamuzi ya kijamii, kifamilia, au kiuchumi, na mara nyingi anachukuliwa kama mtu mwenye majukumu katika jamii.
- Muktadha wa Kitamaduni na Kijamii:
- Katika baadhi ya tamaduni, msichana ni jina linalotumika kwa wanawake wa umri mdogo hata kama wamekomaa kimwili, lakini bado hawajaoa au kuchukua majukumu ya utu uzima.
- Mwanamke, kiasili, anachukuliwa kama mtu aliyekomaa kiumri, kijamii, au hata kiroho.
4o
Wale wa bunge la Iraq walikuwa wanasimamia kanuni zipi za uislam?Hakuna mahali Uislam unaruhusu msichana kuolewa unless kwa wale wasio soma na kuujua Uislamu
Nami ndio nasema, mtoto wa miaka 9 hana ukomavu wa akili na mwili kuingia kwenye ndoa, hivyo ni ubakaji, na anaebariki ubakaji, awe mzazi au yeyote, ni mbakaji.Haya malalamiko au hoja, nimekupa jibu la wazi kuwa ndoa ni suala la mzazi hakuna anaekulazimisha , Uislamu hauja taja umri wa kuoa , uislamu umetaja mtu ambaye amevunja unga hata awe na mwaka huyo anaweza kuhudumia ndoa, pia imetoa nafasi kuwa unaweza kuoa binti kisha ukasubiri akivunja unaanza kutekeleza majukumu ya ndoa sasa hapo shida iko wapi? wewe na uprofesa si umekubali kuamini kuwa Mungu wako Yesu alikuja duniani atundikwe msabani na kuteswa, na binadamu alio waumba mwenyewe ili awaokoe binadamu hao hao , kwa akili hizi wewe ni profesa mzuri sana
Papa ni nani katika Ukristo..?Upande mwingine papa anasema mdinyane miduku wanaume kwa wanaume na mnabarikiwa sasa si bora utulie huko uliko
Mumewe atamkomoza, si kavunja ungo maana yake tayari anatengeneza mayai , mume hawezi kumbaka mkeweNami ndio nasema, mtoto wa miaka 9 hana ukomavu wa akili na mwili kuingia kwenye ndoa, hivyo ni ubakaji, na anaebariki ubakaji, awe mzazi au yeyote, ni mbakaji.
Quran haijatajwa umri lakini wametaja sifa za muolewaji ambapo sio tu kuvunja ungo ni lazima awe mwanamke kamili mtu mzimaKwa muktadha wa maandiko hakuna hiki kitu, maandiko yako tofauti hakuna umri wa mwanamke wala mwanaume kuoa au kuolewa, kanuni ya asili ni kuvunja ungo kwa mwanamke na kubalehe kwa mwanaume, haya mengine yamekuja sasa na jamii
Mtu mzima maana yake kavunja ungo sio ndevu, imetaja na ukoo wake, dini yake , tena imesisitiza watu waenjoy ndoa kwenye ujanaQuran haijatajwa umri lakini wametaja sifa za muolewaji ambapo sio tu kuvunja ungo ni lazima awe mwanamke kamili mtu mzima