Gol D Roger
JF-Expert Member
- Sep 16, 2023
- 2,316
- 6,082
Correction;Kwani mtume Muddy si alioa mtoto wa miaka 9.!!
Married Aysha at 6 and had sex with her at 9
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Correction;Kwani mtume Muddy si alioa mtoto wa miaka 9.!!
Nenda UingerezaKwa Uingereza Huyo Ni Mwaka Wa Pili Kwenye Ndoa.
Wanapokosa hoja ya kujitetea wanaishia kuongea uongo(habari hewa) ili tu kupoteza watu, na hio kwao wameruhusiwa, inaitwa "Taqqiyah"Niamini mimi mkuu. Tukikuambia ulete ushahidi wa exactly aliposema hivyo utaishia kujambajamba tu.
Hapa tupo nchi gani kwani? Either way , umeona chini ya miaka 16 katika nchi yeyote isiyo ya kiislam?Hizi Ni Sheria Za Wapi Maana Kila Nchi Ina Sheria Zake Zama Google Uangalie Kila Nchi Ina Sheria Zake Za Umri Wa Kuolewa Acha Kukariri,Sheria Zenyewe Zinatungwa Na Warevi.
Iko kwa bible debora aliolewa akiwa miaka 3 mitatuBasi nionyeshe hadeeth au Aya ya Qur"an inao kubali mtoto wa miaka tisa kuolewa.
Tatizo ni ushabiki lakini kiuhalisia wala hakuna tatizo.
Ila kwa kuwa watu wameshakuwa programmed how to think, ndio maana wanaona ni kama jambo la ajabu.
Kuwa mkristo ubadilishwe jinsia unafaa kuwa transgender, sheria ya uslam ukibareghe oa ama olewahata kama binti awe na mwili mkubwa bado miaka 9 ni midogo sana kuolewa.
Mwenye elimu anifafanulie unless otherwise natafuta upande mwingine ambao ntaona Sahihi kwa hili hapana wafuasi wa waarabu tunafeli.
Pia soma
- Kupitisha sheria ya ndoa kuwa miaka 9 ni aina fulani ya upungufu wa akili
Kubalehe kimwili sio kupevuka kiakili mtoto ni mtoto tu.sharti kuu la kuoa awe amebalegh, haijaalishi umri gani anao. Hiyo miaka 9 imekadiriwa maana ndio umri ambao baadhi ya watoto wa kike wanaanza ku balegh
Unapo pokea dini/mafushindo bila kutumia common sense ndo tunapata watu kama nyie, msiotumia akili wala hekima kufikiria juu ya mambo mnayo hadithiwa, mnakariri kama yalivyo bila kufanya reasoning, huyo allah unayemwona ana akili sana anaweza akamwambia mudy dunia ni "flat"? huyo allah unayemwona ana akili sana hadi aka abolish adoption ili tu mudy amuoe mke wa Zayd baada ya kumtamani?Sheria za Uislamu ni sheria zilizotoka kwa Allah subhaanah, hivyo kwa muumini jambo la kwanza kabisa linalompasa ni kujisalimisha na kunyenyekea kwa yale aliyoamrishwa, sawasawa yanaafikiana na upeo wake wa akili au laa.
Kwa sababu translation ya kuzipinga na kuzikosoa sheria za Allah ni kwamba wewe unaamini akili yako inaukamilifu kuliko hekma ya Allah
Tuje kwenye shaka uliyonayo
Kubalehe kimwili sio kupevuka kiakili mtoto ni mtoto tu.
Sahih Al-Bukhari imetungwa na wakristo??makafir wanahangaika sana kutunga tunga vistory vyao ili kupotosha tu
Imani zakuletewa zinaitesa sana Africa na watu wake
Sheria hiyo iko wapihata kama binti awe na mwili mkubwa bado miaka 9 ni midogo sana kuolewa.
Mwenye elimu anifafanulie unless otherwise natafuta upande mwingine ambao ntaona Sahihi kwa hili hapana wafuasi wa waarabu tunafeli.
Pia soma
- Kupitisha sheria ya ndoa kuwa miaka 9 ni aina fulani ya upungufu wa akili
Kwahiyo ni umri gani ambao huyo mtu wa kike ni sahihi kuolewa?Je mtu wa kike wa miaka 9 anakidhi vigezo vya kuwa Mwanamke? Kimaumbile na kiakili?
Angalau miaka 15 hivi.ni kipindi gani huyo mtoto anakuwa amepevuka kiakili?
Angalau miaka 15 hivi.
Tatizo mkuu hapa mnalinganisha karne mbili tofauti, mambo ya kufikisha miaka 18 ndio kuhesabika mtu mzima sijui haki za kusoma ni vitu ambavyo havikuwepo karne hiyo.Ndoa ni ngono na kuzaa, mtoto wa miaka 9 mwili na akili yake haviko tayari kufanya mgono na kuzaa, wala akili haipo tayari kulea watoto na kutunza mume. Hana uwezo wa kukubali wala kukataa, mzazi anaeruhusu ubakaji ni mbakaji pia..
Nasemaga siku zote humu, mtu akishakuwa muislam, hata awe proffessor, reasoning yake haina tofauti na mtoto wa darasa la nne, unadhirisha hilo kwa arguement zako za kitoto kabisa..
Rudi karne ya 18 basi, dini inatakiwa iwe consistent milele yote, maana Mungu hawezi kuandika vitu vinavyopitwa na wakati…, kama kinaoitwa na wakati, jua kwa hakika, hakikutoka kwa Mungu, ni tamaa za kimwili tu za akina Mudi ndii zimezua balaa lote hili.., hivi mtoto wa miaka 9 ni wa kumtamani kweli, Kinyaa tupu, ptuuuuu!!, mnatia kinyaa nyie wafuasi wa mudi..Tatizo mkuu hapa mnalinganisha karne mbili tofauti, mambo ya kufikisha miaka 18 ndio kuhesabika mtu mzima sijui haki za kusoma ni vitu ambavyo havikuwepo karne hiyo.