Mimi nikajua Israel huwa inajibu mapigo muda huohuo. Leo ni siku ya nne

Iran siyo Gaxa.
 
Kujibiwa Iran hiyo ni given, anayefanya Israel iwe haijibu hapo hapo ni Biden

Israel anaorganize namna ya Kuondoa Utawala wa Iran.
 

Amani bila haki unadhani vinawezekana?
 
Naona humu kuna kitu wengi hawakijui bali ushabiki tu
Strait of Hormuz ndio meli zote zinapita na ikumbukwe Tank za mafuta na Gas za waarabu wote zinapita hapo
Sio rahisi kihivyo kupigana vita hapo
Kama watapiga Iran kivita basi mjiandae mafuta kupanda mara 2
Wengi hamuioni hii bali ushabiki wa Yanga tu
 
Itakusaidia nini wewe wakijibu? Msiwe mashabiki wa vita kwani watu wanakufa bila sababu na uchumi wa dunia unabadilika huku mambo yakiwa magumu zaidi kwa upande wetu kiuchumi.
Dah ujue hiz siku 3 nimepunguza ushabiki wa huu mgogoro baada ya kuhama humu na kuhamia utube kufuatilia live coverage, aisee ni huruma, kama mzazi napoona mzazi mwingine anamwaga chozi na kulia kama mtoto pembeni yake akiwa na maiti za watoto wake... aisee inauma.. kiona vitoto vimepoteza wazaz viko kweny mafolen na mabakuli kungoja msosi wa msaada wakati mimi huku wanangu wanakula ns kusaza kwakwel nimejisikia moyo kuugua kabisaaaa.

Haijalishi ni wayahu au waarabu, Mungu apishe mbali haya majanga
 
Kwa hiyo anga ya Iran iko tupu haina mifumo ya ulinzi?
Sisi tuna subiri mwisho wa utawala wa maayatullah kama mlivyo tuahidi.
 
Ungejua kinachoendelea Lebabon jana na leo ungekaa kimya.
 
Nje ya mada

Ndani ya mada:

Tusionee haya haki ya awaye yote..

Amani ipi tunaongea kama tunashindwa kujikita kwenye haki?

Awaye yote = Isiraeli, iran, Palestine, Lebanon nk.
 
Sasa mbabe gan anaacha watu wanajipigia washirika wake eneo lake.. maana palestina, Misri, jordan wote wanalalamika jinsi israel anavyofanya

Hebu fikiria kuna Nchi ipige pale amerika ya kaskazin au kusini halafu mbabe wao awe anaangalia tu au ipige belarus ukanda wa Urusi uone urus atafanya nn

Angekuwa mbabe angeshaingiza jeshi au kurusha ndege zake kumsaidia palestina.. toka tarehe 7 october

Kama anavyofanyaga marekan au alivyofanya kuleta meli za kivita ukanda ule..
 
Maudhui ya comment yako yamejaa Mapenzi ya Kiimani kwa Israel, na ndio maana mnapoongea huwa mnajisahau hadi mnaandika kana kwamba na nyie mpo kwenye Serikali ya Israel. Naona mnatoa MATAMKO MAKALI, MSISITIZO , UHAKIKA NA NJIA ITAKAYOTUMIKA. NA WENGINE MNAAPIA KABISA. YAANI MNAMZIDI HATA NETANYAHU NA MNA HASIRA KULIKO YEYE.
MNA TAARIFA ZA IRAN KULIKO WANAVYOJUA MOSAD NA AMAN NA SHIN BET

MIJADALA HUMU HAINA UHALISIA SABABU YA KULALIA KWENYE ITIKADI ZENU ZA KIIMANI
 
Kuwa na Imani na kitu flani mbona ni jambo la kawaida hata ww una Imani na jf ndio maana umejiunga alafu hii ni social forums Kila mtu ana maoni yake kutokana na uelewa wake Kuna wengine uelewa wao humu ni mdogo sana ila tunajitahidi kuwafahamisha ili waelimike na Kuna akina sisi kwahiyo tuheshimiane kwenye kujadiliana.
 
Kwawingi wetu huu tungewaombeya amani na tumsiii Netanyahu asijibu ili kuepusha mahafa ya kibinadamu wasio naatia ikiwa Israel atajibu basi watakufa watu wengi.pande zote hofu ipo pande zote.
 
Majibu hayakuwa moja kwa moja hata waliporusha makombora awamu ya kwanza. Ila mkuu wa nchi alifyekwa kinamna. Hawa wanaoption nyingi z kujibu tena zenye maumivu makali kulingana na uwezo na ujuaji wa mjibiwaji. Tusiwapangie. Tuvute subira.
Jawabu ni jepesi tu!

Hawawezi kumvamia Iran moja kwa moja kwa sababu wanamuogopa.
 
Vita ni mikakkati, sio kukurupuka, mfano kuua makamada kwanza ili kumdhoofisha adui ili mkianza awe dhaifu kama walivyofanya kwa Hezbulla
 
Ili Israel aifikie Iran kwa precision anahitaji kwenda kwa ndege,
Ili aende kwa ndege anahitaji ondoa ADS zote pale Syria ili asishambuliwe
 
Iran akipiga makombora mfululizo Israel inafutulika kabisa kwenye ramani ya dunia,


Ivi Malaria 2 kwanini Mungu amewatukuza sana waisrael kwenye Qur'an tukufu ilhali hawa mbwa ni mshetani kabisa na waharibifu wa amani duniani, angalia wenzao Iran wamepiga makombora lakini wamelenga maeneo ya jeshi, ila wao wanapigaga makombora sehemu kwenye makazi ya watu,na ufurahia kabisa kuua wasio na hatia,
 
Sema Israel anataka hii vita iwe kubwa , kuna agenda nyuma yake .


Jmaa bhana kashambulia kambi ya Urusi huko syria
Ikiwa kubwa kwa sasa iareli itacollapse maana pale telavive amna mtu atakaingia na makampuni makubwa yatafungusha virago na kuondoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…